chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,786
uwiii ningeenda ata kesho moshi....![]()
Mkuu ID yako tu imeifanya siku yangu...uwiii ningeenda ata kesho moshi....![]()
Mkuu ID yako tu imeifanya siku yangu...tutake radhi mkuu mbona mm naishi tanga Na sifugi majini?radhi ya nn si wanafuga tuu majin mkuu
mkuu sio kweli nilipanda youtong moja ya Mombasa dar ilikuwa inafukuzana tawakal kinglong asee humo njiani ni AC n TV yao vilitutoa kwenye mood kama tupo kwenye ligiHayo Tahmeed yanakwenda mwendo wa kunyata kama yapo kwenye msafara wa harusi au msiba.....
mkuu mimi nakumbuka iko Na zaidi ya miaka tisaTahmeed ziko barabarani toka mwaka gani?....na wewe hapo kuwa mkweli na kumuogopa Mungu.
Kuna mtu aliwahi kusema gari hizo unazozisifia ni za majiini. Hebu fafanua hili.
teheheheh kumbe wanachama mko wengiuwiii ningeenda ata kesho moshi....😛
Umenikumbusha mbali sana baba yangu aliwahi kuwa konda wa kajoiNi kweli mkuu na KBS zilikuwa ni ma Leyland hata likiwa mbali unajua tu KBS hiyo ndo inakuja....Ni kuna mengine yalikuwa yanaitwa Ibanya sijui asili ya hili jina Ibanya'' bila kusahau Kajoi..
Bila kusahau kindo kyako mbe hilo lilikua linaenda mpaka kiraracha kwa mzee mremaMkuu unanikumbusha mbali sana, kipindi kile kuna ttbs, TBS, kamata, imam, lan'gata, Rombo safaris, Rombo mwelekeo, Rombo investment, masama cliff, njuweni, ngorika, hatco na mengine mengi.
Maanake KILIMANJARO ni threat kwao....!Jamaa anaibust TAHMEED kupitia Kilimanjaro nweis sio mbaya
Ajali ni jambo lisilotarajiwa, wala hakuna anayeombea ajali...!Toa evidence na uwe mkweli kabisa kwa kumuogopa mungu lini umesikia tahmeed imeanguka au kuwaka moto,halafu nipm namba yako nikutumie mamia ya picha za ajali za kilimanjaro na dar express, mbaya zaidi kwa uongo wako wiki iliyopita kilimajaro imeanguka na kuua wiki iliyopita ikitoka stand arusha
Bro jipange vizuri lasivyo nitakuona hujawahi hata kuipanda hiyo kilimanjaro,maana hapa unatia aibu tu
nlkua natafuta bei yao kumbe n sawa na hayo mengneNilipanda Tahmeed daraja la juu from Dar to Arusha baadaya ya kukosa nafasi kwenye Kilimanjaro, kwa kweli sikujutia, they deserve it huwezi compare na Kilimanjaro au Dar express, mwendo wao mzuri, nauli 33,000/= ila bado hawana wateja wengi
Mombasa sehem gani ?njoo ule upepo kisaunikumbe hana hata asili ya uarabu?? Duga Maforoni iko Mombasa, Kenya au Tanga, Tanzania??? haya boss wake Salim Kirozo, sasa wewe uko falcon mbona wapigia debe Tahmeed???? hebu tupe historia yake kwa ufupi basi, nilikuwa namjua zamani alikuwa anafnaya kazi Tawfiq kama sijakosea nae alikuwa mfanyakazi wa kawaida, mie mtu wa Bagamoyo ila mwenyeji wa Mombasa.
Basi next time usikose tenaNilipanda Tahmeed daraja la juu from Dar to Arusha baadaya ya kukosa nafasi kwenye Kilimanjaro, kwa kweli sikujutia, they deserve it huwezi compare na Kilimanjaro au Dar express, mwendo wao mzuri, nauli 33,000/= ila bado hawana wateja wengi
Next time upande tahmeed ndio iko certisfied na sumatra kwa kanda ya kaskazini kuwa ni bus za kifahari na hakuna kampuni nyingine yenye sticker hiyo zaidi tahmeed,sisifii tu bali nazungumza kitu ambacho kipoJumamosi nimepanda Sky line nalo liko vizuri sana, full ac, usb port kwa ajili ya kuchaji simu. Mnapata vinywaji soda/maji. Nauli 30,000. Wakati naenda stendi ubungi nilikuwa nailia timing Tahmeed maana kuna jamaa alikuwa akiisifia hapa ila baada ya kuikosa na kupata sky line safari yangu ilikuwa poa kabisa.