BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,994
- 2,044
Mkuu... Hilo ni jina la Mzee mmoja alikuwa anaitwa Chacha Makaranga. Akaauma kuitwa bar / club yake Makaranga..
Basi enzi hizo za primary wakati imefunguliwa tulitunga wimbo wa mchakamchaka... Tuliimba hivi..
"Mwenyekiti wetu Chacha Makaranga, wakong'a wasing'ara ku inkundo ya mande"
Aione Mwita Maranya na platozoom...
Dah!Huu wimbo wenu wa mchakamchaka nimecheka sana.Kweli Taaarime unaifahamu vizuri.Kuna mtoto wake nilisoma nae sehemu.Hiyo kitu ya Marura karibu na round about acha,nilikuwa nikifika Tarime lazima nipige ripoti.
Last edited by a moderator: