Watu kama TBC, Polisi etc wanaotaka tushirikiane kuyanyamazia yabidi kuwatazama usoni kuona kama kweli hayo yatoka mioyoni mwao.Kwa maouvu aliyofanya Magufuli, si vema kuyafunmbia macho. Ameondoa freedom of speech, right to peaceful assembly, ameteka watu na wengine wamepotea hatuwaoni tena. Ameweka watu ndani kwa makosa ya uongo, ameua biashara n.k. Sasa utaachaje kumtaja?
Kila uchaguzi mnalalamika mnaibiwa kura,mmejuwaje kama mnaibiwa mpaka mnalalamika?Duh! Hivi kumbe ni kweli huwa mnaiba kura?! Sikuwa na uhakika.
Viashiria vya kukaukiwa hoja.Lissu hafikishi hata 5% ya kura, huyo ni laghai tu
Ukweli kwa mahojiano hayo na umshiri wa mtangazaji ITV wamenirudisha. Nilishaanza kuitilia shaka wakati ilikuwa number one kwanguNimesha subscribe ITV online. Kumbe ina mtangazaji kichwa namna hii. Yule Dada yupo Bright sana. Very cool and focused. Hongera ITV
Kiukweli huu ni mwaka wa tatu tangu niiangalie ITV. Nimeipenda bureeee
Zamani nilikuwa na utaratibu wa kusikiliza mijadala yote iliyokuwa ikirushwa na TVs zetu kuanzia kipindi cha Star TV 'Jicho Letu Ndani ya Habari'. Baadaye nilikosa 'interest' baada ya kuona kwamba baadhi ya washiriki wa mijadala hawakuonyesha kuwa na sifa au uwezo wa kujadili hoja na niliacha kufanya hivi kwa sababu kitu unachokiangalia au kukisikiliza mara kwa mara kinakuwa sehemu ya fikira zako. It's a pity kwamba msimamo wangu huu umefanya nikose mijadala mingi ya siku hizi, lakini kwa upande mwingine sipotezi sana has kwa kuzingatia aina ya michango baadhi yetu tuliyonayo hata humu jf. Lakini kitu ambacho ningeshauri kwa vijana wengi ni kujifunza namna ya kujenga hoja na kuwa 'independent/smart/intelligent thinkers'.Wanabodi,
Hili ni bandiko la pongezi kwa ITV kuwa ndio the first mainstream TV Station kumhoji Tundu Lissu. Huu ni mwanzo mzuri, TV nyingine zifuate.
Pia nampongeza Mhe. Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu, ametumia lugha za staha, amemwaga sera.
Kati ya freedom zote, freedom ambayo ni absolute freedom is the freedom to think, uhuru wa kufikiri ndio uhuru pekee ambao hauna mipaka, mtu unaruhusiwa kufikiri lolote, lakini sio uhuru wa kuongea lolote.
Nimemsikiliza Tundu Lissu katika mahojiano haya, amezungumzia sera nzuri za Chadema, generally kipindi hiki ni kizuri, kimeijenga ITV na kimemjenga Tundu Lissu, but...
Naomba hapo kwenye but nisiseme kitu kwasababu siku hizi, mimi ni kada.
Kitu pekee Lissu alichoharibu, ni kutaja majina ya watu, anaowahisi wanafanya mambo fulani ndivyo sivyo. Nimesema kuhisi ni sawa lakini usitaje hadharani majina ya hao unawahisi, ukiambiwa thibitisha, ukashindwa utahesabika ni muongo!
Kumhisi mtu yoyote au kumshuku mtu yoyote is your right, lakini kumtaja hadharani kwa majina huyo unayemhisi, is not right unless una ushahidi usiotia shaka, na ukiitwa kuthibitisha, utathibitisha pasipo kubabaika wala kujiuma umma.
Katika kipindi cha leo, kuna jina la mtu, Tundu Lissu amemtaja, na kumsingizia kuwa kabla hajafanya maamuzi yoyote ni lazima kwanza amuulize aliyemteua.
This is not right, ofisi ile ni independent, kumsingizia yule aliyemsingizia, tena kwa kumtaja jina kuwa hawezi kufanya maamuzi yoyote hadi amuulize aliye mteua kama uamuzi huo utamfurahisha, is not right.
Kwa mujibu wa katiba yetu, wakuu wa Taasisi zote za umma wanateuliwa na rais. Kati ya taarifa hizo, kuna Taasisi ni independent, rais anaweza kukuteu tuu lakini hawezi kukutengua, Taasisi hizo ni pamoja na Mahakama, Ofisi ya CAG, Gavana wa Benki Kuu, Tume ya Haki za Binaadam na Utawala Bora, na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, nafasi zao zinalindwa na kitu kinaitwa security of tenure. Rais anaweza kumteua tuu mtu kama Jaji Mkuu, CAG, Msajili wa Vyama, lakini hawezi kumtengua. Hivyo kitendo cha Tundu Lissu kumsema mteule fulani hawezi kufanya maamuzi mpaka amuulize aliyemteua, sio kumtendea haki mteule huyo.
Alichosema Lissu is as if, kwa vile wakuu fulani wameteuliwa na rais, hivyo kazi yao ni kufanya maamuzi ya kumfurahisha rais, kitu ambacho sii kweli.
Mfano ni mimi mwenyewe, baada ya Mkuu fulani kusema hadharani kuwa fulani alimpigia simu kumuuliza aumteue nani kwenye issue fulani. Mimi nikauliza, kitu fulani, niliitwa Dodoma kuhojiwa na Kamati fulani kwa swali langu hilo!. Sasa leo Tundu Lissu amesema mtu fulani hawezi kufanya maamuzi hadi amuulize aliyemteua!, jee akiitwa kuthibitisha, ataweza?
My Take:
Natoa wito kwa wanasiasa, japo kwenye kampeni uongo unaruhusiwa na propaganda za kisiasa rukhsa katika kutafuta kura, mnapo nadi sera zenu, epukeni kutaja majina ya watu katika vitu ambavyo ni hisia tuu!.
Namalizia kwa kutoa hongera kwa ITV, hongereni sana, mmetusaidia kumsikia Tundu Lissu na kumsililiza bila kukereka.
Pia nampongeza Tundu Lissu kuzungumza kwa utulivu katika mahojiano hayo, bila kusahau kumpongeza Mtangazaji Farhia Middle, kwa maswali mazuri kwa Tundu Lissu, hiki ni kipaji kingine kizuri katika utangazaji, ITV imekiibua, na hongera kwa menejimenti ya ITV, kumwalika Tundu Lissu na kumpatia Airtime ya kutosha, katika zama hizi za Tanzania ya sasa, it's a bold decision! mimi niliulizaga tu swali mahali, kilichofuata..., only God knows, hadi ilibidi...
Pia nasisitiza the freedom to expression, ruksa kuhisi lolote, rukhsa kumhisi yoyote, lakini sio fair kutaja majina ya watu kwa jambo la hisia tuu kwa kumhisi. Niliwahi kushauri humu kuwa sio lazima mtu kuusema kila ukweli unaoisikia au kuujua!. Kwa mfano kuna member mwenzetu humu, anamjua kiongozi fulani kuwa sio, akanitajia, na mimi nikajiridhisha kuwa alichokisema ni kweli lakini ukweli huo hauhitaji kusemwa!
Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
I wish him, Tundu Lissu, all the best katika ugombea wake, maana mimi ni miongoni mwa watu tuliomchagiza Lissu kugombea ili kuuchangamsha uchaguzi wa urais.
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Paskali
Well said and keep it up. 👍 👍👍Tatizo lako umeacha kuchukua hoja ya msingi kuwa 2017 imetungwa sheria ya kudhibiti vyama visiweze kuungana bila msajiri kukubali huo muungano ndiyo hoja yake ya msingi. Lakini pia kama mtu amekuteau kuna kosa gani kumuuliza hata kama hawezi kukuondoa anapokuteua maana yake unafanyakazi kwa niaba yake kama siyo hivyo kwanini akuteue yeye.
Hii hoja ya kila siku kusema mtu akiteuliwa anakuwa independent kivipi na tumeona CAG Prof Asad amefungashiwa virago akiwa na miaka 58 sasa hiyo independent unayoongelea wewe ni ipi. Vyama vya Siasa vilizuiwa kufanya Siasa miaka 5 na vimepewa usajiri wa kudumu havina wabunge havikufanya Siasa kabisa hadi uchaguzi umefika na msajiri wa vyama yupo independent ipi hapo unayoiongelea hasa.
Hahaha Dah hi ni Tanzania Jamani Sio Nchi ya Kipuuzi kama wapuuzi mnavyofikili nyambafuu uchaguzi utaisha MAGU atashinda Sikh zitpita week zitapita na miaka itaenda na Mzee atastafuu Na nyie Msikwenda na uhalisia mtarudi JF kurujifurahishaLissu ni kichwa, hataibiwa kura. Anaposema patachimbika kweli anamaanisha.
Nimesha subscribe ITV online. Kumbe ina mtangazaji kichwa namna hii. Yule Dada yupo Bright sana. Very cool and focused. Hongera ITV
Kiukweli huu ni mwaka wa tatu tangu niiangalie ITV. Nimeipenda bureeee
Aliowataja acha watajwe kama wana ubavu wa kujisafisha na hizo tuhuma waende mahakamani ili kweli idhihiri.Wanabodi,
Hili ni bandiko la pongezi kwa ITV kuwa ndio the first mainstream TV Station kumhoji Tundu Lissu. Huu ni mwanzo mzuri, TV nyingine zifuate.
Pia nampongeza Mhe. Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu, ametumia lugha za staha, amemwaga sera.
Kati ya freedom zote, freedom ambayo ni absolute freedom is the freedom to think, uhuru wa kufikiri ndio uhuru pekee ambao hauna mipaka, mtu unaruhusiwa kufikiri lolote, lakini sio uhuru wa kuongea lolote.
Nimemsikiliza Tundu Lissu katika mahojiano haya, amezungumzia sera nzuri za Chadema, generally kipindi hiki ni kizuri, kimeijenga ITV na kimemjenga Tundu Lissu, but...
Naomba hapo kwenye but nisiseme kitu kwasababu siku hizi, mimi ni kada.
Kitu pekee Lissu alichoharibu, ni kutaja majina ya watu, anaowahisi wanafanya mambo fulani ndivyo sivyo. Nimesema kuhisi ni sawa lakini usitaje hadharani majina ya hao unawahisi, ukiambiwa thibitisha, ukashindwa utahesabika ni muongo!
Kumhisi mtu yoyote au kumshuku mtu yoyote is your right, lakini kumtaja hadharani kwa majina huyo unayemhisi, is not right unless una ushahidi usiotia shaka, na ukiitwa kuthibitisha, utathibitisha pasipo kubabaika wala kujiuma umma.
Katika kipindi cha leo, kuna jina la mtu, Tundu Lissu amemtaja, na kumsingizia kuwa kabla hajafanya maamuzi yoyote ni lazima kwanza amuulize aliyemteua.
This is not right, ofisi ile ni independent, kumsingizia yule aliyemsingizia, tena kwa kumtaja jina kuwa hawezi kufanya maamuzi yoyote hadi amuulize aliye mteua kama uamuzi huo utamfurahisha, is not right.
Kwa mujibu wa katiba yetu, wakuu wa Taasisi zote za umma wanateuliwa na rais. Kati ya taarifa hizo, kuna Taasisi ni independent, rais anaweza kukuteu tuu lakini hawezi kukutengua, Taasisi hizo ni pamoja na Mahakama, Ofisi ya CAG, Gavana wa Benki Kuu, Tume ya Haki za Binaadam na Utawala Bora, na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, nafasi zao zinalindwa na kitu kinaitwa security of tenure. Rais anaweza kumteua tuu mtu kama Jaji Mkuu, CAG, Msajili wa Vyama, lakini hawezi kumtengua. Hivyo kitendo cha Tundu Lissu kumsema mteule fulani hawezi kufanya maamuzi mpaka amuulize aliyemteua, sio kumtendea haki mteule huyo.
Alichosema Lissu is as if, kwa vile wakuu fulani wameteuliwa na rais, hivyo kazi yao ni kufanya maamuzi ya kumfurahisha rais, kitu ambacho sii kweli.
Mfano ni mimi mwenyewe, baada ya Mkuu fulani kusema hadharani kuwa fulani alimpigia simu kumuuliza aumteue nani kwenye issue fulani. Mimi nikauliza, kitu fulani, niliitwa Dodoma kuhojiwa na Kamati fulani kwa swali langu hilo!. Sasa leo Tundu Lissu amesema mtu fulani hawezi kufanya maamuzi hadi amuulize aliyemteua!, jee akiitwa kuthibitisha, ataweza?
My Take:
Natoa wito kwa wanasiasa, japo kwenye kampeni uongo unaruhusiwa na propaganda za kisiasa rukhsa katika kutafuta kura, mnapo nadi sera zenu, epukeni kutaja majina ya watu katika vitu ambavyo ni hisia tuu!.
Namalizia kwa kutoa hongera kwa ITV, hongereni sana, mmetusaidia kumsikia Tundu Lissu na kumsililiza bila kukereka.
Pia nampongeza Tundu Lissu kuzungumza kwa utulivu katika mahojiano hayo, bila kusahau kumpongeza Mtangazaji Farhia Middle, kwa maswali mazuri kwa Tundu Lissu, hiki ni kipaji kingine kizuri katika utangazaji, ITV imekiibua, na hongera kwa menejimenti ya ITV, kumwalika Tundu Lissu na kumpatia Airtime ya kutosha, katika zama hizi za Tanzania ya sasa, it's a bold decision! mimi niliulizaga tu swali mahali, kilichofuata..., only God knows, hadi ilibidi...
Pia nasisitiza the freedom to expression, ruksa kuhisi lolote, rukhsa kumhisi yoyote, lakini sio fair kutaja majina ya watu kwa jambo la hisia tuu kwa kumhisi. Niliwahi kushauri humu kuwa sio lazima mtu kuusema kila ukweli unaoisikia au kuujua!. Kwa mfano kuna member mwenzetu humu, anamjua kiongozi fulani kuwa sio, akanitajia, na mimi nikajiridhisha kuwa alichokisema ni kweli lakini ukweli huo hauhitaji kusemwa!
Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
I wish him, Tundu Lissu, all the best katika ugombea wake, maana mimi ni miongoni mwa watu tuliomchagiza Lissu kugombea ili kuuchangamsha uchaguzi wa urais.
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Paskali
Pole sana,Hahaha Dah hi ni Tanzania Jamani Sio Nchi ya Kipuuzi kama wapuuzi mnavyofikili nyambafuu uchaguzi utaisha MAGU atashinda Sikh zitpita week zitapita na miaka itaenda na Mzee atastafuu Na nyie Msikwenda na uhalisia mtarudi JF kurujifurahisha
Huo mradi wa umeme wa upepo Singida umeanza lini?Hahaha blaza ule ndio uwezo kweli Uwezo wa kutokujua umeme wa Maji na mwingine upi ni umeme rahisi kabisa duniani? Nadhani Tundu lisu hajui kuwa Kuna Miradi ya umeme wa Jua Kigoma na Same, hajui kuna Mradi wa umeme wa Upepo Singida ambako ni kwao?
Mgombea anaeongea kuhusu mfuko wa mafuta wa Norway ambao hajui kazi yake ni nini?...Uwiii .Mgombea anayeongelea Universal health care bila kuchambua atafikiaje hiyo universal health care....hahaha VIVA MAGUFULI KANYAGA TWENDE
Hapo kwenye Ukada ndiyo maana unaona kuwa ukweli hautakiwi kusemwa hadharani,ila unasahau vifungu vya Katiba yetu ya sasa vinavyoruhusu hilo.Wewe kama Mwandishi wa Habari&Mwanasheria unadhani ni sawa hayo yanayofanyika?Je,hufikirii kusimama uhesabiwe upande wa Haki na kuukataa Ukandamizaji(Udikteta)?Mwanataaluma kama wewe na wengine waliojisalimisha kwa watawala wakatili tuwaweke katika kundi gani la raia?Je,faida ya elimu mliyopewa na Taifa hili lilofanywa maskini na hawa hawa wanaowatesa wanyonge walipa kodi ni kuwa waoga?Wanabodi,
Hili ni bandiko la pongezi kwa ITV kuwa ndio the first mainstream TV Station kumhoji Tundu Lissu. Huu ni mwanzo mzuri, TV nyingine zifuate.
Pia nampongeza Mhe. Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu, ametumia lugha za staha, amemwaga sera.
Kati ya freedom zote, freedom ambayo ni absolute freedom is the freedom to think, uhuru wa kufikiri ndio uhuru pekee ambao hauna mipaka, mtu unaruhusiwa kufikiri lolote, lakini sio uhuru wa kuongea lolote.
Nimemsikiliza Tundu Lissu katika mahojiano haya, amezungumzia sera nzuri za Chadema, generally kipindi hiki ni kizuri, kimeijenga ITV na kimemjenga Tundu Lissu, but...
Naomba hapo kwenye but nisiseme kitu kwasababu siku hizi, mimi ni kada.
Kitu pekee Lissu alichoharibu, ni kutaja majina ya watu, anaowahisi wanafanya mambo fulani ndivyo sivyo. Nimesema kuhisi ni sawa lakini usitaje hadharani majina ya hao unawahisi, ukiambiwa thibitisha, ukashindwa utahesabika ni muongo!
Kumhisi mtu yoyote au kumshuku mtu yoyote is your right, lakini kumtaja hadharani kwa majina huyo unayemhisi, is not right unless una ushahidi usiotia shaka, na ukiitwa kuthibitisha, utathibitisha pasipo kubabaika wala kujiuma umma.
Katika kipindi cha leo, kuna jina la mtu, Tundu Lissu amemtaja, na kumsingizia kuwa kabla hajafanya maamuzi yoyote ni lazima kwanza amuulize aliyemteua.
This is not right, ofisi ile ni independent, kumsingizia yule aliyemsingizia, tena kwa kumtaja jina kuwa hawezi kufanya maamuzi yoyote hadi amuulize aliye mteua kama uamuzi huo utamfurahisha, is not right.
Kwa mujibu wa katiba yetu, wakuu wa Taasisi zote za umma wanateuliwa na rais. Kati ya taarifa hizo, kuna Taasisi ni independent, rais anaweza kukuteu tuu lakini hawezi kukutengua, Taasisi hizo ni pamoja na Mahakama, Ofisi ya CAG, Gavana wa Benki Kuu, Tume ya Haki za Binaadam na Utawala Bora, na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, nafasi zao zinalindwa na kitu kinaitwa security of tenure. Rais anaweza kumteua tuu mtu kama Jaji Mkuu, CAG, Msajili wa Vyama, lakini hawezi kumtengua. Hivyo kitendo cha Tundu Lissu kumsema mteule fulani hawezi kufanya maamuzi mpaka amuulize aliyemteua, sio kumtendea haki mteule huyo.
Alichosema Lissu is as if, kwa vile wakuu fulani wameteuliwa na rais, hivyo kazi yao ni kufanya maamuzi ya kumfurahisha rais, kitu ambacho sii kweli.
Mfano ni mimi mwenyewe, baada ya Mkuu fulani kusema hadharani kuwa fulani alimpigia simu kumuuliza aumteue nani kwenye issue fulani. Mimi nikauliza, kitu fulani, niliitwa Dodoma kuhojiwa na Kamati fulani kwa swali langu hilo!. Sasa leo Tundu Lissu amesema mtu fulani hawezi kufanya maamuzi hadi amuulize aliyemteua!, jee akiitwa kuthibitisha, ataweza?
My Take:
Natoa wito kwa wanasiasa, japo kwenye kampeni uongo unaruhusiwa na propaganda za kisiasa rukhsa katika kutafuta kura, mnapo nadi sera zenu, epukeni kutaja majina ya watu katika vitu ambavyo ni hisia tuu!.
Namalizia kwa kutoa hongera kwa ITV, hongereni sana, mmetusaidia kumsikia Tundu Lissu na kumsililiza bila kukereka.
Pia nampongeza Tundu Lissu kuzungumza kwa utulivu katika mahojiano hayo, bila kusahau kumpongeza Mtangazaji Farhia Middle, kwa maswali mazuri kwa Tundu Lissu, hiki ni kipaji kingine kizuri katika utangazaji, ITV imekiibua, na hongera kwa menejimenti ya ITV, kumwalika Tundu Lissu na kumpatia Airtime ya kutosha, katika zama hizi za Tanzania ya sasa, it's a bold decision! mimi niliulizaga tu swali mahali, kilichofuata..., only God knows, hadi ilibidi...
Pia nasisitiza the freedom to expression, ruksa kuhisi lolote, rukhsa kumhisi yoyote, lakini sio fair kutaja majina ya watu kwa jambo la hisia tuu kwa kumhisi. Niliwahi kushauri humu kuwa sio lazima mtu kuusema kila ukweli unaoisikia au kuujua!. Kwa mfano kuna member mwenzetu humu, anamjua kiongozi fulani kuwa sio, akanitajia, na mimi nikajiridhisha kuwa alichokisema ni kweli lakini ukweli huo hauhitaji kusemwa!
Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
I wish him, Tundu Lissu, all the best katika ugombea wake, maana mimi ni miongoni mwa watu tuliomchagiza Lissu kugombea ili kuuchangamsha uchaguzi wa urais.
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Paskali
Wanabodi,
Hili ni bandiko la pongezi kwa ITV kuwa ndio the first mainstream TV Station kumhoji Tundu Lissu. Huu ni mwanzo mzuri, TV nyingine zifuate.
Pia nampongeza Mhe. Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu, ametumia lugha za staha, amemwaga sera.
Kati ya freedom zote, freedom ambayo ni absolute freedom is the freedom to think, uhuru wa kufikiri ndio uhuru pekee ambao hauna mipaka, mtu unaruhusiwa kufikiri lolote, lakini sio uhuru wa kuongea lolote.
Nimemsikiliza Tundu Lissu katika mahojiano haya, amezungumzia sera nzuri za Chadema, generally kipindi hiki ni kizuri, kimeijenga ITV na kimemjenga Tundu Lissu, but...
Naomba hapo kwenye but nisiseme kitu kwasababu siku hizi, mimi ni kada.
Kitu pekee Lissu alichoharibu, ni kutaja majina ya watu, anaowahisi wanafanya mambo fulani ndivyo sivyo. Nimesema kuhisi ni sawa lakini usitaje hadharani majina ya hao unawahisi, ukiambiwa thibitisha, ukashindwa utahesabika ni muongo!
Kumhisi mtu yoyote au kumshuku mtu yoyote is your right, lakini kumtaja hadharani kwa majina huyo unayemhisi, is not right unless una ushahidi usiotia shaka, na ukiitwa kuthibitisha, utathibitisha pasipo kubabaika wala kujiuma umma.
Katika kipindi cha leo, kuna jina la mtu, Tundu Lissu amemtaja, na kumsingizia kuwa kabla hajafanya maamuzi yoyote ni lazima kwanza amuulize aliyemteua.
This is not right, ofisi ile ni independent, kumsingizia yule aliyemsingizia, tena kwa kumtaja jina kuwa hawezi kufanya maamuzi yoyote hadi amuulize aliye mteua kama uamuzi huo utamfurahisha, is not right.
