falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
- Thread starter
- #21
25000 Hadi 20000kwan bei ya Tahmeed n shingap?,jpil iliyopta nlpanda Dar xpress nljuta gari halina Ac ksa ges imeisha
25000 Hadi 20000kwan bei ya Tahmeed n shingap?,jpil iliyopta nlpanda Dar xpress nljuta gari halina Ac ksa ges imeisha
Acha uongo kilimanjaro haitokeagi stendi ya arusha unajua ofisi zao zilipo? Au unataka kuwachafulia tu?Toa evidence na uwe mkweli kabisa kwa kumuogopa mungu lini umesikia tahmeed imeanguka au kuwaka moto,halafu nipm namba yako nikutumie mamia ya picha za ajali za kilimanjaro na dar express, mbaya zaidi kwa uongo wako wiki iliyopita kilimajaro imeanguka na kuua wiki iliyopita ikitoka stand arusha
Bro jipange vizuri lasivyo nitakuona hujawahi hata kuipanda hiyo kilimanjaro,maana hapa unatia aibu tu
juzi KLM limedondoka, na mwaka juzi Dar xpress likiungua moto loteToa evidence na uwe mkweli kabisa kwa kumuogopa mungu lini umesikia tahmeed imeanguka au kuwaka moto,halafu nipm namba yako nikutumie mamia ya picha za ajali za kilimanjaro na dar express, mbaya zaidi kwa uongo wako wiki iliyopita kilimajaro imeanguka na kuua wiki iliyopita ikitoka stand arusha
Bro jipange vizuri lasivyo nitakuona hujawahi hata kuipanda hiyo kilimanjaro,maana hapa unatia aibu tu
mh mbona Semi luxury n 33k hyo full luxury itakuaje 25k??25000 Hadi 20000
Mkuu kumbe na wewe ni wa mkoani?Tangu nije DAR miaka kumi na saba iliyopita sijawahi kupanda gari nyingine zaidi ya DAR express na KIlimanjaro
Uage kazini mkuuKilimanjaro imebase sana kwenye abiria na mizigo wale jamaa wanapiga sana hela kwenye mizigo waache tu ubahili uwezo wanao wakukimbizana na hyo Tahmeed"
Naskia sana Sifa za Tahmeed itabidi siku nibuni kisafari nijionee mwenyewe.
Waombe radhi watu wa tangaaya mabas ya tahmed ni ya waarabu wazee wa majini kufukuzia ud hutupandi mkuu sisi wachaga tunapanda ya wachaga wenzetu babaake ayo peleka tanga kwenye wafuga majini
radhi ya nn si wanafuga tuu majin mkuuWaombe radhi watu wa tanga
Majini wanafuga wale wanaoua wake zao waongeze mabus,radhi ya nn si wanafuga tuu majin mkuu
hakuna mwarabu anaemiliki mabus asiye na majini mkuu hizo bus iyo rut hatoboi kukaa Road iyo ina wenyewe pelekeni mombasa kwa waliwao min kabangMajini wanafuga wale wanaoua wake zao waongeze mabus,
Je unawajua?au na wewe ni zimpopo tu
Frm Ijumaa to Jpili sii mbaya"Uage kazini mkuu
Wahudumu hasa wadada siku hizi siyapandi wanafanya biashara mazoea tu. Kuna siku walimfokea abiria na nyodo.
Pamoja na maboresho hayo wakumbuke kupiga misasa ndimi za wahudumu wao kila wakati maana muda mwingine wanajisahau sana
Kwa upande wa TV ingependeza kama kila siti ingekuwa na headset zake ili kutompa usumbufu wa kelele msafiri asiye na interest na burudani hizo
Nikusaidie tu dadangu mmoja wao anaitwa aliceWahudumu hasa wadada siku hizi siyapandi wanafanya biashara mazoea tu. Kuna siku walimfokea abiria na nyodo.
Kulikua na wifi ac charging system siti za ngozi choo fridge disposer?Kilimanjaro warekebishe mabasi yao siti zimejibana had ufike umechoka hata wahudumu wana nyodo. Kwanza siku hizi mabasi mengi mazuri Kilimanjaro imebaki jina tu
Ndicho ulichobakiza?hakuna mwarabu anaemiliki mabus asiye na majini mkuu hizo bus iyo rut hatoboi kukaa Road iyo ina wenyewe pelekeni mombasa kwa waliwao min kabang
ijumaa hadi jumapili?Frm Ijumaa to Jpili sii mbaya"