Hongera RC Chalamila Kwa utumishi uliotukuka Kwa Kupambana na biashara haramu ya ukahaba, LAKINI.....

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
15,162
22,684
Salaam, Shalom!!

Ulichokifanya ni WAJIBU wako kama kiongozi, ila Si vibaya kukupongeza sababu wamekuwapo wakuu wa mikoa wengi tangu uhuru lakini hawakupata mafanikio kama uliyofikia Hadi sasa!! Kongole!!!🙏

Kupambana na biashara ya ukahaba inahitaji mtu kuwa na akili kama ya Mwendawazimu, katika hili nakupongeza sana.

Umetumia GIA kubwa, ya kubomoa nyumba zilizotumiwa kufanya biashara ya madanguro, baadhi ya nyumba,milango imengolewa MADIRISHA nknk ,Na nyumba zilizokumbwa na kadhia hiyo ni nyumba za uswahilini.

Naamini HUJAKURUPUKA kuchukua hatua hizo, naamini unazo SHERIA zinazokulinda kufanya hivyo, kwamba ikitokea wamiliki wa nyumba hizo wakifungua kesi mahakamani kudai nyumba zao, una pa Kutokea, naamini zipo SHERIA zitakulinda kwamba, iwapo nyumba yenye leseni ya makazi ikitumika kufanya biashara haramu nyumba inavunjwa....

Tumeona, magari au marori yaliyobeba mihadarati yakitaifishwa bila kujali mmiliki alihusika au hakuhusika kubeba mihadarati hiyo.

Umeenda mbali na kupiga MARUFUKU mabaa kutowakaribisha wadada hao haramu.

FAIDA ZA KUTOKOMEZA MADANGURO NA BIASHARA HARAMU YA UKAHABA.

1. KUDHIBITI VITENDO VYA USHOGA .

Madanguro pia yalikaribisha mashoga, hivyo umepiga ndege wawili jiwe moja.

2. KUONDOA AJIRA HARAMU YA WATOTO.

Ukahaba ulifanywa Hadi na watoto chini ya miaka 18, hili lingetufikisha pabaya sana.

3.KUDHIBITI MADAWA YA KULEVYA.

Ukahaba na uuzaji na Ununuzi madawa ya kulevya ulienda sambamba hivyo kudhibiti ukahaba ni kudhibiti biashara hiyo pia.

4. KUIMARISHA MAADILI KATIKA JAMII.

Madanguro yaliondoa Heshima ya mzazi mbele ya JAMII maana vitendo hivyo haramu vilifanyika hadharani katika nyumba za familia watoto wakiona.

5. KUDHIBITI VITENDO VYA UHALIFU.

MAKAHABA na majambazi hushirikiana kuumiza familia nyingi, kudhibiti madanguro itapunguza uhalifu huo.

6. KUIMARISHA NDOA.

NDOA nyingi zilivunjika sababu ya tamaa ya wanawake kutamani pesa haramu Kutoka biashara haramu ya kujiuza, umesaidia NDOA nyingi zitaimarika.

7.PANYA ROAD& WATOTO MITAANI WATAPUNGUA.

Ukahaba ni chanzo Cha kutupwa hovyo watoto wachanga, utoaji mimba na kuzagaa hovyo watoto wasio na malezi ya wazazi mitaani.

KUDHIBITI ukahaba, kutusaidia kuinua malezi ya watoto, Panya road pia WATAPUNGUA.


ANGALIZO: Hatua ulizochukua Kwa madanguro, kamwe usijethubutu kufanya kwenye nyumba za Ibada zisizo na KIBALI au usajili. Nimewahi kukusikia ukisema mnaweza siku moja kufuta makanisa.

Njoo Polepole, Angalia Rungu ulilolishika lisirudi kukuponda. Hayupo mwenye mamlaka na uwezo kufuta Kanisa, kujaribu kufuta makanisa ni kutunishiana misuli na Muumba, mshindi katika pambano Hilo anajulikana.

Lakini Kwa hatua ulizochukua kuhusu madanguro nakupa kongole 🙏.
 
Salaam, Shalom!!

Ulichokifanya ni WAJIBU wako kama kiongozi, ila Si vibaya kukupongeza sababu wamekuwapo wakuu wa mikoa wengi tangu uhuru lakini hawakupata mafanikio kama uliyofikia Hadi sasa!! Kongole!!!🙏

Kupambana na biashara ya ukahaba inahitaji mtu kuwa na akili kama ya Mwendawazimu, katika hili nakupongeza sana.

Umetumia GIA kubwa, ya kubomoa nyumba zilizotumiwa kufanya biashara ya madanguro, baadhi ya nyumba,milango imengolewa MADIRISHA nknk ,Na nyumba zilizokumbwa na kadhia hiyo ni nyumba za uswahilini.

