Hongereni Mabasi ya Kilimanjaro Express

Hongereni Mabasi ya Kilimanjaro Express

Hizo TAHMEED hebu zianze kuja na huku Mwanza ili tuone raha yake.
 
Tahmeed hana ubavu wa kuleta luxury class kwenye route ndefu kama za mwanza,kigoma,kahama,mbeya,songea etc zitachoka kesho tu..hivi kuna watu bado wanapanda k'manjaro au dar exprec? Bora ukapanda BM coach au New force
 
Tahmeed hana ubavu wa kuleta luxury class kwenye route ndefu kama za mwanza,kigoma,kahama,mbeya,songea etc zitachoka kesho tu..hivi kuna watu bado wanapanda k'manjaro au dar exprec? Bora ukapanda BM coach au New force
Basi atuletee za Mwanza-Musoma
 
Tahmeed hana ubavu wa kuleta luxury class kwenye route ndefu kama za mwanza,kigoma,kahama,mbeya,songea etc zitachoka kesho tu..hivi kuna watu bado wanapanda k'manjaro au dar exprec? Bora ukapanda BM coach au New force
Ziko za mombasa kigali sembuse kahama au mwanza?uko timamu kweli ?
 
Tahmeed hana ubavu wa kuleta luxury class kwenye route ndefu kama za mwanza,kigoma,kahama,mbeya,songea etc zitachoka kesho tu..hivi kuna watu bado wanapanda k'manjaro au dar exprec? Bora ukapanda BM coach au New force
New force ya kwenda wapi??
 
ndio namshangaa New Force ruti ya kaskazini sijawai kuona na BM n za Moro
Kakurupuka ilimradi aonekane kachangia mada au anayafahamu mabasi, saa nyingine kama kitu hufahamu ni vyema kukaaa kimya kuliko kuanika ujinga wako hadharani...
 
Ya Tanzania na mmiliki ni kijana wa kiarabu anaishi Tanga, kenya kenya kila kitu kenya.
Kijijini kwao ni duga maforoni wamehamia tanga mjini makorora,yeye mwenyewe anaishi mombasa,unaposema muarabu unamaanishaje au kwakuwa ni mweupe na nywele za kiarabu.kama ni mwenyeji wa tanga basi huezi kusema salim kilonzo ni muarabu
 
Kijijini kwao ni duga maforoni wamehamia tanga mjini makorora,yeye mwenyewe anaishi mombasa,unaposema muarabu unamaanishaje au kwakuwa ni mweupe na nywele za kiarabu.kama ni mwenyeji wa tanga basi huezi kusema salim kilonzo ni muarabu

kumbe hana hata asili ya uarabu?? Duga Maforoni iko Mombasa, Kenya au Tanga, Tanzania??? haya boss wake Salim Kirozo, sasa wewe uko falcon mbona wapigia debe Tahmeed???? hebu tupe historia yake kwa ufupi basi, nilikuwa namjua zamani alikuwa anafnaya kazi Tawfiq kama sijakosea nae alikuwa mfanyakazi wa kawaida, mie mtu wa Bagamoyo ila mwenyeji wa Mombasa.
 
Kilimanjaro ni wasikivu mno na ndiyo maana wamekuwepo tangu mimi nikiwa mtoto kabisa enzi hizo zilikuwa zinaitwa KBS enzi mzee Maeda akiwa hai..
Mkuu unanikumbusha mbali sana, kipindi kile kuna ttbs, TBS, kamata, imam, lan'gata, Rombo safaris, Rombo mwelekeo, Rombo investment, masama cliff, njuweni, ngorika, hatco na mengine mengi.
 
Mkuu unanikumbusha mbali sana, kipindi kile kuna ttbs, TBS, kamata, imam, lan'gata, Rombo safaris, Rombo mwelekeo, Rombo investment, masama cliff, njuweni, ngorika, hatco na mengine mengi.
Ni kweli mkuu na KBS zilikuwa ni ma Leyland hata likiwa mbali unajua tu KBS hiyo ndo inakuja....Ni kuna mengine yalikuwa yanaitwa Ibanya sijui asili ya hili jina Ibanya'' bila kusahau Kajoi..
 
Back
Top Bottom