Hoteli wanayopika ugali asubuhi

Hoteli wanayopika ugali asubuhi

umenikubusha ubhusara iyo kitu tamu balaa,wanakateknolojia kao jinsi ya kutengeneza,ila mwisho wa maneno kuna uji wao special wanutengeneza wakati wa harusi,jina nimesahau la huo uji,ni mtamu kupita maelezo,hii watu ya pande ya tarime inafaidi vitu vitatamu tamu.
Kuna entobheke inawekwa kwenye (ntahe) thermos ya kikurya alafu kuna ule uji wa mkwelima na pembeni ufuta ulokaangwa ukachanganywa na ulezi wa kukaanga (vinaongeza nguvu za kiume ma mkwe be blessed kwa makusudi uliyonilisha hivyo)
 
Yeeeeeuuuuuwwwwiiiiii...... Mkuu itabidi likizo ya mwaka huu niende home special kwa ajili ya hivyo vitu... Kwanza Kichuri, pili ubhusara, tatu ekhimoro, nne na mwisho huo uji unaotengenezwa kwa mafuta ya maziwa a.k.a NTOBHEKHE
Huo uji bana acha tu ile ladha yaani sijui ubunifu ule waliutoa wapi bibi zetu ila niliuza maandalizi ya ule uji si mchezo
 
Aaah! umenikumbusha mbali sana, Nguku nilikwea nikiwa na miaka minne, kutokea Kibumaye via Kenyamanyori kila siku, sijui ng;enyi bado ipo! Irityambwe? jamani ile mboga ya thamani sana sijawahi ona!

Kubhusugurya amobha!! sijui km bado ipo hiyo!
Eeh tata hadi udenda umenitoka
 
Kwangu imekuwa news baada ya kukuta mgahawa mmoja jijini Dar wateja wake wakila ugali mida ya saa mbili asubuhi. Je hii ni kawaida?!

Maoni yako ni yapi ikiwa karibia hoteli kadhaa zikaamua kupika asubuhi chakula kinacholiwa mchana, bila kujali ni ndizi, wali ama ugali na maharage.
Kwa maana moja au nyingine ni kwamba wewe umetembelea hotel zooooote za dar na ukabaini ya kuwa hiyo hotel pekee ndiyo inayopika ugali asubuhi!!
 
Kwangu imekuwa news baada ya kukuta mgahawa mmoja jijini Dar wateja wake wakila ugali mida ya saa mbili asubuhi. Je hii ni kawaida?!

Maoni yako ni yapi ikiwa karibia hoteli kadhaa zikaamua kupika asubuhi chakula kinacholiwa mchana, bila kujali ni ndizi, wali ama ugali na maharage.
Huo ni ubunifu mkuuu naona wenye hoteli wameona wafanye hivo ili kujitofautisha na hoteli nyingine
 
Mazoe tu! Mm ugali hata saa 11 alfajiri nagonga vzuri tu! Tena ukipata ule wa muhogo na samaki ya kukaanga acha kabisaa!

Kanda ya ziwa kawaida sana mkuu hizo mambo!
 
Kwa maana moja au nyingine ni kwamba wewe umetembelea hotel zooooote za dar na ukabaini ya kuwa hiyo hotel pekee ndiyo inayopika ugali asubuhi!!
Hapana ,sema imezoeleka ugali kutokuwa kifungua kinywa, kwangu niliona ni habari na kuona niwashirikishe humu wadau nanyi mtoe maoni yenu
 
Back
Top Bottom