Hongera ITV kumhoji Tundu Lissu. Hongera sana Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu kwa lugha za staha. Ruksa kuhisi chochote, sio fair kutaja majina!

Nimekusoma na nimejaribu kufikiri....

Kwamba, laiti wewe ungekuwa ndiye mtangazaji uliyekuwa unamhoji Tundu Lissu kwenye kipindi hiki na ukawa na tabia ya kudakiza, kumtoa kwenye reli jamaa na mambo kama hayo ili mradi umvuruge na asieleweke kwa hadhira yake ,..

For sure, msingeelewana na Tundu Lissu angekugeuka papo hapo na kuanza kukufundisha kazi yako ya uandishi/utangazaji....!!

By the way aliyetajwa kwa jina ni Jaji Francis Mutungi - Msajili wa Vyama vya siasa kwa sasa...

Sasa what's wrong with that? Na sheria si ni kweli inaelekeza hivyo kuwa Msajili wa vyama vya siasa ndiyo ataamua iwe "ndiyo" au "hapana" kwa kile vyama vinavyoungana vinavyoamua kuungana na kukubaliana?

Na je, si ni kweli kwa sasa Msajili vyama vya siasa ni Jaji Francis Mutungi kwa sasa?

Sometimes Pascal Mayallah huwa hueleweki kidogo au pengine huwa unaamua kuuvaa ujinga kwa makusudi tu, right?
Havai ujinga Bali ni mjinga.huyu bwana anafikiri humu jukwaani anaandikia wajinga.namshauri labda aende huko chemba,bahi,na kwao misungwi akahutubie laivu angalao ataeleweka na wajinga wenzie.lkn humu anajichoresha.
 
Tz hakuna Amani kuna utulivu kidogo tu. Kwani nchi hii anaemiliki jeshi na vyombo vyote vya usalama nasilaha zote ni nani kama siyo CCM na serkali yake.Pakichimbika ni serkali imesababisha yote hayo.na ikibid pachimbike tuu ili angalao nchi hii tuheshimiane kidogo.upuuzi umezidi.
Upuuziii Wa BAVICHA NDIO HUU
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la pongezi kwa ITV kuwa ndio the first mainstream TV Station kumhoji Tundu Lissu. Huu ni mwanzo mzuri, TV nyingine zifuate.

Pia nampongeza Mhe. Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu, ametumia lugha za staha, amemwaga sera.

My Take:
Namalizia kwa kutoa hongera kwa ITV, hongereni sana, mmetusaidia kumsikia Tundu Lissu na kumsililiza bila kukereka.
Pia nampongeza Tundu Lissu kuzungumza kwa utulivu katika mahojiano hayo,

Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?

I wish him, Tundu Lissu, all the best katika ugombea wake, maana mimi ni miongoni mwa watu tuliomchagiza Lissu kugombea ili kuuchangamsha uchaguzi wa urais.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Paskali
Nilipenda sana makala na hoja zake zikigusa maeneo mengi. Leo ni upande mmoja tu kusifia.
Nikiona makala yake huwa nasoma tu kichwa naishia.
Mkuu Mzamifu, karibu katika makala hii, uangalie jinsi ninavyosifu!.
P
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la pongezi

Pia nampongeza Mhe. Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu, ametumia lugha za staha, amemwaga sera.

Kati ya freedom zote, freedom ambayo ni absolute freedom is the freedom to think, uhuru wa kufikiri ndio uhuru pekee ambao hauna mipaka, mtu unaruhusiwa kufikiri lolote, lakini sio uhuru wa kuongea lolote.

Nimemsikiliza Tundu Lissu katika mahojiano haya, amezungumzia sera nzuri za Chadema, generally kipindi hiki ni kizuri, kimeijenga ITV na kimemjenga Tundu Lissu, but...

Paskali
Mzee paskal nowdayz hujawahi kuisemea mema CHADEMA !!
Karibu
P
 
Mnafiq mkubwa wewe
Tujifunze kujibu hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja, hili ni Jukwaa la Siasa, tunajadili siasa hatuwajadili watu wala mtoa mada.
Suppose ni kweli mtoa mada ni mnafiki, sawa, baada ya taarifa yako hiyo, sasa jibu basi hoja iliyo mezani!.
P
 
Tujifunze kujibu hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja, hili ni Jukwaa la Siasa, tunajadili siasa hatuwajadili watu wala mtoa mada.
Suppose ni kweli mtoa mada ni mnafiki, sawa, baada ya taarifa yako hiyo, sasa jibu basi hoja iliyo mezani!.
P
Sijawahi kuona hoja zako hasa linapokuja suala la Chadema na viongozi wake ninachoona ni chuki zako tu ndiyo maana nakunyookea wewe mwenyewe.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la pongezi kwa ITV kuwa ndio the first mainstream TV Station kumhoji Tundu Lissu. Huu ni mwanzo mzuri, TV nyingine zifuate.

Pia nampongeza Mhe. Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu, ametumia lugha za staha, amemwaga sera.

My Take:
Namalizia kwa kutoa hongera kwa ITV, hongereni sana, mmetusaidia kumsikia Tundu Lissu na kumsililiza bila kukereka.
Pia nampongeza Tundu Lissu kuzungumza kwa utulivu katika mahojiano hayo, bila kusahau kumpongeza Mtangazaji Farhia Middle, kwa maswali mazuri kwa Tundu Lissu, hiki ni kipaji kingine kizuri katika utangazaji, ITV imekiibua, na hongera kwa menejimenti ya ITV, kumwalika Tundu Lissu na kumpatia Airtime ya kutosha, katika zama hizi za Tanzania ya sasa, it's a bold decision! mimi niliulizaga tu swali mahali, kilichofuata..., only God knows, hadi ilibidi...

Pia nasisitiza the freedom to expression, ruksa kuhisi lolote, rukhsa kumhisi yoyote, lakini sio fair kutaja majina ya watu kwa jambo la hisia tuu kwa kumhisi. Niliwahi kushauri humu kuwa sio lazima mtu kuusema kila ukweli unaoisikia au kuujua!. Kwa mfano kuna member mwenzetu humu, anamjua kiongozi fulani kuwa sio, akanitajia, na mimi nikajiridhisha kuwa alichokisema ni kweli lakini ukweli huo hauhitaji kusemwa!

Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?

I wish him, Tundu Lissu, all the best katika ugombea wake, maana mimi ni miongoni mwa watu tuliomchagiza Lissu kugombea ili kuuchangamsha uchaguzi wa urais.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Paskali
Mayalla yeye tujiulize yeye kayajuaje Mambo ya Chadema wakati sio mwana Chadema kumbuka anayoyajua ndani ya Chadema hua ni Yale mabaya tuu hajawahi ona mazuri hata siku Moja
Mkuu MAPITO Mwanza, na hili ni baya?.
P
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la pongezi kwa ITV kuwa ndio the first mainstream TV Station kumhoji Tundu Lissu. Huu ni mwanzo mzuri, TV nyingine zifuate.

Pia nampongeza Mhe. Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu, ametumia lugha za staha, amemwaga sera.

Paskali
Mwamba karudi nyumbani ITV, mtafutieni tena mfanye nae mahojioano.

Dear School mate Tundu Lissu, najua umepitia makubwa. Welcome back home. Nakuomba sana upunguze kidogo kuliishi jina lako, usimsumbue huyu Mama kama ulivyomsumbuaga yule Madam, Mwenyekiti wako Mbowe tayari ameisha onyesha uungwana na ustaarabu mkubwa, wa hali ya juu@, please do the same!, tufanye siasa za kiungwana na kistaarabu. Kubebwa bebeka, ukipedwa pendeka, ukishikwa shikamana, ukiaminiwa jiaminishe!.
Yaliyopita si ndwele, samehe, tugange yajayo tusonge mbele!.
Welcome back home.
Your school mate
Pasco
 
Sielewi kabisa mtu anaposema wafanye siasa za kiungwana bila kutuambia hizo siasa za kiungwana ni zipi na ni lini kuna watu waliwahi kufanya siasa ambazo sio za kiungwana.

