Mbowe ana roho nzuri sana. Yaani kafanyiwa yote haya halafu alikaa kimya kama hamna tatizo. Mwisho wakamvunja mguu Ndugai akaanzisha gazeti kwamba kavamiwa bar. Yaani huyu Mungu huyu!!! Tuzidi kumuomba atatenda maajabu
Ni kweli kabisa Rais Magufuli alikuwa ni mbaya kiasi hicho?
Mbowe anadokeza pia inawezekana Magufuli alikuwa analindwa na walinzi wa kutoka nje ya nchi....
Scandalous!!
Vitu vyote wamseme JPM ila la kulindwa na walinzi toka nje ni kwamba haiwezekani kamwe na haitakuja kutokeaSasa anataka alindwe na nani? Bavicha au?
Huyu na yeye tangu baba mkwe wake amwachie chama amekua msumbufu sana.
View attachment 1749364hawa wachunguzwe na CAG
aliyeiba PHD ndo kashaondokaHaya ndio madhara ya kuzunguka round about kwenye mitihani.
Dah yani alishindwa hata kumtetea kwa Jiwe...naona wako na FURAHA.
..huyo wa katikati ana undugu na Mdude Nyagali?
🤣🤣Dah yani alishindwa hata kumtetea kwa Jiwe.
Nimekupata chalii yangu.🤣🤣
..nimeuliza kama ana undugu na Mdude Nyagali.
Hahahaaaa....... Kazi kweli kweli!View attachment 1749364hawa wachunguzwe na CAG
Anayehukumu naye atahukumiwa.Mm sioni sababu ya kumhukumu mtu ambaye hayuko duniani nao huo ni ushetani.Huu ushetani tunautoa wapi?Kama tuna guts si mgemsema wakati Yuko hai?kwa wakristo hii haikubaliki samehe saba mara sabini na utabarikiwa uje hukumu si hukumu la mwanadamu Bali ni MunguLazima hasira iwe kali ameharibu biashara ya siasa, kufufuka labda 2025.
Mbowe amekosa utu na ustaarabu, Hivi anaanzaje kumkashifu na kumshambulia mtu aliye kufa!!! hakika huu sio uungwana.
Binafsi nimemshangaa sana.
Wewe ungesema?Alivyokuwa hai hawakusema
Amekufa sasa kila mtu amekuwa msemaji
HUO NI UOGA
Anafikisha ujumbe kwa jamii. Mwendazake alikuwa hawezi kusemwa akiwa hai.Mbowe amekosa utu na ustaarabu, Hivi anaanzaje kumkashifu na kumshambulia mtu aliye kufa!!! hakika huu sio uungwana.
Binafsi nimemshangaa sana.
Sasa hasira za mkosaji zinatuhusu vipi sie. ? JPM hakucheka na matapeli, hata wale waliomo kwenye siasa.Magufuli kajitakia haya yote, mtu gani alikuwa hashauriki kazi kujipa majina ya ajabu, mara JIWE mara MALAIKA, acheni watu waseme haya ndio malipo ya kuwafunga watu midomo akiwa hai, japo yeye hasikii wala hatajibu ila wafuasi wake salamu wanazipata na bila shaka watajifunza na wataenda kutubu kutokana na dhambi ya Mkubwa wao.
Na bila shaka tutasikia mengi sana siku zijazo.