Mjanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,238
- 325
Weweweeeeeeee! kama una utani na Wasukuma na Wakuria sawa, vinginevyo unaweza kujikuta umepelekwa "Gambushi"!
Kwa taarifa yako wale wakulima wa Kisukuma au Kikurya, huwa wanakula ugali mkubwa wa dona halafu pembeni kunakuwa na ugali mdogo wa sembe...huo ugali mdogo ndio unafanywa kama mboga...na hayo yote hufanyika sio asubuhi bali ni alfajiri jogoo wa kwanza tu akiwika