Kwa mujibu wa katiba yetu, wakuu wa Taasisi zote za umma wanateuliwa na rais. Kati ya taarifa hizo, kuna Taasisi ni independent, rais anaweza kukuteu tuu lakini hawezi kukutengua, Taasisi hizo ni pamoja na Mahakama, Ofisi ya CAG, Gavana wa Benki Kuu, Tume ya Haki za Binaadam na Utawala Bora, na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, nafasi zao zinalindwa na kitu kinaitwa security of tenure. Rais anaweza kumteua tuu mtu kama Jaji Mkuu, CAG, Msajili wa Vyama, lakini hawezi kumtengua. Hivyo kitendo cha Tundu Lissu kumsema mteule fulani hawezi kufanya maamuzi mpaka amuulize aliyemteua, sio kumtendea haki mteule huyo.
Alichosema Lissu is as if, kwa vile wakuu fulani wameteuliwa na rais, hivyo kazi yao ni kufanya maamuzi ya kumfurahisha rais, kitu ambacho sii kweli.
Mfano ni mimi mwenyewe, baada ya Mkuu fulani kusema hadharani kuwa fulani alimpigia simu kumuuliza aumteue nani kwenye issue fulani. Mimi nikauliza, kitu fulani, niliitwa Dodoma kuhojiwa na Kamati fulani kwa swali langu hilo!. Sasa leo Tundu Lissu amesema mtu fulani hawezi kufanya maamuzi hadi amuulize aliyemteua!, jee akiitwa kuthibitisha, ataweza?
My Take:
Natoa wito kwa wanasiasa, japo kwenye kampeni uongo unaruhusiwa na propaganda za kisiasa rukhsa katika kutafuta kura, mnapo nadi sera zenu, epukeni kutaja majina ya watu katika vitu ambavyo ni hisia tuu!.
Namalizia kwa kutoa hongera kwa ITV, hongereni sana, mmetusaidia kumsikia Tundu Lissu na kumsililiza bila kukereka.
Pia nampongeza Tundu Lissu kuzungumza kwa utulivu katika mahojiano hayo, bila kusahau kumpongeza Mtangazaji Farhia Middle, kwa maswali mazuri kwa Tundu Lissu, hiki ni kipaji kingine kizuri katika utangazaji, ITV imekiibua, na hongera kwa menejimenti ya ITV, kumwalika Tundu Lissu na kumpatia Airtime ya kutosha, katika zama hizi za Tanzania ya sasa, it's a bold decision! mimi niliulizaga tu swali mahali, kilichofuata..., only God knows, hadi ilibidi...
Pia nasisitiza the freedom to expression, ruksa kuhisi lolote, rukhsa kumhisi yoyote, lakini sio fair kutaja majina ya watu kwa jambo la hisia tuu kwa kumhisi. Niliwahi kushauri humu kuwa sio lazima mtu kuusema kila ukweli unaoisikia au kuujua!. Kwa mfano kuna member mwenzetu humu, anamjua kiongozi fulani kuwa sio, akanitajia, na mimi nikajiridhisha kuwa alichokisema ni kweli lakini ukweli huo hauhitaji kusemwa!
Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
I wish him, Tundu Lissu, all the best katika ugombea wake, maana mimi ni miongoni mwa watu tuliomchagiza Lissu kugombea ili kuuchangamsha uchaguzi wa urais.
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Paskali
Tz hakuna Amani kuna utulivu kidogo tu. Kwani nchi hii anaemiliki jeshi na vyombo vyote vya usalama nasilaha zote ni nani kama siyo CCM na serkali yake.Pakichimbika ni serkali imesababisha yote hayo.na ikibid pachimbike tuu ili angalao nchi hii tuheshimiane kidogo.upuuzi umezidi.Siamini kwenye kuchimbika,na sio mimi tu hata watanzania hawaamini kwenye kuchimbika.
sababu zenu za kuchimbika hazina mantiki kabisa ndo maana watanzania hawana mpango na kichimbika.
Amani kwanza,changamoto zingine zitatuliwa taratibu pakiwa na amani na utulivu mpaka tutafika Ishallah.