Meatu: Aliyekuwa Mbunge wa CCM ahamia CHADEMA

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,789
218,425
Taarifa kutoka kwenye Oparesheni 255, ambayo iko Shinyanga zinaeleza kwamba, Mbunge wa Viti Maalum na Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Meatu amehamia CHADEMA.

Usajili huo Mpya umefanyika katika Mkutano Mkubwa wa hadhara uliofanyika Meatu .

Screenshot_2023-08-30-01-53-11-1.jpg


TOA MAONI YAKO
 
Akubaliwe kuingia cdm, lakini asipewe nafasi yoyote ya kugombea hadi ipite miaka minne akiwa bado cdm. Huu mchezo wa wanaccm kuhamia CDM wakishaona kukubalika kwa wananchi, ndio uliwaponza sana CDM kipindi cha dhalimu, maana 90%+ ya walioenda kuunga juhudi ni waliokuwa wanaccm hapo awali. Hawana msimamo wowote hao wanaccm, na nirahisi kurubuniwa na chama chao cha zamani kisha kuihujumu CDM.
 
Taarifa kutoka kwenye Oparesheni 255, ambayo iko Shinyanga zinaeleza kwamba, Mbunge wa Viti Maalum na Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Meatu amehamia CHADEMA.

Usajili huo Mpya umefanyika katika Mkutano Mkubwa wa hadhara uliofanyika Meatu .

View attachment 2732934

TOA MAONI YAKO
Umechelewa sana kuleta hii taarifa
.. timu ya uenezi huko Chadema imelala sana!
 
Taarifa kutoka kwenye Oparesheni 255, ambayo iko Shinyanga zinaeleza kwamba, Mbunge wa Viti Maalum na Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Meatu amehamia CHADEMA.

Usajili huo Mpya umefanyika katika Mkutano Mkubwa wa hadhara uliofanyika Meatu .

View attachment 2732934

TOA MAONI YAKO
Hizi dalili za kuhama kwa Wana CCM zinatoa ujumbe kwamba CCM ya sasa ni Sawa na meli inayoelekea kuzama kwa hiyo watu wanaruka kujinusuru. Kama CCM wanapuuza basi muda utasema. Na Bado wengine wengi watahama
 
Taarifa kutoka kwenye Oparesheni 255, ambayo iko Shinyanga zinaeleza kwamba, Mbunge wa Viti Maalum na Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Meatu amehamia CHADEMA.

Usajili huo Mpya umefanyika katika Mkutano Mkubwa wa hadhara uliofanyika Meatu .

View attachment 2732934

TOA MAONI YAKO
Siyo habari hiyo, mtu mmoja kuhamia chadema ndo unaanzisha uzi? Kuna Mashinji, Nassari, Katambi nk walihamia Ccm. Hakuna cha ajabu hapo.
 
Taarifa kutoka kwenye Oparesheni 255, ambayo iko Shinyanga zinaeleza kwamba, Mbunge wa Viti Maalum na Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Meatu amehamia CHADEMA.

Usajili huo Mpya umefanyika katika Mkutano Mkubwa wa hadhara uliofanyika Meatu .

View attachment 2732934

TOA MAONI YAKO
Zilipendwa.Chadema Chukueni watu ambao sio liability
 
Akubaliwe kuingia cdm, lakini asipewe nafasi yoyote ya kugombea hadi ipite miaka minne akiwa bado cdm. Huu mchezo wa wanaccm kuhamia CDM wakishaona kukubalika kwa wananchi, ndio uliwaponza sana CDM kipindi cha dhalimu, maana 90%+ ya walioenda kuunga juhudi ni waliokuwa wanaccm hapo awali. Hawana msimamo wowote hao wanaccm, na nirahisi kurubuniwa na chama chao cha zamani kisha kuihujumu CDM.
Wew ni CDM usiye akili kbs chama ni cha watu wote, sasa wasipohamia huko wengine ndiyo kitakuwa chama gani sasa
 
Back
Top Bottom