Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwa Taifa Desemba 8, 2021 kuelekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika

Amesema sasa hospitali ya Muhimbili imekuwa na uwezo wa kupandikiza bone marrow na siku za usoni itaanza kupandikiza mimba. Siyo jipya hilo?. Hufurahii mimba kupandikizwa hapa nchini?

Tunajisifu na Bone Marrow badala ya kupamba mgonjwa akienda Kwenys upasuaji atoke salama, asiwe na kilema cha milele, Asije kupata shida baadae, Na Tuache Kuchana chana matumbo ya wagonjwa Sahizi Technologia Imekua
 
Anazungumzia historia ya nchi...Tumeongeza shule...Huko nyuma miaka kumi iliyopita daktari mmoja alikuwa awahudumia wananchi 25,000 kwa hivi sasa daktari mmoja anahudumia wananchi 20,000...
So Yeye alichofanya ni kuleta Tozo na Kuondoa Machinga, Kama kuna kingine mnikumbushe
 
Amesema sasa hospitali ya Muhimbili imekuwa na uwezo wa kupandikiza bone marrow na siku za usoni itaanza kupandikiza mimba. Siyo jipya hilo?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Hufurahii mimba kupandikizwa hapa nchini? ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Hiii ni taarifa nzuri Kwa bwana yule Toka kolomije maana ndio ishu anayoitegemea kujaza Dunia
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Nimefuatilia hutuba ya Rais aliyoitoa leo na kufadhaishwa saana na aina hutuba aliyoitoa.

Hakika hii imekuwa ni historia ya nchi yetu na sio hutuba. Nashauri atafutiwe washauri na waandaaji weredi wa hotuba za Marais.

Kwa kifupi Hotuba ya Rais uzungumzia "current issues vis a vis mambo ambayo ameyafanya tayari wakati wa utawala wake kulinganisha na watangulizi wake na nini anatarajia kufanya zaidi....na sio kuja kutueleza idadi za madaktari na shule tulizokuwa nazo wakati wa kupata uhuru kulinganisha na leo.
 
Hiyo hotuba nimeifatilia hakuna nilichokiona cha maana kwanza hotuba hii kwanini ameona kuongea na umma mda ambao anajuwa dhahiri waluowengi wanakuwa wamelala!

Kigezo cha kusema kuanzia asubuhi had jion kwamba wanakuwa kazini hakina mashiko! Yeye akubali tu umma kwa sasa haumkubali hata aongee
 
Samia amemaliza hotuba.

Hivi kuna jipya na jambo lolote la maana ameongea?

Yaani hivyo blah blah zote alizozisema Samia, zilipaswa kutolewa na Msigwa mwenyewe tu, tena bila kuita vyombo vya habari, ni kushare PDF ya muhtasari wa kurasa tano tu.

Yaani tuna rais wa ovyo mnoo kuwahi kutokea kwenye historia ya Tz hasa linapokuja suala la hotuba. Yaani mwepesi mnoo.
 
Ni shida ya CCM iko hapo. Hawana cha kujivunia katika taifa ili hizo data zitazungumzwa tena na tena ata mwakani.

Nilitegemea agusie miaka 60 ya uhuru na kama taifa lina mkakatani gani ata wa miaka 10 ijayo. Au kuzungumzia recently issue zilizoko kwa serikali na wananchi.

Naripoti kutoka shule ya msingi chato
 
Samia amemaliza hotuba.
Hivi kuna jipya na jambo lolote la maana ameongea?
Yaani hivyo blah blah zote alizozisema Samia, zilipaswa kutolewa na Msigwa mwenyewe tu, tena bila kuita vyombo vya habari, ni kushare PDF ya muhtasari wa kurasa tano tu.

Yaani tuna rais wa ovyo mnoo kuwahi kutokea kwenye historia ya Tz hasa linapokuja suala la hotuba. Yaani mwepesi mnoo.
Empty set
 
  • Kicheko
Reactions: BRB
Akihutubia taifa kwenye usiku wa kuamkia maadhimisho ya siku ya uhuru wa Tanganyika, Rais Samia Suluhu Hassan amesema demokrasia yetu imezidi kuimarika tangu kuanzishwa kwa mfumo wa siasa za vyama vingi.

Amesema kwa sasa Tanzania ina vyama vya viasa 19 vilivyosajiliwa na vyama 17 vipo kwenye mchakato wa kuomba usajili wa muda.

โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”

PS: Hii idadi ya vyama vya siasa ni kubwa sana kwa nchi ya dunia ya tatu. Wingi wa vyama haimaanishi ndiyo demokrasia yetu iko juu.

Kama vyama vilivyosajiliwa havina uhuru wa kutekeleza majukumu yao kama yanavyoelezwa na katiba, basi sioni umuhimu wa kuongeza vyama vingine zaidi ambavyo vitakuwa ni vyama vya kwenye makabati.
 
Back
Top Bottom