Ni kweli kabisa Rais Magufuli alikuwa ni mbaya kiasi hicho?
Mbowe anadokeza pia inawezekana Magufuli alikuwa analindwa na walinzi wa kutoka nje ya nchi....
Scandalous!!
Kweli hotuba ya Mbowe ilikuwa kali, na watu wataujua ukweli taratibu, kumbe magu alikuwa ka shetani!