Eti jamani, kama tumejaliwa tuna kanyumba kako compicated kiasi, tuseme kama ka EL kule monduli, tukiajiri house cleaners kadhaa, wakisafisha nyumba nzima akuwa vibaya?
namaanisha vyumba vyote hata cha baba na mama.
au mama kusafisha chumba chao ni mila ya vijumba vidogo?
naomba ufafanuzi mwenzenu
namaanisha vyumba vyote hata cha baba na mama.
au mama kusafisha chumba chao ni mila ya vijumba vidogo?
naomba ufafanuzi mwenzenu