Taabu zote hizo za nini?Tafuta chumba kikubwa weka vitanda viwili...ukijiskia kulala alone unahama kitanda mbona easy...tu.
Kuna muda ukifika utakuja kuona umuhimu wake,.
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Aisee kulala na mwanamke kitanda kimoja ndani ya wiki moja tu sio mchezo yaani kwangu mimi ni kero ya hali ya juu sana na inahitaji uvumilivu wa kiwango cha mwendo kasi!
Imagine kwa wanaoishi na wake kitanda kimoja miaka na miaka wanastahili tunzo aisee
Mwanamke akilala kwangu siku mbili tu naboreka! Napenda zaidi short time sipendi kulala tumebanana kama jela.
Yaani mkuu wewe ungekutana na mimi nnavolala vibaya mkono mmoja kusini mwingine magharibi mixer kukoroma sijui nahisi ungenifukuza kesho yake
Hayo ndio madhara ya kulipia short time lodge umejikuta ukiathirika mpaka kwenye mwenendo mzima wa maisha yako
Umri wako tafadhari ndugu mtoa uzi.
Waliooa huwa ni kuvumilia tu, hakuna cha raha wala nini…. ni kwa ajili ya kujenga familia tu.
Kama hulali nae kitanda kimoja bas una masharti ya sangomaKijana utakuwa na matatizo ya akili,au hujui jambo hili au unayo yote kwa pamoja.
Lakini unaweza kuoa na mkawa mnalala aidha vyumba tofauti au vitanda tofauti,mkiwa mna hamu ya jimai mnakutana. Maisha mepesi sana.
Mimi nimeoa na silali kitanda kimoja na wife.
Kwahiyo oeni vijana,acheni kuleta ujuaji kwenye hakuna,msiwe kama "SIFURI KISIRANI".
Shukrani
Si kweli.Kama hulali nae kitanda kimoja bas una masharti ya sangoma
itategemea umeoa nani. na intrest zako ni zipiWaliooa huwa ni kuvumilia tu, hakuna cha raha wala nini…. ni kwa ajili ya kujenga familia tu.
Kweli na kweli tupu, huwa tunatafuta justification tu baada ya kuona mahusiano yetu hayana muelekeo wa ndoa. Kama ni ngono tunapata sema kiukweli ndoa ni zaidi ya ngono.
Watu wana uoga tu wa kubaki peke yako lakini kama uko good supporting system marriage is not necessary.Mkuu Tafadhali naomba kama hutojali…!
Naomba unijibu hili swali, Nini madhumuni ya Ndoa ? What is the purpose of Marriage??
Mimi nikiwa na mwanamke kwa muda mrefu huwa namchoka basi tu kujilazimisha kuendelea hasa hasa akiwa wa lawama lawama.
Nisitoke kwenye swali langu, WHAT IS THE PURPOSE OF MARIAGE ?
Is it Love ?
Is it lust or Sex ?
Is it Peace ?
Is it fulfilling your parents’ expecty?
Kuzaliana au ni nini ? Yoyote mwenye kuweza kujibu hili itapendeza ila wale wa majibu yasiyokuwa na staha namimi nitajibu kama ulivyojibu
Niko kwenye mahusiano niko na msichana nampenda na niko kwenye mchakato wa ndoa. Ila nika natafuta purpose ya kwanini wa watu huwa tunaoana !?
Mkuu baba alishakupatia mali zako za urithi?Mwanangu wewe ndio kama mimi, na umri wangu unaenda na sijaoa, hapa nawaza sana yaani, ila ukitaka hii hali itutoke tusitafute wanawake wa abmotuk tu, tutafute wanawake ambao ni marafiki zetu kabisa, mbali na wapenzi.