Mtu Kwao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2019
- 394
- 713
- Thread starter
- #21
Hakika mkuu ata mimi ili swala limenifikirisha sana ajabu waliochwa wapo wa5 lakin aliumiza watu ni mmoja tu LukuviUkiona KIONGOZI WA CCM anasifiwa HADHARANI mitandaoni basi huyo kawagusa wananchi wa pato la chini moja kwa moja kwa kutenda haki na kuwafikishia kile wanachotaka
hayo unayoyaeleza hayakuwa na manufaa kwa mwananchi mmoja mmoja hasa
WIZARA ilipokuwa chini yake aliitendea haki haswa hilo lipo wazi