Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,633
- 6,229
Kaka yangu hapo hali maana ana Vidonda vya tumbo...... Hahahaaa umenivunja mbavu Mkuu.
Ndugu yangu umenikumbusha mbali. Ukifika Butiama, nyumbani kwa Baba wa Taifa, sehemu inaitwa Stendi, hapo saa 12 asubuhi tayari kuna ugali na nyama vinakuwa vimeshaiva. Hicho chakula wenyewe utasikia wanasema, "Lete rungu kwa kichuri". Maana yake ni ugali wa mtama uliochanganywa kwa mhongo kwa nyama ya mbuzi. Pembeni lazima kuwe na pilipili.