Eti jamani, kama tumejaliwa tuna kanyumba kako compicated kiasi, tuseme kama ka EL kule monduli, tukiajiri house cleaners kadhaa, wakisafisha nyumba nzima akuwa vibaya?
namaanisha vyumba vyote hata cha baba na mama.
au mama kusafisha chumba chao ni mila ya vijumba vidogo?
naomba ufafanuzi mwenzenu
sikuhizi wanaume hawaeleweki akili zao zimekaa kwenye zipu.
Ahahahahah,naima hapo umenifurahisha, akili zimehama ziko kwenye zip, u cdnt have said it better!!! wananume nanyi mujitahindi kurudisha akili kwenye normal residence!
the bedroom MUST be out of bounds kabisa, hsegal kazi yake siyo kuja kukutandikia kitanda, ukimfumania na mumeo usijemlaumu yeyote. heri hicho kitanda ukitandike ukirudi kutoka kazini kama huna tme asubuhi etc.....
usafi wa chumba chenu ni wewe mwenyewe mwenzangu, chumba kinabeba siri nyingi na aibu nyingi pia .... zako na za mume wako ... mtu wa nje anaweza akakudharau kwa kitu kidogo tu akiingia chumbani kwako .. huenda mathalan umezidiwa au unaumwa ukaacha kufuli chafu chini, au hata mumeo kahifadhi hela kwenye kabati lenu ... akiiba mfanyakazi mumeo huenda akakushuku wewe ... na tena hao ma hausigeli wa kuokota anaweza hata akakutilia uchawi chumbani maana kila moja ana malengo yake na roho yake ... ukajikuta ndoa inayumba au kuvunjika kabisa... na hata kila kukicha akitandika kitanda ujuwe kuna siku nae anatamani akilalie .. akifanya juhudi tena kidogo tu anafanikiwa maana .. sikuhizi wanaume hawaeleweki akili zao zimekaa kwenye zipu.
Kuna wanawake wengine fyatu kweli, awapo chumbani au kitandani na mumewe tayari hanyanyuki kwa uvivu uliyokidhiri kama kasahau kitu atamuita housegeli aje amletee huku kajikunyata kitandani kama kakomelewa msumari.
Hata watoto wako, dada zako au mtu mwengine yeyote mfundishe kukugongea ... maana you make it out of bounds for everyone .... kama hata unaweza tembea na funguo kila ukitoka jifunze kufunga mlango wako
... enough for today
Eti jamani, kama tumejaliwa tuna kanyumba kako compicated kiasi, tuseme kama ka EL kule monduli, tukiajiri house cleaners kadhaa, wakisafisha nyumba nzima akuwa vibaya?
namaanisha vyumba vyote hata cha baba na mama.
au mama kusafisha chumba chao ni mila ya vijumba vidogo?
naomba ufafanuzi mwenzenu
KadaMpinzani said:no no no no ! chumba chenu "wandani" nafikiri kinatakiwa kiwe strictly kwa ajili yenu, usafi nyinyi, uroda nyinyi.... huo uvivu ni wa aina gani dada yangu ?
Eti jamani, kama tumejaliwa tuna kanyumba kako compicated kiasi, tuseme kama ka EL kule monduli, tukiajiri house cleaners kadhaa, wakisafisha nyumba nzima akuwa vibaya?
namaanisha vyumba vyote hata cha baba na mama.
au mama kusafisha chumba chao ni mila ya vijumba vidogo?
naomba ufafanuzi mwenzenu
lakini wengi hatupendi kufuliwa, kusafishiwa chumbani kwetu na hata kupikiwa na house girl au house boy!! Ni uvivu wa hali ya juu kutaka kufanyiwa hata vitu kama hivyo na mfanyakazi wa ndani
Sometimes sio kwamba ni uvivu bali kuchoka na ratiba za kazi/biashara. Let say mke anafanya kazi pia, na anakuwa na ratiba ngumu ambapo kurudi kwake nyumbani jioni sana labda mbili usiku, sidhani kama atakuwa na nguvu tena za kuingia jikoni na kuanza kuandaa chakula, mbali tu ya kuchoka, muda pia utakuwa umeenda sana na kula chakula usiku zaidi sidhani kama ni vema. Of course, akiwa off days, hayo yote yanawezekana. The point is sio uvivu ama kwamba hatupendi kuwajibika kihivo, ila ratiba za kazi/biashara zinatubana sana na hatupendi kukaa nyumbani (Goal keepers).
Call me Lizy.
Lizy ukirudi mbili usiku uko nyeng'e bin nyeng'e unataka uoge, ule na ukalale au uangalie vipindi vyako kwenye TV labda mpaka saa tano ya usiku. Njemba, ikikugusa...inaambiwa not tonight sweetie, I am very tired. Hii inakuwa order of the day Monday to Friday, kama ndio unafanya biashara/kazi na weekend mambo ndiyo yanakuwa mazito zaidi. Njemba inatafuta nyumba ndogo na kwenda kupumzika huko. Nakumbuka mwanaJF mmoja aliwahi kulalama kuhusu maisha kama haya, na akasema anachat sana na wanawake mbali mbali kwenye mtandao maana mamsap hana muda naye ama kachoka au anaangalia 'vipindi vyake' alivyorekodi. Mnaendelea hivi kwa muda, halafu mnakuja kugundua kwamba pamoja na kuwa mnaishi nyumba moja lakini mnaishi separate lives kila mtu kivyake vyake, na mara nyingi mkija kugundua it is too late!!.
Hmmmm! Maisha ya ndoa tangu zamani yalikuwa magumu, lakini sasa hivi ugumu umeongezwa zaidi na vitu kama TV, internet n.k.
mhm things somehow ni too funny...wakati mwanamke huyo huyo anaolewa alikua na kazi na bado alikua anashughulika ipasavyo...au wakati wakiwa wachumba..yu radhi hata akubembeleze aje akupikie...lakini akishaolewa keshaingia ndani ya nyumba ndo leo anaanza kulalamika kuchoka why shudnt the two of u set namna za kusaidiana ndani ya ndoa?!!?sio kupangiana zamu lakini i think hata mwanaume kukusaidia kata vitunguuu tuu wil giv courage mwanamama ku do more jobs za ndani if the two of them love each other
kwani kuna ubaya gani mwanaume akawa ndiye mtandikaji kitanda?
mimi wala sioni haya kujitaja, natandika kitanda, nampangia nguo kabatini mamsap wangu, na chumba nakipanga kama nitakavyo mimi, mwenyewe mamsap anaridhiika!
hamna utamu kama kum-spoil mwanamke wa...!
MwanaJF aliyelalama juu ya maisha hayo alidai anasaidia kazi nyingi za ndani, lakini alikuwa haoni kama msaada wake unathaminiwa. Ni kweli kabisa mwanamama huyu 'aliyechoka' angekuwa ana boyfriend basi angepata nguvu za kumfanyia chochote ili amridhishe mpenzi wake, ndiyo maana wengine wanadai there is a magic touch when you have a boyfriend and girlfriend relationship and the magic is lost once you decide to promote your relationship to another level...I dunno why, but it is true!!!!
Sometimes sio kwamba ni uvivu bali kuchoka na ratiba za kazi/biashara. Let say mke anafanya kazi pia, na anakuwa na ratiba ngumu ambapo kurudi kwake nyumbani jioni sana labda mbili usiku, sidhani kama atakuwa na nguvu tena za kuingia jikoni na kuanza kuandaa chakula, mbali tu ya kuchoka, muda pia utakuwa umeenda sana na kula chakula usiku zaidi sidhani kama ni vema. Of course, akiwa off days, hayo yote yanawezekana. The point is sio uvivu ama kwamba hatupendi kuwajibika kihivo, ila ratiba za kazi/biashara zinatubana sana na hatupendi kukaa nyumbani (Goal keepers).
Call me Lizy.