Hoteli ya Nashera Mjini Morogoro imefungwa?

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Kuna jamaa mmoja amenitonya kuwa iliyokuwa hoteli ya fisadi flani ikienda kwa jina la Nashera imefungwa.

Mwenye taarifa zaidi kuhusu hili atiririke!

Mmiliki wake ni mmarekani anaitwa Wilbur Colom. Ni mwanasheria ila tapeli tapeli ivi



Nashera ni hoteli ya mmarekani mwekezaji si ya mtanzania acheni upotoshaji.



Siyo ya Mmarekani.

ilichofanyika pale, jamaa alienda USA akaleta wazungu wawili pale kusimamia ujenzi wa ile hotel, nilijaribu kuwauliza sana wale wazungu maana tulikaa nao hotel moja pale kwa siku kama tano wakati nafanya mambo yangu hapo Moro, kwa kweli wao walisema sisi tumeletwa hapa na Bwana Lowasa, na ndiye anatulipa sisi tukimaliza hapa kujenga kuna hotel nyingine kule Sadani tunaenda kujenga pia mmoja wa wale wazungu alikuwa anatoka Misisipi.

Kuna siku moja walilala hotel moja uhuru road mmoja akaibiwa nguo zake na wale vibaka wa usiku wanapita kucheck kama dirisha hujafunga wanachukuwa mti mrefu na ndoano na kulowa nguo.

Msimamizi mkubwa wa pale alikuwa kijana wa Dada yake Lowasa wanafanana sana utafikili mtu na kaka yake, yeye ndo alikuwa coordinator wa ujenzi na vifaa vyote vinavyotumika kujenga pale, Wale wazungu wawili walikuwa kama boya tu kwamba kuna mwekezaji toka Marekani ndo anajenga hapo lakini hotel ilikuwa ya Lowasa 100%. Alikuwa anakuja mara moja moja usiku kama saa 3-4 kuangalia maendeleo ya ujenzi.

Pia eneo hilo lilimwegwa toka shamba la megereza hapo Morogoro magereza walikuwa wamelima machungwa pale, mpaka leo kuna sehemu ambako hakuna jengo machungwa yapo.

mimi niko morogoro nakaa fokoland jiran na hiyo nashera kabla hata haijajengwa kweli kulikua na michungwa na walikua wanaihudumia magereza likiwa kama shamba la magereza anzia ujenz unaanza paka unamalizika mji mzima unajua kua lowasa ndie aliyejimilikisha hilo eneo na kujenga hiyo hotel na pia nina marafiki zangu wanafanya kazi hapo wanasema ni mali ya lowasa




KWA HISANI YA WATU WA TANZANIA!
 
Ishu za Hoteli MOROGORO.Kwa sasa ni kuuzwa kwa Gwami Hotel.Nashera IPO wazi.Gwami ndo amefilisiwa na kupigwa mnada kwa hotel na lodge zake
 
Kuna jamaa mmoja amenitonya kuwa iliyokuwa hoteli ya fisadi flani ikienda kwa jina la Nashera imefungwa.

Mwenye taarifa zaidi kuhusu hili atiririke!

Ameogopa moto wa magufuli katangaza vita na mafisadi wote ikiwa ni pamoja na Lowasa na Washirika wake wakae chonjo
 
Nashera ni hoteli ya mmarekani mwekezaji si ya mtanzania acheni upotoshaji.
Siyo ya Mmarekani.

ilichofanyika pale, jamaa alienda USA akaleta wazungu wawili pale kusimamia ujenzi wa ile hotel, nilijaribu kuwauliza sana wale wazungu maana tulikaa nao hotel moja pale kwa siku kama tano wakati nafanya mambo yangu hapo Moro, kwa kweli wao walisema sisi tumeletwa hapa na Bwana Lowasa, na ndiye anatulipa sisi tukimaliza hapa kujenga kuna hotel nyingine kule Sadani na Dodoma tunaenda kujenga pia mmoja wa wale wazungu alikuwa anatoka Misisipi.

Kuna siku moja walilala hotel moja uhuru road (Tip Leaf Hotel) mmoja akaibiwa nguo zake na wale vibaka wa usiku wanapita kucheck kama dirisha hujafunga wanachukuwa mti mrefu na ndoano na kulowa nguo.

Msimamizi mkubwa wa pale alikuwa kijana wa Dada yake Lowasa wanafanana sana utafikili mtu na kaka yake, yeye ndo alikuwa coordinator wa ujenzi na vifaa vyote vinavyotumika kujenga pale, Wale wazungu wawili walikuwa kama boya tu kwamba kuna mwekezaji toka Marekani ndo anajenga hapo lakini hotel ilikuwa ya Lowasa 100%. Alikuwa anakuja mara moja moja usiku kama saa 3-4 kuangalia maendeleo ya ujenzi. Alikuwa anapaki gari yake kwenye barabara ya kwenda kwa mkuu wa mkoa karibu na mwisho wa miembe na kutembea kwa miguu mpaka mwisho wa kiwanja cha jengo na kuingia ndani kukagua akimaliza anarudi kwa mguu mpaka kwenye gari yake na kutokomea.

Pia eneo hilo lilimwegwa toka shamba la megereza hapo Morogoro magereza walikuwa wamelima machungwa pale, mpaka leo kuna sehemu ambako hakuna jengo machungwa yapo.
 
Kokolo salute uko vizuri..sasa kwa nn mheshimiwa alikuwa anaenda usiku? au mchana alikuwa bize na kazi?
 
Siyo ya Mmarekani.

ilichofanyika pale, jamaa alienda USA akaleta wazungu wawili pale kusimamia ujenzi wa ile hotel, nilijaribu kuwauliza sana wale wazungu maana tulikaa nao hotel moja pale kwa siku kama tano wakati nafanya mambo yangu hapo Moro, kwa kweli wao walisema sisi tumeletwa hapa na Bwana Lowasa, na ndiye anatulipa sisi tukimaliza hapa kujenga kuna hotel nyingine kule Sadani tunaenda kujenga pia mmoja wa wale wazungu alikuwa anatoka Misisipi.

Kuna siku moja walilala hotel moja uhuru road mmoja akaibiwa nguo zake na wale vibaka wa usiku wanapita kucheck kama dirisha hujafunga wanachukuwa mti mrefu na ndoano na kulowa nguo.

Msimamizi mkubwa wa pale alikuwa kijana wa Dada yake Lowasa wanafanana sana utafikili mtu na kaka yake, yeye ndo alikuwa coordinator wa ujenzi na vifaa vyote vinavyotumika kujenga pale, Wale wazungu wawili walikuwa kama boya tu kwamba kuna mwekezaji toka Marekani ndo anajenga hapo lakini hotel ilikuwa ya Lowasa 100%. Alikuwa anakuja mara moja moja usiku kama saa 3-4 kuangalia maendeleo ya ujenzi.

Pia eneo hilo lilimwegwa toka shamba la megereza hapo Morogoro magereza walikuwa wamelima machungwa pale, mpaka leo kuna sehemu ambako hakuna jengo machungwa yapo.

Heshima kwako mkuu!!
 
Back
Top Bottom