Ha ha ha ha MATAGA wataenda kumlaki kwa shangwe ya ajabu.Mara paaaa kajifufua
Ni kweli kabisa Rais Magufuli alikuwa ni mbaya kiasi hicho?
Mbowe anadokeza pia inawezekana Magufuli alikuwa analindwa na walinzi wa kutoka nje ya nchi....
Scandalous!!
Lazima hasira iwe kali ameharibu biashara ya siasa, kufufuka labda 2025.
Ni kweli kabisa Rais Magufuli alikuwa ni mbaya kiasi hicho?
Mbowe anadokeza pia inawezekana Magufuli alikuwa analindwa na walinzi wa kutoka nje ya nchi....
Scandalous!!
Wewe ambaye hujazunguka una nini cha maana?Haya ndio madhara ya kuzunguka round about kwenye mitihani.
Nakurudisha rambirambi alizoibaMara paaaa kajifufua
Pimbi wewe,limeshakufa hilo katili,hata uliteteeje halirudi Tena DunianiSasa anataka alindwe na nani? Bavicha au?
Huyu na yeye tangu baba mkwe wake amwachie chama amekua msumbufu sana.