falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
- Thread starter
- #101
keki mpya[/QUOTE]QUOTE="bejamin, post: 15634244, member: 281606"]Tahmeed ni nn?
Umetisha mkuu
keki mpya[/QUOTE]QUOTE="bejamin, post: 15634244, member: 281606"]Tahmeed ni nn?
Exactly umesema ukweli asilimia miaTahmeed ni kampuni ya mtanzania na kawekeza na kenya.Mwenyewe ni wa Tanga.Ofisi zake kuu zipo mombasa
acha uwongo Kilimanjaro haijapata ajali wiki iliyopita ni magari pekee yanayoaminika kwa wengi ndo mana real Madrid walipokuja bongo walitoka dar-moshi kwa Kilimanjaro kwenda kupanda mlimaToa evidence na uwe mkweli kabisa kwa kumuogopa mungu lini umesikia tahmeed imeanguka au kuwaka moto,halafu nipm namba yako nikutumie mamia ya picha za ajali za kilimanjaro na dar express, mbaya zaidi kwa uongo wako wiki iliyopita kilimajaro imeanguka na kuua wiki iliyopita ikitoka stand arusha
Bro jipange vizuri lasivyo nitakuona hujawahi hata kuipanda hiyo kilimanjaro,maana hapa unatia aibu tu
Sibishani na mwehu,piga simu uulize arusha.boya weacha uwongo Kilimanjaro haijapata ajali wiki iliyopita ni magari pekee yanayoaminika kwa wengi ndo mana real Madrid walipokuja bongo walitoka dar-moshi kwa Kilimanjaro kwenda kupanda mlima
Ni 20000 hadi 2500025000 Hadi 20000
Hivi hiyo K inasimamia neno gani mkuu. Yaani 33k 25k...mh mbona Semi luxury n 33k hyo full luxury itakuaje 25k??
K inasimama kwa niaba ya neno Elfu/Thousand ('000). So, 33K ni 33,000/- & 25K ni 25,000/-.Hivi hiyo K inasimamia neno gani mkuu. Yaani 33k 25k...
Kwanza kabisa naomba nitoe pongezi kwa kampuni ya mabus ya kilimanjaro kwa kuona thread yangu wiki mbili zilizopita na kuamua kuifanyia kazi
Jumamosi hii ya juzi kilimanjaro express wameanza kufunga ac kwenye bus zao nne ambazo zitaanza kutumia ac siku ya jumatano kesho kutwa,i hope dar express nao watabadilika
Ila sasa nataka niwakosoe kilimajaro express,hivi ni ubahili kiasi gani mlio nao mkaamua kuongeza siti kwenye bus zenu zinazofungwa ac?yaani kwa kifupi haina tofauti na school bus tena za chekechea,mmebana siti ziwe ndogooo hakuna nafasi ya kuweka miguu,yaani ubahili huu umepitiliza,hii yote ni katika kushindana na tahmeed.
tahmees sasa hivi ndio basi peke linaloweza kunipeleka dar na kunirudisha arusha, kuna hewa safi, choo,sehemu ya kuchajia simu, wahudumu safi kabisa, pale sehemu ya kulia mnakaa nusu saa yaani unakula chakula kinashuka
Ni basi ambalo naweza mrecommend mtu apande.
Bravo Tahmeed
Kulikua na wifi ac charging system siti za ngozi choo fridge disposer?
Aisee mkuu wanawekaga kwaya? Hiyo ruti bila hiyo kitu abiria wananunaVingi sana,inshorty kila utakachopata humo hutapata kwenye basi yoyote ya dar nairobi au dar arusha,
ac
Tv za kila kona
Fridge
Choo
Kahawa
Soda
Disposer
Wi-fi
Siti za ngozi
Siti nene za kujiachia
Nk.ukiwa tayari nicheki
Bm ya arusha moro ipo, nimepanda jana mchina mpya kabisandio namshangaa New Force ruti ya kaskazini sijawai kuona na BM n za Moro
Wasalimie shivers au babilonItabidi nipande Tahmeed baada ya Easter nifike chuga