Naamini hujakurupuka kuchukua hatua hizo, naamini unazo SHERIA zinazokulinda kufanya hivyo, kwamba ikitokea wamiliki wa nyumba hizo wakifungua kesi mahakamani kudai nyumba zao, una pa Kutokea, naamini zipo SHERIA zitakulinda kwamba, iwapo nyumba yenye leseni ya makazi ikitumika kufanya biashara haramu nyumba inavunjwa....

Tumeona, magari au marori yaliyobeba mihadarati yakitaifishwa bila kujali mmiliki alihusika au hakuhusika kubeba mihadarati hiyo.

Umeenda mbali na kupiga MARUFUKU mabaa kutowakaribisha wadada hao haramu.

FAIDA ZA KUTOKOMEZA MADANGURO NA BIASHARA HARAMU YA UKAHABA.

1. KUDHIBITI VITENDO VYA USHOGA .

Madanguro pia yalikaribisha mashoga, hivyo umepiga ndege wawili jiwe moja.

2. KUONDOA AJIRA HARAMU YA WATOTO.

Ukahaba ulifanywa Hadi na watoto chini ya miaka 18, hili lingetufikisha pabaya sana.

3.KUDHIBITI MADAWA YA KULEVYA.

Ukahaba na uuzaji na Ununuzi madawa ya kulevya ulienda sambamba hivyo kudhibiti ukahaba ni kudhibiti biashara hiyo pia.

4. KUIMARISHA MAADILI KATIKA JAMII.

Madanguro yaliondoa Heshima ya mzazi mbele ya JAMII maana vitendo hivyo haramu vilifanyika hadharani katika nyumba za familia watoto wakiona.

5. KUDHIBITI VITENDO VYA UHALIFU.

MAKAHABA na majambazi hushirikiana kuumiza familia nyingi, kudhibiti madanguro itapunguza uhalifu huo.

6. KUIMARISHA NDOA.

NDOA nyingi zilivunjika sababu ya tamaa ya wanawake kutamani pesa haramu Kutoka biashara haramu ya kujiuza, umesaidia NDOA nyingi zitaimarika.


ANGALIZO: Hatua ulizochukua Kwa madanguro, kamwe usijethubutu kufanya kwenye nyumba za Ibada zisizo na KIBALI au usajili. Nimewahi kukusikia ukisema unaweza siku moja kufuta makanisa.

Njoo Polepole, Angalia Rungu ulilolishika lisirudi kukuponda. Hayupo mwenye mamlaka na uwezo kufuta Kanisa, kujaribu kufuta makanisa ni kutunishiana misuli na Muumba, mshindi katika Hilo anajulikana.

Lakini Kwa hatua ulizochukua kuhusu madanguro nakupa kongole 🙏.
Hahaha. Yale maigizo et al
 
Hivi nyie watu mpo kweli Mbona unaongea upupu sana .kama serikali Mbona kuna mambo mengi ya msingi ambayo kama wana dar na Tanzania bado tunahitaji masuruhisho kuliko kuanza kufuatilia watu wanaotiana,hii nchi Kwa nn vijana wanakua wajinga ivi mpaka naona aibu leo hii apa dar umeme,maji,usafirishaji hasa mwendokasi ni changamoto mnoo ,bado ajira na katiba wewe bado unaanza ku deal na mamadada poa aisee ungekua karibu yangu ningekutua vibao,swala la hawa madada poa ni swala na kimaadili so familia,makanisa na misikiti ndio kaZi yao hiyo
 
Kila mmoja ana maono yake na haki ya kusema, Ila kwangu sidhani kama kufungwa hizo Danguro na kuwafurusha hao wajasriamali kuna msaidia mtoto wangu anayeketi sakafuni kwa kukosa dawati.

Tutafuteni chanzo cha yote hayo ni nini, tokomezeni umaskini, wekeni mazingira mazuri ya biashara muone kama watajiuza, walienda pale na camera kuwadhalilisha, hawqkwenda pale kuwasaidia, Wana watoto wapo mashuleni, Leo anamuona mama yake kwenye TV akidhalilika wakati anatafuta riziki, sidhani kama inapendeza.

Siku nyingine twende tukawakamate mafisadi na wakwepa Kodi tukiwa na camera, hao ndio wanatutia hasara zaidi na kuharibu maadili ya Nchi maana TAIFA lote tutaknekana ni wezi.
 
Kila mmoja ana maono yake na haki ya kusema, Ila kwangu sidhani kama kufungwa hizo Danguro na kuwafurusha hao wajasriamali kuna msaidia mtoto wangu anayeketi sakafuni kwa kukosa dawati.

Tutafuteni chanzo cha yote hayo ni nini, tokomezeni umaskini, wekeni mazingira mazuri ya biashara muone kama watajiuza, walienda pale na camera kuwadhalilisha, hawqkwenda pale kuwasaidia, Wana watoto wapo mashuleni, Leo anamuona mama yake kwenye TV akidhalilika wakati anatafuta riziki, sidhani kama inapendeza.

