kibanga 3
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 1,380
- 977
Wanaweka kaswida mwanzo mwisho mkuuAisee mkuu wanawekaga kwaya? Hiyo ruti bila hiyo kitu abiria wananuna
Wanaweka kaswida mwanzo mwisho mkuuAisee mkuu wanawekaga kwaya? Hiyo ruti bila hiyo kitu abiria wananuna
KWA SASA TUMIA HATA TILISHOSijui ni mahaba ila sisafiri na bus Nyingine zaidi ya Dar express na Kilimanjaro
Alafu awekewe kaswida badala ya rose mhandoHahahahahaha eti Mchagga, Mmeru, Masai, Mpare, Muarusha apande gari inaitwa "TAHMEED" aache Kilimanjaro, Dar Express na Ngurika.. Thubutuuuu
Mzee hizi sio KBS ni za SawayaKilimanjaro ni wasikivu mno na ndiyo maana wamekuwepo tangu mimi nikiwa mtoto kabisa enzi hizo zilikuwa zinaitwa KBS enzi mzee Maeda akiwa hai..
Mhhhhh acha uongo, mbona kuna siku nimekuona umepanda Sai Baba???Tangu nije DAR miaka kumi na saba iliyopita sijawahi kupanda gari nyingine zaidi ya DAR express na KIlimanjaro
Ndio hapo sasaAlafu awekewe kaswida badala ya rose mhando
KITAMBAA CHEUSI kwenye mabasi ya SaibabaMhhhhh acha uongo, mbona kuna siku nimekuona umepanda Sai Baba???
Aisee bado nipo loyal kwa Dar express ama Kilimanjaro bado sijafikiria kabisa kubadilishaKWA SASA TUMIA HATA TILISHO
inaelekea wewe ni ndondocha za wenye hayo mabasiTangu nije DAR miaka kumi na saba iliyopita sijawahi kupanda gari nyingine zaidi ya DAR express na KIlimanjaro
Teh....inaelekea wewe ni ndondocha za wenye hayo mabasi
hata na kirumocharoTahmeed ni noma.. haina mpinzani unapoilinganisha na chakito
Klm iliyoanguka Arusha haikuua nilikuwepo kwenye eneo la ajali usipotoshe watu kwa kujipigia debeToa evidence na uwe mkweli kabisa kwa kumuogopa mungu lini umesikia tahmeed imeanguka au kuwaka moto,halafu nipm namba yako nikutumie mamia ya picha za ajali za kilimanjaro na dar express, mbaya zaidi kwa uongo wako wiki iliyopita kilimajaro imeanguka na kuua wiki iliyopita ikitoka stand arusha
Bro jipange vizuri lasivyo nitakuona hujawahi hata kuipanda hiyo kilimanjaro,maana hapa unatia aibu tu
Choo hakitumiki kaka acha uongoVingi sana,inshorty kila utakachopata humo hutapata kwenye basi yoyote ya dar nairobi au dar arusha,
ac
Tv za kila kona
Fridge
Choo
Kahawa
Soda
Disposer
Wi-fi
Siti za ngozi
Siti nene za kujiachia
Nk.ukiwa tayari nicheki
unapopost kitu jaribu kuwa mkweli,hizo bus mpya za kilimanjaro express hata haujaziona unasema zimeongezwa seat ,hizo bus zina seat 47 hebu tueleze ni seat ngapi zimeongezwa?tahmeed ya 2*2 ina seat zaidi ya 50 sasa usitafute kick kuipaisha tahmeed kilimanjaro express tutazidi kuwaburuza tu.pia hizo bus n mpya sasa tuambie hizo ac ambazo uliziongelea ww mpaka ukasikiwa ndio zikafungwa wakati hizo bus zimekuja tokea mwaka jana december,punguza propaganda.Kwanza kabisa naomba nitoe pongezi kwa kampuni ya mabus ya kilimanjaro kwa kuona thread yangu wiki mbili zilizopita na kuamua kuifanyia kazi
Jumamosi hii ya juzi kilimanjaro express wameanza kufunga ac kwenye bus zao nne ambazo zitaanza kutumia ac siku ya jumatano kesho kutwa,i hope dar express nao watabadilika
Ila sasa nataka niwakosoe kilimajaro express,hivi ni ubahili kiasi gani mlio nao mkaamua kuongeza siti kwenye bus zenu zinazofungwa ac?yaani kwa kifupi haina tofauti na school bus tena za chekechea,mmebana siti ziwe ndogooo hakuna nafasi ya kuweka miguu,yaani ubahili huu umepitiliza,hii yote ni katika kushindana na tahmeed.
Sasa kilimanjaro mmebana siti ili waingie watu wengi,tv moja tu,hakuna wifi,siti sio za ngozi,charging system hakuna,fridge na disposer hakuna,halafu leo hii mnataka kushindana na TAHMEED
Ikumbukwe katika njia ya dar moshi arusha nairobi SUMATRA wamethibitisha ni TAHMEED pekee ndio bus la kifahari kwa kubandika sticker ya blue mlangoni kuthibitisha kuwa ni bus la daraja la juu sana
Mbaya zaidi TAHMEED imeleta mabus mapya zaidi ya 25 yapo yard kufikiria ziende route ipi ,hii imewaletea wamiliki wa mabus wa kaskazini waliozoea kufanya biashara kwa mazoea kitu kinachoitwa TAHMEED fever
Kigoma mbeya mwanza songea kahama singida jiandaeni
kilimanjaro express hatupo kwa ajili ya kukimbizana na tahmeed tupo kwa ajili ya biashara na hata tukitaka ligi hawatuwezi mchina na scania wap na wap?Kilimanjaro imebase sana kwenye abiria na mizigo wale jamaa wanapiga sana hela kwenye mizigo waache tu ubahili uwezo wanao wakukimbizana na hyo Tahmeed"
Naskia sana Sifa za Tahmeed itabidi siku nibuni kisafari nijionee mwenyewe.
Kwani nyie hamna mchina?kilimanjaro express hatupo kwa ajili ya kukimbizana na tahmeed tupo kwa ajili ya biashara na hata tukitaka ligi hawatuwezi mchina na scania wap na wap?