Mzee ni kote kote haya mambo!Aisee kwani chadema kuna haya jamani? Huyu atakuwa muongo tuu anawasingizia chadema!
Soma kitabu cha Sugu ili ujue CHADEMA nao hawako nyuma kwenye hii michezo michafu ya wajumbe.Aisee kwani chadema kuna haya jamani? Huyu atakuwa muongo tuu anawasingizia chadema!
Wabunge wa MagufuriTAKUKURU mko wapi ? Mtu anakiri kuzambaza pesa kwa ajili ya kupata kitu kinyume na utaaribu hadharani .
😂😂😂😂😂Masahihisho : Chadema haina mbunge wa Viti Maalum Bungeni
Gani alipiga simu na kuwaambia mpaka nguo za kuvaa? Tuseme ni ndugai?Huyu mama wa CHADEMA ni mpuuzi. Kwahiyo Mungu anahusika na kutoa rushwa? Aseme tu shetani alimwinua. Asimhusishe Mungu na mambo ya rushwa za huko kwao CHADEMA.
anawainspire wadada wa chuo wazingatie maokoto bado mapema maokoto ndio yatakuokota baadae!Felista Njau, Mbunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA, ameeleza jinsi ambavyo kwenye siasa za Tanzania bila kutumia pesa kununua kura huwezi kupata uongozi
Asimulia jinsi wabunge COVID-19 walivyoitwa na kigogo Dodoma kuapishwa kwa siri
View attachment 2828528
Katumwa mzee, kama alitoa rushwa TAKUKURU wamkamateAisee kwani chadema kuna haya jamani? Huyu atakuwa muongo tuu anawasingizia chadema!
Ni MnyikaNI kigogo
Gani alipiga simu na kuwaambia mpaka nguo za kuvaa? Tuseme ni ndugai?
TAKUKURU kwanini wasimkamate kama alitoa rushwa?Masahihisho : Chadema haina mbunge wa Viti Maalum Bungeni