House girl huyu nimfanyajee...?

House girl huyu nimfanyajee...?

Wewe hebu acha hiyo tabia ,wewe mwenyewe unamtaka...................kuwa busy na mambo yako anamwazia dada wa kazi ili.....................
 
KWANZA hata hukupaswa kuja kuomba ushauri kwa jambo hilo na uliponimaliza ni hapa "Or Should I simply ignore and play along " are u for really? we mwenyewe unaonekana unafurahia ndo mana anakuchezea hivyo be siriaz na hapo nyumbani aondoke mana mmeshaharibu aje mwingine uanze upya kwa adabu na heshima
 
KWANZA hata hukupaswa kuja kuomba ushauri kwa jambo hilo na uliponimaliza ni hapa "Or Should I simply ignore and play along " are u for really? we mwenyewe unaonekana unafurahia ndo mana anakuchezea hivyo be siriaz na hapo nyumbani aondoke mana mmeshaharibu aje mwingine uanze upya kwa adabu na heshima
Ahsante mama, kumbe na wewe umeliona hilo
 
37 minus 18 ni kama 19 years which would make you to be her father kama ungetaka those days.
married, having one kid. think straight using your upper head.acha na hako kakichwa kadogo ka chini.

Siongezi neno mkuu!
 
ni kwa vile tu hili ni jukwaa la MMU! tunaweka mada kujua nini kinachojili mtaani ila kusema ukweli as a man you should not ask for any advice what you should do of all the indications you have stated!
 
Sasa ingekuwa ni wewe mjasiria​ ungefanyaje?, ungeenda kusema kwa mkeo au?
Kwani kuna namna mbili tu za kushughulika na hili jambo? Mimi ningechukua hatua stahiki lakini sio kufanya mapenzi na msaidizi wa nyumbani.
 
Ivi wewe unajua maana ya kuitwa baba....????
Huyo ni sawa na binti yako it seems wewe ni mhuni unamtolea jicho LA kumtaka ukiwa serious binti hawezi kukuonyesha tabia za kishenz shenzi hivi
Ona aibu simama kama baba use ur brain, take ur responsibility acha Tamaa
Sasa mama kama mtoto mbichi namna hiyo ananitamani,niache kufaudu vizuri,kitu tight ukikipiga unasikia utamu mpaka kisogoni
 
Eee mrudishe kwao,anatamani kua mama mwenye nyumbaa ,,au mtafutie jamaa yako ammege,siku hiz ma hg ni majangaa kwa kweliii
 
Nipe mm mkuu, am seriously searching for a house girl....
 
Majibu unayo mkuu, ignore her usipofanya hivyo naona kinakuja kutokea ni mapinduzi, kwani hao madada wanajua nini mwanaume anahitaji. Utapewa kwa kiwango ambacho hujawahi..... na baada ya hapo utatoa majibu, umu ignore, umtimue au ......!!!!
 
ratio ya umri si kitu tena miaka 37 kwa 18 mbona mnazeesha watu mapema hivyo? Huyo bado kijana mwenzie tu na binti miaka 18 mtu mzima kabisa pengine ashachapwa na wengi hadi kuchoropoa ata viumbe vitatu. Sasa huyo binti haoni kama huyo mtu mzima hadi nyinyi mjiulize? Anaona ni saizi yake pengine ashakutana na wakubwa zaidi yake. Madingi wa miaka 50 mpaka 70 wanangoa vibinti vya miaka 18 hadi 20's bila shida. Jamaa akamue tu mtoto atulie nyege ziishe
 
Back
Top Bottom