Atapewa kitu mkuu, kwani mkuu ulikuwa unataka kuwania jimbo?Jamani hiyo bold ni macho yangu au nimepasoma vibaya. Hebu mtu mmoja anisomee kwa sauti tafazali.
Mi naogopa!
Atapewa kitu mkuu, kwani mkuu ulikuwa unataka kuwania jimbo?
Kwa Wana JF wote mlionipa hongera na watakaonipa hongera mara baada ya kusoma thread hii, wote kwa pamoja nawashukuru sana. Ni kweli mke wangu amejifungua mtoto wa kike kwa njia ya operation, kutokana na mtoto kukaa vibaya. Nashukuru Mungu mke wangu na mtoto wote wanaendelea vizuri, hali kadhalika mimi mwenyewe binafsi maana nilishock baada ya kuambiwa mke wako ni lazima afanyiwe operation ili kunusuru maisha yake na mtoto kwa ujumla.
Zaidi ya yote namshukuru kiongozi wangu PakaJimmy kwa kunifariji kipekee baada ya akili yangu kuamini kulikuwa na namna hadi mke wanhu kupelekea afaanyiwe operation. Hii ilitokana na ukweli mtoto wangu wa kwanza mke wangu alijifungua salama kwa njia ya kawaida. Anyway nilikubaliana na ushauri ule na mpaka sasa nipo Ok kabisa.
Mwisho nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sitamshukuru WiseLady kwa kupost thread hii ambayo mpaka sasa umma mzima wa JF wanajua nina mtoto wa kike.
Ninaawaomba radhi kuto log inn immeadetly punde thread ilipokuwa hewani kwa sababu nilikuwa njiani kurudi home nikitokea hospitali.
Tumekusikia haya ondoka haraka nenda upeleke uji na mtori kwa mama hospitali. Huku unatafuta nini bana mda mrefuuuuuuuuu
Kifupi ni jimbo la ukweli balaa, nitakujuza mkuu kama kambi ya upinzani haijalisomba. Tehe tehe tehe.Nisaisie kiongozi, kama hilo jimbo liko wazi nivunje ukimya, niondoe woga afu nitangaze nia.
Nipo na PC kwa hospital, wala usiogope nimesharudi tayari na maziwa, mtori upo hapo hapo wanapewa DA.Tumekusikia haya ondoka haraka nenda upeleke uji na mtori kwa mama hospitali. Huku unatafuta nini bana mda mrefuuuuuuuuu
Nisaisie kiongozi, kama hilo jimbo liko wazi nivunje ukimya, niondoe woga afu nitangaze nia.
PJ hiyo ni Rula balaa, yaani KI...Y! Huwa anaandikia maandishi mekundu, anipe mji akikosa jibu kwa mujibu wa dondoo zako.Ukishafanya yote hayo, mwisho kbsa wasiliana na jamaa ambae sitamtaja(kwa heshma yake), lkn jina lake linaanzia na KI....na kuishia na ,..Y , na huwa linaandikwa na marangi mekundu!
Mzee wa WikiLiks habari yako bana, Hata mimi namtafuta huyo jamaa asee ngoja nifanye Google search!! lolUkishafanya yote hayo, mwisho kbsa wasiliana na jamaa ambae sitamtaja(kwa heshma yake), lkn jina lake linaanzia na KI....na kuishia na ,..Y , na huwa linaandikwa na marangi mekundu!
Ukishafanya yote hayo, mwisho kbsa wasiliana na jamaa ambae sitamtaja(kwa heshma yake), lkn jina lake linaanzia na KI....na kuishia na ,..Y , na huwa linaandikwa na marangi mekundu!
Mzee wa Rula hebu achana na Laptop bana, cheki jikoni hapo Supu ya mama inamwagika bana!PJ hiyo ni Rula balaa, yaani KI...Y! Huwa anaandikia maandishi mekundu, anipe mji akikosa jibu kwa mujibu wa dondoo zako.
Huyu jamaa ni moja ya walioathilika na JF jana kanipigia simu kuniuliza nini kinaendelea JF nikamwambia sijaingia JF na sikujua kama mke wake amejifungua daah kweli JF kiboko..kuna mmoja pia alichaomba banTumekusikia haya ondoka haraka nenda upeleke uji na mtori kwa mama hospitali. Huku unatafuta nini bana mda mrefuuuuuuuuu
Shavu litamtoka mbaya kabisa sasa hivi....Mzee wa Rula hebu achana na Laptop bana, cheki jikoni hapo Supu ya mama inamwagika bana!
Nipo na PC kwa hospital, wala usiogope nimesharudi tayari na maziwa, mtori upo hapo hapo wanapewa DA.
Mkuu nipo hospital yaani namnywesha mama kamtori si unajua tena! Upo juu maana ungekuwa mvivu usingefika page hii.Mzee wa Rula hebu achana na Laptop bana, cheki jikoni hapo Supu ya mama inamwagika bana!
Huyu jamaa ni moja ya walioathilika na JF jana kanipigia simu kuniuliza nini kinaendelea JF nikamwambia sijaingia JF na sikujua kama mke wake amejifungua daah kweli JF kiboko..kuna mmoja pia alichaomba ban