Ombudsman
JF-Expert Member
- Apr 18, 2012
- 3,565
- 3,735
ahahaha acha kuzingua weweWasalimie shivers au babilon
ahahaha acha kuzingua weweWasalimie shivers au babilon
Uwe mwana una dharubu ka nini! Waifya, usiriche mamboyo. Msalimie odo, karibu kibiboni,mtimbwani, manza,petukiza, mwaboza, moa,zingibari, mbuluni,duga sigaya,duga maforoni mpaka horohoro, pasipo kusahau jesaniWasalimie shivers au babilon
Hehehehe hayo ni maeneo ya wadigo na waduruma,kutoka hapo unapotaja hadi mombasa ni bado ni mbali sana.uvuke boda uingie lungalunga kisha uanze kuitafuta kaunti ya kwale kisha mwishoni kabisa ndio kaunti ya mombasaUwe mwana una dharubu ka nini! Waifya, usiriche mamboyo. Msalimie odo, karibu kibiboni,mtimbwani, manza,petukiza, mwaboza, moa,zingibari, mbuluni,duga sigaya,duga maforoni mpaka horohoro, pasipo kusahau jesani
badilisha hiyo dp yako.aya mabas ya tahmed ni ya waarabu wazee wa majini kufukuzia ud hutupandi mkuu sisi wachaga tunapanda ya wachaga wenzetu babaake ayo peleka tanga kwenye wafuga majini
Nauli elfu 33. Ukipigwa 35tau. Fringe benefits: Kuna roundcake 1, one soda/water, ivory pipi 3 na maji tena. Ukifika Korogwe unapumzika for Lunch kwenye Five star restaurant. Lunch 7000tau(chips/kuku/nyamachoma).Naul ya hiyo gari ilodhibitishwa na Sumatra arusha dar ni kias gan
Kilimanjaro ni wasikivu mno na ndiyo maana wamekuwepo tangu mimi nikiwa mtoto kabisa enzi hizo zilikuwa zinaitwa KBS enzi mzee Maeda akiwa hai..
Halaf wewe unaongea lakin humjui vizuri huyo Mmmiliki wa Tahmeed nilipokwambia ni mtu wa Tanga ukasema wa duga maforoni, ha ha ha ha hata kama anaishi Mombasa kwa sasa ila Makorora ndoa alipokulia na Sahare ndipo alipomjengea mama yake. kwahiyo ni Mtanga asili Duga mafuroni kama unavyotaka, na asili ya uarabuni anayo.Exactly umesema ukweli asilimia mia
Duhhhhhh.....tumekushutukia..tutazidi kupanda dar express mabasi yenu ya majini pelekeni mombasa tahmeed ndo nini?
Weka picha chache ambazo hazikubani kisheria,Toa evidence na uwe mkweli kabisa kwa kumuogopa mungu lini umesikia tahmeed imeanguka au kuwaka moto,halafu nipm namba yako nikutumie mamia ya picha za ajali za kilimanjaro na dar express, mbaya zaidi kwa uongo wako wiki iliyopita kilimajaro imeanguka na kuua wiki iliyopita ikitoka stand arusha
Bro jipange vizuri lasivyo nitakuona hujawahi hata kuipanda hiyo kilimanjaro,maana hapa unatia aibu tu
Toa evidence na uwe mkweli kabisa kwa kumuogopa mungu lini umesikia tahmeed imeanguka au kuwaka moto,halafu nipm namba yako nikutumie mamia ya picha za ajali za kilimanjaro na dar express, mbaya zaidi kwa uongo wako wiki iliyopita kilimajaro imeanguka na kuua wiki iliyopita ikitoka stand arusha
Bro jipange vizuri lasivyo nitakuona hujawahi hata kuipanda hiyo kilimanjaro,maana hapa unatia aibu tu
Hahahahahaha eti Mchagga, Mmeru, Masai, Mpare, Muarusha apande gari inaitwa "TAHMEED" aache Kilimanjaro, Dar Express na Ngurika.. Thubutuuuuaya mabas ya tahmed ni ya waarabu wazee wa majini kufukuzia ud hutupandi mkuu sisi wachaga tunapanda ya wachaga wenzetu babaake ayo peleka tanga kwenye wafuga majini
Halaf wewe unaongea lakin humjui vizuri huyo Mmmiliki wa Tahmeed nilipokwambia ni mtu wa Tanga ukasema wa duga maforoni, ha ha ha ha hata kama anaishi Mombasa kwa sasa ila Makorora ndoa alipokulia na Sahare ndipo alipomjengea mama yake. kwahiyo ni Mtanga asili Duga mafuroni kama unavyotaka, na asili ya uarabuni anayo.
Mattako bar umeisahauWasalimie shivers au babilon
DARLUX NDIO HABARI YA MUJINISisi wa Mwanza,hatutaki gari za kimama kama hzo,tunataka gari inayotembea kama Kisbo
KWA NJIA YA TANGA MNASUBIRI KWA RATCO, HATA NAULI ZENU NI 18, RATCO 20Kwakifupi hadi sasa hakuna bus nyingine zaidi ya tahmeed iliyothibitishwa na sumatra kuwa ni ya hadhi ya juu zaidi ya tahmeed hii ni kwa njia ya dar moshi arusha nairobi