Hoteli ya Nashera Mjini Morogoro imefungwa?

Hoteli ya Nashera Mjini Morogoro imefungwa?

Mwneye Hotel ni Bw Davis Senkoro. Nashera ni jina la mama yake,
 
Nashera ni hoteli ya mmarekani mwekezaji si ya mtanzania acheni upotoshaji.

Ishu za Hoteli MOROGORO.Kwa sasa ni kuuzwa kwa Gwami Hotel.Nashera IPO wazi.Gwami ndo amefilisiwa na kupigwa mnada kwa hotel na lodge zake

Nashera hotel ya lowassa kwenda huko.

Lowassa han uhusiano hata kidogo na Nashera. Mmarekani anaimiliki na mtanzania mmoja mpare ana share chache.

Mwneye Hotel ni Bw Davis Senkoro. Nashera ni jina la mama yake,

Yeyote mwenye hoteli hii kuna kila aina ya ufisadi na kuhusika kwa wanasiasa wakubwa. Kuna vituo pia vya mafuta vilivyojengwa sehemu za kulazimisha.

Nashera ilijengwa kwenye shamba la machungwa la chuo cha serikali cha LITI. Kuna habari za uhakika kwamba chuo hicho kilinyang'anywa shamba kwa nguvu. Wengi tulishangazwa na kitendo hicho maana ktk sheria za nchi hakuna mtu mwenye madaraka ya kuchukuwa ardhi ya serikali na kumpa mtu binafsi. Tuchunguzane juu ya tabia hizi.

Hoteli ya Midland pia niliikuta pale morogoro ikiwa ndani ya eneo la hifadhi ya barabara. Tunaambiwa nayo ni mali ya mnene wa serikali. Mzunguko wa msamvu pia kuna kituo cha mafuta, sehemu ya hatari kabisa kwa magari yanayozunguka hulazimishwa kupishana na wanaoingia kituo hicho. Nacho tunaambiwa ni mtoto wa mwanasiasa. Kama ni kweli huo ndo ulevi wa wanasiasa kuamini sheria haziwahusu.

Tusubiri uadui wao ktk siasa ili tufahamu mengi ya kipuuzi.
 
Halafu Tanga Resort ya Tanga na Malaika ya Mwanza ni za nani? Tusiibue hoja ambazo nia na mashiko yake ni dhaifu sana.
 
Kuna jamaa mmoja amenitonya kuwa iliyokuwa hoteli ya fisadi flani ikienda kwa jina la Nashera imefungwa.

Mwenye taarifa zaidi kuhusu hili atiririke!
















KWA HISANI YA WATU WA TANZANIA!

Kuna shida gani Lowassa kumiliki hoteli mbona wengine wanamiliki pale Serengeti na Arusha kwenye hifadhi ya barabara maeneo ngulelo hamsemi? Lowassa ni namba nyingine hatishiwi nyau NGO! Kumbe ndiyo maana Mkapa Jana alikuwa uneasy mpaka anatukana watu kuwa ni wapumbavu. Na Kikwete badala ya kuzungumza Kama mkuu Wa nchi anasema watu wana makandokando kwa nini asiwakamate na anavyo vyombo vyote vya ulinzi na usalama(dola)
 
Yeyote mwenye hoteli hii kuna kila aina ya ufisadi na kuhusika kwa wanasiasa wakubwa. Kuna vituo pia vya mafuta vilivyojengwa sehemu za kulazimisha.

Nashera ilijengwa kwenye shamba la machungwa la chuo cha serikali cha LITI. Kuna habari za uhakika kwamba chuo hicho kilinyang'anywa shamba kwa nguvu. Wengi tulishangazwa na kitendo hicho maana ktk sheria za nchi hakuna mtu mwenye madaraka ya kuchukuwa ardhi ya serikali na kumpa mtu binafsi. Tuchunguzane juu ya tabia hizi.

Hoteli ya Midland pia niliikuta pale morogoro ikiwa ndani ya eneo la hifadhi ya barabara. Tunaambiwa nayo ni mali ya mnene wa serikali. Mzunguko wa msamvu pia kuna kituo cha mafuta, sehemu ya hatari kabisa kwa magari yanayozunguka hulazimishwa kupishana na wanaoingia kituo hicho. Nacho tunaambiwa ni mtoto wa mwanasiasa. Kama ni kweli huo ndo ulevi wa wanasiasa kuamini sheria haziwahusu.

Tusubiri uadui wao ktk siasa ili tufahamu mengi ya kipuuzi.

Lowassa anahusika hapa.wanajaribu kuficha ficha lakini haki itapatikana jembe limeshatangaza vita na mafisadi.
 
Halafu Tanga Resort ya Tanga na Malaika ya Mwanza ni za nani? Tusiibue hoja ambazo nia na mashiko yake ni dhaifu sana.

Yote tuseme tu maana tusiposema kubali kwamba wapuuzi sasa wanatutawala. Hiyo Malaika iko sehemu isiyoruhusiwa kabisa!!!

