Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,463
- 9,675
Ndio hao 1%Sio kweli kama una kibamia una Elea ndani ya ziwa Tanganyika utaipataje hiyo ngoma,kuna couples nyingi tu wanaume wanakutwa hawana ila wake zao wanao.
Ndio hao 1%Sio kweli kama una kibamia una Elea ndani ya ziwa Tanganyika utaipataje hiyo ngoma,kuna couples nyingi tu wanaume wanakutwa hawana ila wake zao wanao.
Trust me hii ndiyo kero kubwa kuliko zote ndani hasa ukiwa umeoa housewife muda mwingi anaangalia tv na kuchati ukirudi anataka amalizie hamu yake ya kuongea ya mchana kutwa na aimalizie kwako.
Wewe wakati huo umechoka umeishia kupiga kagoli kamoja chali mwenzako ndiyo anaanza sasa zile mbele mbele mbele mbele.
Wewe hapo unabaki kuitikia tu aoooh akiona unasinzia anakutikisa kidogo uamke
Ahsantee, akikua ataelewa umuhimu wakeKifupi bado upo kwenye 20's, ni ngumubsana kuelewa haya mambo...ila jua tu hakuna kitu muhimu kama kuwa na mwenza na haswa ukipata mtakaeelewana , Kuna dharula za kiafya ambazo si dada, mama au hata baba ataweza kukuhudumia. Kuna muda utavurugwa kichwa mke ndiyo atakutuliza. Subiri Ufike umri wa kutuliza kichwa ndy utaelewa.
Ukikaa muda mrefu bila kuoa ndivyo hali ya kulala na MTU kitanda kimoja inashindikana na hutoweza
Kama huwa unawasikia bongo movie wakisema "wewe mwanamke kelele funga domo lako" ndiyo hii sasa.unaweza ukarusha ngumi aisee
Sio kweli kama una kibamia una Elea ndani ya ziwa Tanganyika utaipataje hiyo ngoma,kuna couples nyingi tu wanaume wanakutwa hawana ila wake zao wanao.
Hahahaha, Mkuu kama tatizo hupendi kubanana si uongeze ukubwa wa kitanda tu.
Hamna urafiki kati ya mwanamke na mwanaume,kama ingekuwa hivyo kwamba ukio rafikiyo ni raha basi kusingekuwa na migogoro kwenye ndioa as long as mumekutana ukubwani lazima karaha ziwepo tu.
Ungekuja na umri wako sahihi tungejua unamaanisha,ila inaonekana umri wako bado sana ndo maana unawaza hivowengine hatuwezi kubanana
A boy said.Kua kwanza
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Aisee kulala na mwanamke kitanda kimoja ndani ya wiki moja tu sio mchezo yaani kwangu mimi ni kero ya hali ya juu sana na inahitaji uvumilivu wa kiwango cha mwendo kasi!
Imagine kwa wanaoishi na wake kitanda kimoja miaka na miaka wanastahili tunzo aisee
Mwanamke akilala kwangu siku mbili tu naboreka! Napenda zaidi short time sipendi kulala tumebanana kama jela.
Ni hilo tuu la kukata gogo..?☹️☹️Umuhimu wa Mke ni siku ukiumwa huwezi hata kuchuchumaa kukata gogo hapo lazima umukumbuke tofauti na hapo hamna umuhimu tena.
Ila kuna raha yake, asante kwa hongera, tumeshazoea mpaka siku akiwa hayupo unajiona kama umelala kwenye kiwanja cha mpira...