Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
- Thread starter
- #41
Muoe halafu mjengee ki chumba chake nje. Ili siku ukibanwa hata na kifua asiwe mbali
Wamasai wamefanikiwa sana katika hili
Muoe halafu mjengee ki chumba chake nje. Ili siku ukibanwa hata na kifua asiwe mbali
Kwakweli hoja yako ina ukweli ndani yake.
Tafuta chumba kikubwa weka vitanda viwili...ukijiskia kulala alone unahama kitanda mbona easy...tu.
Kijana utakuwa na matatizo ya akili,au hujui jambo hili au unayo yote kwa pamoja.Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Aisee kulala na mwanamke kitanda kimoja ndani ya wiki moja tu sio mchezo yaani kwangu mimi ni kero ya hali ya juu sana na inahitaji uvumilivu wa kiwango cha mwendo kasi!
Imagine kwa wanaoishi na wake kitanda kimoja miaka na miaka wanastahili tunzo aisee
Mwanamke akilala kwangu siku mbili tu naboreka! Napenda zaidi short time sipendi kulala tumebanana kama jela.
Umechoka kulala nae tu je akianza kuongea kama cherehani hata ule muda ambao wewe unataka ulale yeye anakupa umbea wote wa mtaani wakati hata kutembea hatembei si utampiga bomu wewe ?
Unalazwa mchongoma nafasi yote kajitanua yeyeMnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Aisee kulala na mwanamke kitanda kimoja ndani ya wiki moja tu sio mchezo yaani kwangu mimi ni kero ya hali ya juu sana na inahitaji uvumilivu wa kiwango cha mwendo kasi!
Imagine kwa wanaoishi na wake kitanda kimoja miaka na miaka wanastahili tunzo aisee
Mwanamke akilala kwangu siku mbili tu naboreka! Napenda zaidi short time sipendi kulala tumebanana kama jela.
Trust me hii ndiyo kero kubwa kuliko zote ndani hasa ukiwa umeoa housewife muda mwingi anaangalia tv na kuchati ukirudi anataka amalizie hamu yake ya kuongea ya mchana kutwa na aimalizie kwako.
Kifupi bado upo kwenye 20's, ni ngumubsana kuelewa haya mambo...ila jua tu hakuna kitu muhimu kama kuwa na mwenza na haswa ukipata mtakaeelewana , Kuna dharula za kiafya ambazo si dada, mama au hata baba ataweza kukuhudumia. Kuna muda utavurugwa kichwa mke ndiyo atakutuliza. Subiri Ufike umri wa kutuliza kichwa ndy utaelewa.Ni kijana wa makamo ya kati na pia nina watoto kutoka kwa single mothers kadhaa
Ndo sasaKuna muda ukifika utakuja kuona umuhimu wake,.
khaaaahFriji yako inagandisha?
Umechoka kulala nae tu je akianza kuongea kama cherehani hata ule muda ambao wewe unataka ulale yeye anakupa umbea wote wa mtaani wakati hata kutembea hatembei si utampiga bomu wewe ?
sina mbavu kwa kweli lol.Trust me hii ndiyo kero kubwa kuliko zote ndani hasa ukiwa umeoa housewife muda mwingi anaangalia tv na kuchati ukirudi anataka amalizie hamu yake ya kuongea ya mchana kutwa na aimalizie kwako.
Wewe wakati huo umechoka umeishia kupiga kagoli kamoja chali mwenzako ndiyo anaanza sasa zile mbele mbele mbele mbele.
Wewe hapo unabaki kuitikia tu aoooh akiona unasinzia anakutikisa kidogo uamke
Huu ni mtihani sana halafu ukute hupendi kusikiliza vitu vya hovyo hovyo unakuwa mtihani sana.sina mbavu kwa kweli lol.
Umuhimu wa Mke ni siku ukiumwa huwezi hata kuchuchumaa kukata gogo hapo lazima umukumbuke tofauti na hapo hamna umuhimu tena.Kuna muda ukifika utakuja kuona umuhimu wake,.
Sio kweli kama una kibamia una Elea ndani ya ziwa Tanganyika utaipataje hiyo ngoma,kuna couples nyingi tu wanaume wanakutwa hawana ila wake zao wanao.2)Akichepuka akapata ngoma ni kama 99% na wewe umepata.
Hamna urafiki kati ya mwanamke na mwanaume,kama ingekuwa hivyo kwamba ukio rafikiyo ni raha basi kusingekuwa na migogoro kwenye ndioa as long as mumekutana ukubwani lazima karaha ziwepo tu.🦽🦽asikwambie mtu ukioa rafiki yako raha mpaka bhasi asipokuepo unatamani akuje hata kama mbali unatamani umpigie sim mama Samia amkodishie ndege akuje nyumban