kidereko
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 882
- 1,254
Nyie wakristo mna tabu Sana, Hilo baraza la mawaziri wakristo ni wengi kuliko Waislamu,lkn Wala uwasikii Waislamu kulalama,Dingi alijitahidi sn sema maza udini unamtafuna sn
Hivi mnataka hii Nchi muongoze peke yenu?! Halafu mlivyo nuksi mkiongoza Nchi mambo kwa wananchi yanakuwa magumu, na matukio ya hovyo yanakuwa mengi,
Acheni chuki zenu za hovyo nyie watu, ndio maana marais wastaafu wengi walio hai ni Waislamu, sababu hawana Roho mbaya, ukiwa na Roho mbaya ni sumu kwa uhai, lingine Basi mumlaumu na Mungu kwanini wastaafu Marais waliotangulia mbele ya Haki ni wa upande mmoja tu (R.i.p)
Udini haufai,Taifa ni letu sote, Rais wa Nchi anateua kwa kuangalia elimu na maadili ya mtu,na sifa za ziada