Invisible
JF Admin
- Feb 26, 2006
- 16,286
- 8,380
Wakuu,
Dada yetu na mwanachama mwenzetu (hapa JF) Regia Mtema kapitishwa kama mbunge kupitia fursa za viti maalum kwa tiketi ya chama chake (CHADEMA). Nilisikitika ulivyopigana kupitia siasa za jukwaani na kuonekana kama ulichezewa rafu lakini Mungu kakusimamia na kahakikisha lengo lako haligongi ukuta.
Kwa hili, bila kuangalia itikadi za kisiasa napenda kumpongeza na kumtakia kila la heri huko Bungeni.
Aidha, list itatajwa muda si mrefu kupitia TBC1 kwa wanaoangalia taarifa ya habari ya saa 2 usiku.
Dada yetu na mwanachama mwenzetu (hapa JF) Regia Mtema kapitishwa kama mbunge kupitia fursa za viti maalum kwa tiketi ya chama chake (CHADEMA). Nilisikitika ulivyopigana kupitia siasa za jukwaani na kuonekana kama ulichezewa rafu lakini Mungu kakusimamia na kahakikisha lengo lako haligongi ukuta.
Kwa hili, bila kuangalia itikadi za kisiasa napenda kumpongeza na kumtakia kila la heri huko Bungeni.
Aidha, list itatajwa muda si mrefu kupitia TBC1 kwa wanaoangalia taarifa ya habari ya saa 2 usiku.