Mtu kajenga ufukweni mwa ziwa na uchafu wote unamwagwa ziwani. Barabara ilijengwa kwa kulazimisha bila hata kujali kwamba kuna watu wanahitaji barabara, lakini hiyo ikajengwa kuifuata hoteli. Ngoja wasemane mmoja baada ya mwingine. lakini kubwa ni pesa za wizi hizo maana vipato vyao halali vinajulikana.
 
Sijui mi ndio sijaelewa, mbona sijaona ufisadi uko wapi hapo? Biashara ya hotel na imejengwa na Wa marekani, what is the problem there!? Aje Magufuli au Lowassa mwenyewe, swali ni je kwanini umfirisi mtu aliyewekeza biashara yake sehemu? Bado naendelea kusisitiza kua sisi Watanzania tunao upeo mdogo sana wa kufikiri; mwekezaji akiwa Mmatumbi mwenzetu hua tunafikiria namna ya kumfirisi hata kama hana kosa lolote but akiwa Mhindi, Mwarabu au Mzungu wala hatuna shida, mleta uzi napenda kujua toka kwako, what is your stand kwa mwekezaji yule wa Loliondo ambaye ameigeuza ile ardhi kua mali ya UAE!?
 
Kuna shida gani Lowassa kumiliki hoteli mbona wengine wanamiliki pale Serengeti na Arusha kwenye hifadhi ya barabara maeneo ngulelo hamsemi? Lowassa ni namba nyingine hatishiwi nyau NGO! Kumbe ndiyo maana Mkapa Jana alikuwa uneasy mpaka anatukana watu kuwa ni wapumbavu. Na Kikwete badala ya kuzungumza Kama mkuu Wa nchi anasema watu wana makandokando kwa nini asiwakamate na anavyo vyombo vyote vya ulinzi na usalama(dola)

Mkuu sio huko serengeti hapq Moro maeneo ya kingolila kuna mbuga kibwa ya wanyama pamoja na ngo'mbe za kutosha toka hapo mpaka msoga kwa mmiliki wake inaitwa WAMIMBIGA. mbona hawahoji?
 
so what? hamtaki wawekezaji? amezalisha ajira kiasi gani? Wauza nyama na mboga mboga hawajapata soko? Mnataka watu wa kusafirisha $$$ kupeleka Uswis?... Kweli Malofa wapumbavu tuko wengi sana ...
 
Lowassa han uhusiano hata kidogo na Nashera. Mmarekani anaimiliki na mtanzania mmoja mpare ana share chache.

Nakubaliana na wewe na neno NASHERA ni la kipare kwa watu mlivyo hamkawii kusema ni Kimasai wakati ni kipare hujui bora kunyamaza kabisa:wink:
 
Watu wanadhani ufısadi wa Lowasa nı Richmond tu.Lowasa ni jamba wa hatari.Hapa Dar amejimilıkishia maeneo mengi yaliyokuwa ya wazi toka Masa,fukwe za Ununio,Kijitonyuma,Bagamoyo na hata miji ya Arusha,Morogoro na Kibaha.Watzania tusiwe mazuzu, huyo n mpgaji alıyepiku wapgajı wote wa CCM.

taja hizo sehemu alizojimilikisha hapa Arusha ikiwezekana weka ushahidi wa kuhalalisha hoja yako!
 
Mijitu mingine bhana....kujamba ajambe JK,akijamba Lowassa oooh kaharisha,mfyuuuuuuu
 
Kuna jamaa mmoja amenitonya kuwa iliyokuwa hoteli ya fisadi flani ikienda kwa jina la Nashera imefungwa.

Mwenye taarifa zaidi kuhusu hili atiririke!
















KWA HISANI YA WATU WA TANZANIA!

Yaani nyie watu ni majinga sana na ndio maana hadi mnajipa ID za JINGALAO, hivi umeishawahi kujiuliza ile Hotel ya NGURUDOTO ni ya nani? na vipi ile ya BALILA iliyopo kule kwenye Mbuga za wanyama ni ya nani? na je vituo vya mafuta vya LAKE OIL ni nani mmiliki wake?
Msipende kujivika ujinga pale tu mtu anapokuwa hayupo upande wenu huku huko mlipo ndiko kuliko na uchafu mkubwa kuliko huo mnaoufuatilia.Pia kama unapenda kufuatilia mambo hapo Morogoro ile hotel ya ghorofa nyuma stand kuu ya mabasi iliyofunguliwa mwaka 2013 unajua mmiliki wake? pia ni vema ukaenda na kule Tanga kuelekea Laskazone ufukweni utakutana na picha kubwa ya mmiliki akiwa na bibi yake na kupata maelekezo ya kuelekea kwenye hiyo Hotel ya ukoo wa mfalme.
 
Nashera haijafungwa ila imepigwa x inabomolewa. Lowasa alijimilikisha eneo la magereza
 
Back
Top Bottom