What if she went and causes those bruises to herself after the incident? As we are told she ran away before being caught.
Just thinking out of the box!
Nani asiyejua kuwa Luklu alikuwa demu wa Ray msanii mwenzie Marehemu na ambaye walikuwa na bifu kali kiasi cha magazeti kuripoti kuwa kila mmoja kaagiza bastola ili kujilinda dhidi ya mwenzie. Inavyoelekea ni kuwa baada ya Marehemu Kanumba kufanikiwa kumpora sanii mwenzie Ray demu alitaka kutumia mabavu ili Lulu asitishe mawasiliano ya simu na Ray.
Ni katika harakati hizo ndipo Lulu acted on Self defense na kifo kutokea.
Japokuwa kosa hilo ni "Manslaughter" yaani kuua bila kukusudia , vyombo vya diola vitatazama nakuchunguza ni nani alitangulia kufenya shambulio la kudhuru mwili?.
Ni vyema watanzania tukatumia matukio kama haya kujifunza. Kinachojitokeza hapa ni umalaya na wasanii kujijengea mabifu yasiyo na maana. Ni dh