Hoteli ya Nashera Mjini Morogoro imefungwa?

Hoteli ya Nashera Mjini Morogoro imefungwa?

Una tatizo na umiliki? Au ndio wale mnachukia matajiri?

labda mwendawazimu ndo atachukia tajiri. hakuna achukiae matajiri

tatizo kubwa la matajiri wengi viongozi ni kuwa wanakuwa wametuibia. na ndo maana hata wanaficha umiliki wa mali au biashara zao

kama mali umezitafuta na kuzipata khalali kuna haja gani ya kujificha ficha? wanakuwa wametuibia. na ndo maana watu kama hao tunawachukia
 
Nashera haijafungwa ila imepigwa x inabomolewa. Lowasa alijimilikisha eneo la magereza



Kwann ww mmbea hivi...!!! Ni akili ya .maataako..n ina kusumbua..!!!

Nashera wala haina uhusinano na Lowassa na haipigwa X... iko salama kabisa..!!!
 
Mnashangaa hoteli, mtu kajenga kwa hela yake.

shangaeni kwanza nyumba za national housing zilizohongwa.
 
Kwani Lowasa kumiliki Nashera under cover ya wamarekani ni kosa? Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake...
 
Hata kama ni Lowasa kuna shida gani ? Tatizo wabongo hmpendi maendeleo ya wabongo wenzenu . mnaaamini mwekezaji lazima atoke nje .
 
Wakuu imenivutia sana hii issue ya Gwami maana nimelala pale mara kadhaa, vyumba vinaanza na elfu 50 kwenda juu. Hivi mmiliki ni nani na kwanini akafilisiwa?
 
Hii hoteli inajengwa kulikuwa na tetesi kuwa ni ya Lowasa,na wakasema hata eneo inapojengwa lilikuwa na Magereza baada ya hapo hata sikuifatilia
 
Wachawi bwana utawajua tu maana wamejaa wivu usiokuwa wa maendeleo hata kidogo! Hata kama hotel ni ya Lowasa kosa ni nini hapo? Kama lilikuwa ni eneo la magereza mbona wenyewe magereza pamoja na serikali haijalalamika kuwa eneo lao limeporwa na kuchukua za kulirudisha? Hiyo hoteli imeajiri wadengereko wenzenu wangapi ambao pengine isingekuwa Nashera wangekuwa wanauza vitumbua vyao na mishikaki yao mtaani mbona hilo hamalisemi!

Kama kweli nyinyi wachawi mna uchungu na nchii hii mbona hamlalamikii kuhusu fedha zilizofichwa uswisi na nchi nyinginezo, mbona mabilioni ya escrow yametoweka na bosi wa nchi anadai siyo hela za watanzania lakini vigogo wa serikali wanawajibishwa kwa hela zisizokuwa za wananchi mmeufyata!

Mmeona nashera tuuuu hamuoni EPA, ESROW, IPTL, RICHMOND?
 
mijitu mijongo iko mingi sana siku zote hiz ku report ulikuwa wapi? Pumbavu zako Lofa wewe
 
Ikiwa nashria ni ya lowasa,dhambi ni kule kujificha kwake katika kutangaza mali zake
 
Back
Top Bottom