1. Imani za watu zimeshuka sana, au tuseme watu kutojihusisha na mambo ya kidini, mf. wazee wetu hadi wanazeeka na kuishiwa nguvu ila bado ni wazee wa kanisa/msikiti ila leo vijana hata hatuna habari na mambo ya ibadani
2. uvujaji wa mambo ya deturi za ulaya ktk jamii zetu na sisi tumeyaokea desturi hizo na kuzifanya ndo sehemu ya maisha yetu na asiyeishi kizungu huonekana mshamba na kaitwa na wakati
3. kupeleka watoto wadogo shule za bweni
ila kwakweli hili ni tatizo kubwa sana na kuna mda huwa nahisi IT'S TOO LATE! , maana sasa wakaka wanaomba mchezo huo na pia wadada nao wanaomba mchezo tena katikati ya gemu, je ni nani atamuelimisha mwenzake............. mi naona tu ni kuwa kila mtu na akili zake anajua anafanya nini, ni nani asiyejua maagizo ya Mungu katika vitabu vyake, ni nanai asiyejua kufanya ngono kinyume na maumbile ni dhambi... ninaowahurumia zaidi ni watoto wadogo asiojua wanachofanyiwa ila kwa sie watu wazima ni kuwa mtu kataka mwenyewe vinginevyo iwe amebakwa.