Hongereni Mabasi ya Kilimanjaro Express

Hongereni Mabasi ya Kilimanjaro Express

Toa evidence na uwe mkweli kabisa kwa kumuogopa mungu lini umesikia tahmeed imeanguka au kuwaka moto,halafu nipm namba yako nikutumie mamia ya picha za ajali za kilimanjaro na dar express, mbaya zaidi kwa uongo wako wiki iliyopita kilimajaro imeanguka na kuua wiki iliyopita ikitoka stand arusha

Bro jipange vizuri lasivyo nitakuona hujawahi hata kuipanda hiyo kilimanjaro,maana hapa unatia aibu tu
Acha uongo kilimanjaro haitokeagi stendi ya arusha unajua ofisi zao zilipo? Au unataka kuwachafulia tu?
 
Toa evidence na uwe mkweli kabisa kwa kumuogopa mungu lini umesikia tahmeed imeanguka au kuwaka moto,halafu nipm namba yako nikutumie mamia ya picha za ajali za kilimanjaro na dar express, mbaya zaidi kwa uongo wako wiki iliyopita kilimajaro imeanguka na kuua wiki iliyopita ikitoka stand arusha

Bro jipange vizuri lasivyo nitakuona hujawahi hata kuipanda hiyo kilimanjaro,maana hapa unatia aibu tu
juzi KLM limedondoka, na mwaka juzi Dar xpress likiungua moto lote
 
Kilimanjaro imebase sana kwenye abiria na mizigo wale jamaa wanapiga sana hela kwenye mizigo waache tu ubahili uwezo wanao wakukimbizana na hyo Tahmeed"
Naskia sana Sifa za Tahmeed itabidi siku nibuni kisafari nijionee mwenyewe.
 
aya mabas ya tahmed ni ya waarabu wazee wa majini kufukuzia ud hutupandi mkuu sisi wachaga tunapanda ya wachaga wenzetu babaake ayo peleka tanga kwenye wafuga majini
Waombe radhi watu wa tanga
 
Kilimanjaro warekebishe mabasi yao siti zimejibana had ufike umechoka hata wahudumu wana nyodo. Kwanza siku hizi mabasi mengi mazuri Kilimanjaro imebaki jina tu
 

Pamoja na maboresho hayo wakumbuke kupiga misasa ndimi za wahudumu wao kila wakati maana muda mwingine wanajisahau sana

Kwa upande wa TV ingependeza kama kila siti ingekuwa na headset zake ili kutompa usumbufu wa kelele msafiri asiye na interest na burudani hizo
Wahudumu hasa wadada siku hizi siyapandi wanafanya biashara mazoea tu. Kuna siku walimfokea abiria na nyodo.
 
Hayo Tahmeed yanakwenda mwendo wa kunyata kama yapo kwenye msafara wa harusi au msiba.....
 
Back
Top Bottom