Hotuba ya Freeman Mbowe kwenye Msiba wa Sabodo imefichua mengi ambayo tulifichwa

View attachment 2945198

Wema wa Sabodo si huu kiduchu wa kusaidia vyama vya siasa nchini Tanzania , Huyu mtu kifo chake ni pigo kuliko hata mapigo mnayoyajua , Kuna haja ya Hotuba ile ya Mbowe kuletwa hapa JF kwa njia ya Video (Naitafuta) , Ifike wakati sasa Bendera ziwe zinapepea nusu mlingoti kwa baadhi ya Wazalendo kama Sabodo wanapofariki , Ikiwezekana hata mizinga ivurumishwe hewani watu hawa wanapofariki , haiwezekani tunawaenzi wezi na makatiri lakini tunawaacha watu wema kama hawa .

Kumbe kuna wakati Sabodo alibeba dhamana ya Nchi kwenye uhaba wa Mafuta (nadhani ni diesel na Petroli) , cha kushangaza anasubiriwa Mbowe ndio ayaseme haya ! hivi viongozi wanaoficha historia hii hawaijui au hawataki ?

Iko haja ya viongozi wapya wachanga wa nchi hii kufundishwa kwanza walioifikisha hii nchi hapa ilipo badala ya kupewa vyeo kwa mtindo wa Koneksheni na Uchawa .

Uhakika ni kwamba over 90% ya viongozi wa nchi hii wakiwemo mawaziri na viongozi wa ccm hawajui Uzalendo wa Sabodo na ni Aibu kwao na Aliyewateua , Unateuaje watu wasioijua Nchi yao ?
Kweli wajinga ndio waliwao,taarifa ya mafuta ilikuwepo kwenye magazeti siku moja baada ya huyu mzee aliedhulumiwa na chadema kufariki
 
Hata mimi namshangaa huyu Erythrocyte kumbe ni mbumbumbu wa mambo mengi ambayo kwake ni mageni kabisa masikioni mwake. Ndio maana Mbowe anawaburuza sana huko CHADEMA kama manyumbu au makondoo.
Mbumbumbu katika lipi? Mbumbumbu utakuwa wewe mbeba vuvuzela kusifia tuu walio madarakani kama bwege mtozeni.
Kama ulikuwa unajua hilo la Sabodo lini umewahi kulisema kujulisha watu zaidi ya kusifia sifia watu kama mtu mjinga?
Maana mtu mjinga anaweza kujipendekeza hata mtu akipumua na kutoa hewa chafu yeye akachekekea na kusema hii aina ya perfume ni nzuri.
Jitambue Lucas acha kuonyesha ufamba wako hadharani, maana kuna kila dalili unajilazimisha kuondoa utu wako. Na watu wenye hulka hizo wengi huishia kuwa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2945198

Wema wa Sabodo si huu kiduchu wa kusaidia vyama vya siasa nchini Tanzania , Huyu mtu kifo chake ni pigo kuliko hata mapigo mnayoyajua , Kuna haja ya Hotuba ile ya Mbowe kuletwa hapa JF kwa njia ya Video (Naitafuta) , Ifike wakati sasa Bendera ziwe zinapepea nusu mlingoti kwa baadhi ya Wazalendo kama Sabodo wanapofariki , Ikiwezekana hata mizinga ivurumishwe hewani watu hawa wanapofariki , haiwezekani tunawaenzi wezi na makatiri lakini tunawaacha watu wema kama hawa .

Kumbe kuna wakati Sabodo alibeba dhamana ya Nchi kwenye uhaba wa Mafuta (nadhani ni diesel na Petroli) , cha kushangaza anasubiriwa Mbowe ndio ayaseme haya ! hivi viongozi wanaoficha historia hii hawaijui au hawataki ?

Iko haja ya viongozi wapya wachanga wa nchi hii kufundishwa kwanza walioifikisha hii nchi hapa ilipo badala ya kupewa vyeo kwa mtindo wa Koneksheni na Uchawa .

Uhakika ni kwamba over 90% ya viongozi wa nchi hii wakiwemo mawaziri na viongozi wa ccm hawajui Uzalendo wa Sabodo na ni Aibu kwao na Aliyewateua , Unateuaje watu wasioijua Nchi yao ?
ACHENI UNAFIKI kwani nyie ndio wabaguzi wakubwa na mnawabagua kwa sababu ya dini yao
 
View attachment 2945198

Wema wa Sabodo si huu kiduchu wa kusaidia vyama vya siasa nchini Tanzania , Huyu mtu kifo chake ni pigo kuliko hata mapigo mnayoyajua , Kuna haja ya Hotuba ile ya Mbowe kuletwa hapa JF kwa njia ya Video (Naitafuta) , Ifike wakati sasa Bendera ziwe zinapepea nusu mlingoti kwa baadhi ya Wazalendo kama Sabodo wanapofariki , Ikiwezekana hata mizinga ivurumishwe hewani watu hawa wanapofariki , haiwezekani tunawaenzi wezi na makatiri lakini tunawaacha watu wema kama hawa .

Kumbe kuna wakati Sabodo alibeba dhamana ya Nchi kwenye uhaba wa Mafuta (nadhani ni diesel na Petroli) , cha kushangaza anasubiriwa Mbowe ndio ayaseme haya ! hivi viongozi wanaoficha historia hii hawaijui au hawataki ?

Iko haja ya viongozi wapya wachanga wa nchi hii kufundishwa kwanza walioifikisha hii nchi hapa ilipo badala ya kupewa vyeo kwa mtindo wa Koneksheni na Uchawa .

Uhakika ni kwamba over 90% ya viongozi wa nchi hii wakiwemo mawaziri na viongozi wa ccm hawajui Uzalendo wa Sabodo na ni Aibu kwao na Aliyewateua , Unateuaje watu wasioijua Nchi yao ?
Mbowe alizungumzia pia zile pesa za Mzee Sabodo alizowapa Chadema wakachimbe visima Arumeru wakazila?
 
View attachment 2945198

Wema wa Sabodo si huu kiduchu wa kusaidia vyama vya siasa nchini Tanzania , Huyu mtu kifo chake ni pigo kuliko hata mapigo mnayoyajua , Kuna haja ya Hotuba ile ya Mbowe kuletwa hapa JF kwa njia ya Video (Naitafuta) , Ifike wakati sasa Bendera ziwe zinapepea nusu mlingoti kwa baadhi ya Wazalendo kama Sabodo wanapofariki , Ikiwezekana hata mizinga ivurumishwe hewani watu hawa wanapofariki , haiwezekani tunawaenzi wezi na makatiri lakini tunawaacha watu wema kama hawa .

Kumbe kuna wakati Sabodo alibeba dhamana ya Nchi kwenye uhaba wa Mafuta (nadhani ni diesel na Petroli) , cha kushangaza anasubiriwa Mbowe ndio ayaseme haya ! hivi viongozi wanaoficha historia hii hawaijui au hawataki ?

Iko haja ya viongozi wapya wachanga wa nchi hii kufundishwa kwanza walioifikisha hii nchi hapa ilipo badala ya kupewa vyeo kwa mtindo wa Koneksheni na Uchawa .

Uhakika ni kwamba over 90% ya viongozi wa nchi hii wakiwemo mawaziri na viongozi wa ccm hawajui Uzalendo wa Sabodo na ni Aibu kwao na Aliyewateua , Unateuaje watu wasioijua Nchi yao ?
mkuu hivi amethubutu kusema na ile hela ya kujenga ofisi ya chadema aliyopewa akaitafuna pekeyake ameweka wazi au hiyo kaficha?????
 
Back
Top Bottom