Watu wasitake Chadema waje kufanya kazi ya kijinga inayofanywa na vyama vingine pandikizi ya kuisifu ccm wakati wenyewe ndio wameangamiza hii nchi na kwa kulijua hilo ndio maana wao wanafanya kazi ya kuhujumu uchaguzi kila wakati.
 
Mimi wajibu wangu ni kutupia video za staha kutoka kwenye kile chama cha mastaha😁😁😁







 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la pongezi kwa ITV kuwa ndio the first mainstream TV Station kumhoji Tundu Lissu. Huu ni mwanzo mzuri, TV nyingine zifuate.

Pia nampongeza Mhe. Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu, ametumia lugha za staha, amemwaga sera.

Kati ya freedom zote, freedom ambayo ni absolute freedom is the freedom to think, uhuru wa kufikiri ndio uhuru pekee ambao hauna mipaka, mtu unaruhusiwa kufikiri lolote, lakini sio uhuru wa kuongea lolote.

Nimemsikiliza Tundu Lissu katika mahojiano haya, amezungumzia sera nzuri za Chadema, generally kipindi hiki ni kizuri, kimeijenga ITV na kimemjenga Tundu Lissu, but...

Naomba hapo kwenye but nisiseme kitu kwasababu siku hizi, mimi ni kada.

Kitu pekee Lissu alichoharibu, ni kutaja majina ya watu, anaowahisi wanafanya mambo fulani ndivyo sivyo. Nimesema kuhisi ni sawa lakini usitaje hadharani majina ya hao unawahisi, ukiambiwa thibitisha, ukashindwa utahesabika ni muongo!

Kumhisi mtu yoyote au kumshuku mtu yoyote is your right, lakini kumtaja hadharani kwa majina huyo unayemhisi, is not right unless una ushahidi usiotia shaka, na ukiitwa kuthibitisha, utathibitisha pasipo kubabaika wala kujiuma umma.

Katika kipindi cha leo, kuna jina la mtu, Tundu Lissu amemtaja, na kumsingizia kuwa kabla hajafanya maamuzi yoyote ni lazima kwanza amuulize aliyemteua.

This is not right, ofisi ile ni independent, kumsingizia yule aliyemsingizia, tena kwa kumtaja jina kuwa hawezi kufanya maamuzi yoyote hadi amuulize aliye mteua kama uamuzi huo utamfurahisha, is not right.

Kwa mujibu wa katiba yetu, wakuu wa Taasisi zote za umma wanateuliwa na rais. Kati ya taarifa hizo, kuna Taasisi ni independent, rais anaweza kukuteu tuu lakini hawezi kukutengua, Taasisi hizo ni pamoja na Mahakama, Ofisi ya CAG, Gavana wa Benki Kuu, Tume ya Haki za Binaadam na Utawala Bora, na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, nafasi zao zinalindwa na kitu kinaitwa security of tenure. Rais anaweza kumteua tuu mtu kama Jaji Mkuu, CAG, Msajili wa Vyama, lakini hawezi kumtengua. Hivyo kitendo cha Tundu Lissu kumsema mteule fulani hawezi kufanya maamuzi mpaka amuulize aliyemteua, sio kumtendea haki mteule huyo.

Alichosema Lissu is as if, kwa vile wakuu fulani wameteuliwa na rais, hivyo kazi yao ni kufanya maamuzi ya kumfurahisha rais, kitu ambacho sii kweli.

