Hoteli ya Nashera Mjini Morogoro imefungwa?

Hoteli ya Nashera Mjini Morogoro imefungwa?

Ishu za Hoteli MOROGORO.Kwa sasa ni kuuzwa kwa Gwami Hotel.Nashera IPO wazi.Gwami ndo amefilisiwa na kupigwa mnada kwa hotel na lodge zake

Uko sahihi mkuu, juzi tulikuwa na warsha hapo Nashera. What has happened to Gwami lodges mkuu??
 
mimi niko morogoro nakaa fokoland jiran na hiyo nashera kabla hata haijajengwa kweli kulikua na michungwa na walikua wanaihudumia magereza likiwa kama shamba la magereza anzia ujenz unaanza paka unamalizika mji mzima unajua kua lowasa ndie aliyejimilikisha hilo eneo na kujenga hiyo hotel na pia nina marafiki zangu wanafanya kazi hapo wanasema ni mali ya lowasa
 
mimi niko morogoro nakaa fokoland jiran na hiyo nashera kabla hata haijajengwa kweli kulikua na michungwa na walikua wanaihudumia magereza likiwa kama shamba la magereza anzia ujenz unaanza paka unamalizika mji mzima unajua kua lowasa ndie aliyejimilikisha hilo eneo na kujenga hiyo hotel na pia nina marafiki zangu wanafanya kazi hapo wanasema ni mali ya lowasa
Tuendelee kufunguka labda tutapatiwa ufafanuzi kama ule wa general tyre
 
Kuna jamaa mmoja amenitonya kuwa iliyokuwa hoteli ya fisadi flani ikienda kwa jina la Nashera imefungwa.

Mwenye taarifa zaidi kuhusu hili atiririke!
















KWA HISANI YA WATU WA TANZANIA!

Mbona ndio alikolala kada mmoja wa ccm na hawara mpk akaibiwa fedha na silaha?
 
Ishu za Hoteli MOROGORO.Kwa sasa ni kuuzwa kwa Gwami Hotel.Nashera IPO wazi.Gwami ndo amefilisiwa na kupigwa mnada kwa hotel na lodge zake

Ndio wawekezaji tunaowapa uwekezaji na mikataba isiona tija matokeo yake wanatuacha solemba.
 
Nashera imefungwa kwa muda kwa sababu kuna kipindupindu kimeingia morogoro.....mpaka saivi hospitali ya mkoa inaendelea kupokea wagonjwa
 
Nashera imefungwa kwa muda kwa sababu kuna kipindupindu kimeingia morogoro.....mpaka saivi hospitali ya mkoa inaendelea kupokea wagonjwa
Una maana kulikuwa na mgonjwa wa kipindupindu hapo hotelini au?
 
Afadhali hata yeye kawekeza ndan ya nchi na kutoa ajira ndan ya nchi yake kuliko wanaficha mabilion ya hela nje ya nchi
 
Hii nayo ni siasa au biashara?

Watu wanadhani ufısadi wa Lowasa nı Richmond tu.Lowasa ni jamba wa hatari.Hapa Dar amejimilıkishia maeneo mengi yaliyokuwa ya wazi toka Masa,fukwe za Ununio,Kijitonyuma,Bagamoyo na hata miji ya Arusha,Morogoro na Kibaha.Watzania tusiwe mazuzu, huyo n mpgaji alıyepiku wapgajı wote wa CCM.
 
Ishu za Hoteli MOROGORO.Kwa sasa ni kuuzwa kwa Gwami Hotel.Nashera IPO wazi.Gwami ndo amefilisiwa na kupigwa mnada kwa hotel na lodge zake

mkuu kulikoni tena gwami alitesa sana kwa hoteli moro kila kona.
 
Una tatizo na umiliki? Au ndio wale mnachukia matajiri?

Ishu sıo chukı dhidi ya matajiri,wote tunatamanı tuwe nao wengi mana ndo wanaolipa kodı kubwa kwa ajilı ya maendeleo ya wengne.Tatzo pale limemegwa eneo la Magereza.
 
Kama ni ya Lowasa, Basi ni jambo la kumshukuru Mungu.

Sababu watanzania tunataka wawekezaji wa ndani na kama Raisi mtarajiwa mh. Lowasa alianza kuzalisha ajira kwa kuwekeza kwenye mahoteli kabla ya kuwa Raisi basi huyu ndiye hasa Watanzania tunamwitaji.

Tunamtaka raisi anayeuchukia umasikini na atakayezalisha ajira.

Fool stop
 
Kuna jamaa mmoja amenitonya kuwa iliyokuwa hoteli ya fisadi flani ikienda kwa jina la Nashera imefungwa.

Mwenye taarifa zaidi kuhusu hili atiririke!
















KWA HISANI YA WATU WA TANZANIA!

Acha uongo mmiliki wa Nashera sio mtanzania.
 
Back
Top Bottom