Siku nyingine twende tukawakamate mafisadi na wakwepa Kodi tukiwa na camera, hao ndio wanatutia hasara zaidi na kuharibu maadili ya Nchi maana TAIFA lote tutaknekana ni wezi.
Ukamataji wa wezi na Mafisadi, kutafuta pesa za Madawati mashuleni uendelee sambamba na KUTOKOMEZA ukahaba na USHOGA nchini.


Kila mtu atimize WAJIBU wake.

Chalamila kamatia hapo hapo.🙏
 
Salaam, Shalom!!

Ulichokifanya ni WAJIBU wako kama kiongozi, ila Si vibaya kukupongeza sababu wamekuwapo wakuu wa mikoa wengi tangu uhuru lakini hawakupata mafanikio kama uliyofikia Hadi sasa!! Kongole!!!🙏

Kupambana na biashara ya ukahaba inahitaji mtu kuwa na akili kama ya Mwendawazimu, katika hili nakupongeza sana.

Umetumia GIA kubwa, ya kubomoa nyumba zilizotumiwa kufanya biashara ya madanguro, baadhi ya nyumba,milango imengolewa MADIRISHA nknk ,Na nyumba zilizokumbwa na kadhia hiyo ni nyumba za uswahilini.

Naamini hujakurupuka kuchukua hatua hizo, naamini unazo SHERIA zinazokulinda kufanya hivyo, kwamba ikitokea wamiliki wa nyumba hizo wakifungua kesi mahakamani kudai nyumba zao, una pa Kutokea, naamini zipo SHERIA zitakulinda kwamba, iwapo nyumba yenye leseni ya makazi ikitumika kufanya biashara haramu nyumba inavunjwa....

Tumeona, magari au marori yaliyobeba mihadarati yakitaifishwa bila kujali mmiliki alihusika au hakuhusika kubeba mihadarati hiyo.

Umeenda mbali na kupiga MARUFUKU mabaa kutowakaribisha wadada hao haramu.

FAIDA ZA KUTOKOMEZA MADANGURO NA BIASHARA HARAMU YA UKAHABA.

1. KUDHIBITI VITENDO VYA USHOGA .

Madanguro pia yalikaribisha mashoga, hivyo umepiga ndege wawili jiwe moja.

2. KUONDOA AJIRA HARAMU YA WATOTO.

Ukahaba ulifanywa Hadi na watoto chini ya miaka 18, hili lingetufikisha pabaya sana.

3.KUDHIBITI MADAWA YA KULEVYA.

Ukahaba na uuzaji na Ununuzi madawa ya kulevya ulienda sambamba hivyo kudhibiti ukahaba ni kudhibiti biashara hiyo pia.

4. KUIMARISHA MAADILI KATIKA JAMII.

Madanguro yaliondoa Heshima ya mzazi mbele ya JAMII maana vitendo hivyo haramu vilifanyika hadharani katika nyumba za familia watoto wakiona.

5. KUDHIBITI VITENDO VYA UHALIFU.

MAKAHABA na majambazi hushirikiana kuumiza familia nyingi, kudhibiti madanguro itapunguza uhalifu huo.

6. KUIMARISHA NDOA.

NDOA nyingi zilivunjika sababu ya tamaa ya wanawake kutamani pesa haramu Kutoka biashara haramu ya kujiuza, umesaidia NDOA nyingi zitaimarika.

7.PANYA ROAD& WATOTO MITAANI WATAPUNGUA.

Ukahaba ni chanzo Cha kutupwa hivyo watoto, utoaji mimba na kuzagaa hivyo watoto wasio na malezi ya wazazi.

KUDHIBITI ukahaba, kutusaidia kuinua malezi ya watoto, Panya road pia WATAPUNGUA.


ANGALIZO: Hatua ulizochukua Kwa madanguro, kamwe usijethubutu kufanya kwenye nyumba za Ibada zisizo na KIBALI au usajili. Nimewahi kukusikia ukisema unaweza siku moja kufuta makanisa.

Njoo Polepole, Angalia Rungu ulilolishika lisirudi kukuponda. Hayupo mwenye mamlaka na uwezo kufuta Kanisa, kujaribu kufuta makanisa ni kutunishiana misuli na Muumba, mshindi katika Hilo anajulikana.

Lakini Kwa hatua ulizochukua kuhusu madanguro nakupa kongole 🙏.
Hakuna anachoweza hapo,
 
Serikali ingeelekeza nguvu kubwa kwenye kupambana na ufisadi, Mbona wizi na rushwa hadili navyo mnadili na starehe za watu. Kuna mtu kalazimishwa kununua changudoa au kufanya uchangudoa. Hapo inahitajika elimu tu na ufuatilaji.
 
Hii biashara ihalalishwe watu walipe kodi. Ulaya wanalipa kodi na hizo kodi ndiyo misaada tunayopewa.

Ulaya ukienda naye malaya anakupa na risiti.
 
Duh kwa hiyo kitamba cheupe,kidimbwi,wavuvi madada
Poa marufuku kwenda hapo

Ova
 
Back
Top Bottom