Mfano ni mimi mwenyewe, baada ya Mkuu fulani kusema hadharani kuwa fulani alimpigia simu kumuuliza aumteue nani kwenye issue fulani. Mimi nikauliza, kitu fulani, niliitwa Dodoma kuhojiwa na Kamati fulani kwa swali langu hilo!. Sasa leo Tundu Lissu amesema mtu fulani hawezi kufanya maamuzi hadi amuulize aliyemteua!, jee akiitwa kuthibitisha, ataweza?

My Take:
Natoa wito kwa wanasiasa, japo kwenye kampeni uongo unaruhusiwa na propaganda za kisiasa rukhsa katika kutafuta kura, mnapo nadi sera zenu, epukeni kutaja majina ya watu katika vitu ambavyo ni hisia tuu!.

Namalizia kwa kutoa hongera kwa ITV, hongereni sana, mmetusaidia kumsikia Tundu Lissu na kumsililiza bila kukereka.
Pia nampongeza Tundu Lissu kuzungumza kwa utulivu katika mahojiano hayo, bila kusahau kumpongeza Mtangazaji Farhia Middle, kwa maswali mazuri kwa Tundu Lissu, hiki ni kipaji kingine kizuri katika utangazaji, ITV imekiibua, na hongera kwa menejimenti ya ITV, kumwalika Tundu Lissu na kumpatia Airtime ya kutosha, katika zama hizi za Tanzania ya sasa, it's a bold decision! mimi niliulizaga tu swali mahali, kilichofuata..., only God knows, hadi ilibidi...

Pia nasisitiza the freedom to expression, ruksa kuhisi lolote, rukhsa kumhisi yoyote, lakini sio fair kutaja majina ya watu kwa jambo la hisia tuu kwa kumhisi. Niliwahi kushauri humu kuwa sio lazima mtu kuusema kila ukweli unaoisikia au kuujua!. Kwa mfano kuna member mwenzetu humu, anamjua kiongozi fulani kuwa sio, akanitajia, na mimi nikajiridhisha kuwa alichokisema ni kweli lakini ukweli huo hauhitaji kusemwa!

Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?

I wish him, Tundu Lissu, all the best katika ugombea wake, maana mimi ni miongoni mwa watu tuliomchagiza Lissu kugombea ili kuuchangamsha uchaguzi wa urais.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Paskali
Leo tena hii ngoma dewani
Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia hivi punde , kwamba yule Jamaa ambaye kwa sasa anatikisa nchi mithili ya Tetemeko la Uturuki, leo saa 3 usiku kwenye kipindi cha DK 45 cha ITV atahojiwa.

Kwa mara ya kwanza tangu ianzishwe ITV inakwenda kuzidiwa na Watazamaji, bado sijafahamu Stesheni ya TV ikizidiwa na watazamaji nini kinatokea. Je itazima? Hapa nitaomba wataalamu wa mambo ya habari na mawasiliano wanisaidie.

Bali cha Muhimu ni kwamba hutakiwi kukosa kipindi hiki muhimu cha leo ili wewe mwenyewe ujiridhishe pamoja na mambo mengine kama 2020 kulikuwa na uchaguzi au vituko.

View attachment 2508540
Hii sio ya kukosa!.
P
 
Mwamba karudi nyumbani ITV, mtafutieni tena mfanye nae mahojioano.

Dear School mate Tundu Lissu, najua umepitia makubwa. Welcome back home. Nakuomba sana upunguze kidogo kuliishi jina lako, usimsumbue huyu Mama kama ulivyomsumbuaga yule Madam, Mwenyekiti wako Mbowe tayari ameisha onyesha uungwana na ustaarabu mkubwa, wa hali ya juu@, please do the same!, tufanye siasa za kiungwana na kistaarabu. Kubebwa bebeka, ukipedwa pendeka, ukishikwa shikamana, ukiaminiwa jiaminishe!.
Yaliyopita si ndwele, samehe, tugange yajayo tusonge mbele!.
Welcome back home.
Your school mate
Pasco
Leo Jumatatu atakuwepo hewani, kuanzia 21:00.
 
33 Reactions
Reply
Back
Top Bottom