The Supreme Conqueror
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 324
- 910
Leo tarehe 4 Januari 2023, Mkuu wa zamani wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) Jenerali David Musuguri ametimiza miaka 103 ya kuzaliwa, Jenerali alizaliwa tarehe 4 January, 1920.
Ktk siku ya leo Watanzania tunakupongeza na kukuombea sana kwa Mwenyezi Mungu akupe Afya na Maisha Marefu zaidi na Zaidi.
Ikumbukwe Katika Vita ya Kagera, Jerenali Msuguri na kikosi chake ndio waliomfukuza Nduli Idd Amin kutoka Kyaka Mkoani Kagera (ambapo alikuwa ameteka na Jeshi lake) hadi Uganda. Pia Jenerali Msuguri amepigana Vita ya Pili ya Dunia.
Watanzania wote tunakuombea kheri na Afya njema. Happy Birthday General.
Ktk siku ya leo Watanzania tunakupongeza na kukuombea sana kwa Mwenyezi Mungu akupe Afya na Maisha Marefu zaidi na Zaidi.
Ikumbukwe Katika Vita ya Kagera, Jerenali Msuguri na kikosi chake ndio waliomfukuza Nduli Idd Amin kutoka Kyaka Mkoani Kagera (ambapo alikuwa ameteka na Jeshi lake) hadi Uganda. Pia Jenerali Msuguri amepigana Vita ya Pili ya Dunia.
Watanzania wote tunakuombea kheri na Afya njema. Happy Birthday General.