Hongera Ben...

Hongera Ben...

Nawashangaa sana wanaomponda huyu mama.mbona mzuri sana.halafu huyo Ben mbona huyo mama amemsaidia sana tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utawaweza watu wa mitandaoni?
IMG-20190218-WA0253.jpeg


Jr
 
Ungem text tu kwa hili. Kuanzisha topic mpya na kumwambia asiwasikilize hao ni sawa na kuwaita hao waje kuchangia yao.

Single motherz oyee, mwenzetu kaweza ana nini na sisi tushindwe tuna nini.
Nawatakia wanandoa hawa maisha ya furaha na upendo, ndoa yao idumu wazeeke pamoja kifo tu ndio kiwatenganishe. Amen.
Mwenzenu kaweza anapesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuta muanzisha mada ni mtu na ndevu zake na pengine ni baba wa watoto halafu anaanzisha thd ili kudhihaki ndoa ya wenzake! huyo ndio chaguo la Ben na ameoa akipendacho,au ulitaka wewe ndio umchagulie mke? maisha ya watu hayakuhusu chochote wewe,if u mind your own business you'll stay busy all the time,just mind ur own business.
 
Hapo kwenye kuzeeka pamoja pana utata mana kimuonekano bibi harusi ni jioni tayari wakati bwana harusi bado kijana mdogo so obviously mwanamke atazeeka kabla ya mwanaume.

Haaaaaaaaaaah mwanamke kwa upendo atamsubiria mume wake wazeeke wote, yaan ata pause button au ku- mute kidude ili waende sawa.
 
Utakuta muanzisha mada ni mtu na ndevu zake na pengine ni baba wa watoto halafu anaanzisha thd ili kudhihaki ndoa ya wenzake! huyo ndio chaguo la Ben na ameoa akipendacho,au ulitaka wewe ndio umchagulie mke? maisha ya watu hayakuhusu chochote wewe,if u mind your own business you'll stay busy all the time,just mind ur own business.
Business is not only the art of selling and/or buying tangible and ideas also the science of keeping the brain thinking.
 
Business is not only the art of selling and/or buying tangible and ideas also the science of keeping the brain thinking.
Brain thinking kwa kudhihaki mke wa mtu? hivi uliielewa post yangu au umeamua tu kuchangia ili na wewe usisahaulike kua upo humu JF?
 
Brain thinking kwa kudhihaki mke wa mtu? hivi uliielewa post yangu au umeamua tu kuchangia ili na wewe usisahaulike kua upo humu JF?
Science is not an art.
Hiyo siyo dhihaka.
Huo ni mtizamo (perspectives) na of cause wao ndio wame trigger brain business ya society.

Kama hujui kuifikirisha akili basi anzia kwenye mashindano ya urembo! One beautiful against the rest ugly.
Sasa huyu wa Ben ameingia kwenye beauty contest, majaji ndio hao wewe unawashutumu kuwa waadhihaki.
 
ndoa daima huandikwa mbinguni kwa bwana wa mabwana na kama bwana hajaandika daima ndoa haiwi, maamuzi ya ben yatabaku kuwa ya ben , na maoni ya wananchi yatabaku kuwa ya wananchi. Nna hakika ben ni kijana ambaye anajitambua na anaona nini umuhimu wa ndoa na kwa wakati gani unatakiwa kama kijana uingie kwenye ndoa na kwa mtu gani. Kwa Ben muda umeshafika wa kuingia kwenye ndoa na kapata mtu sahihi kwa maono yakena kwa uchaguzi wake, kilicho baki ni kuiombea mungu ndoa idumu miaka na miaka kwa jina ya Yesu
 
Science is not an art.
Hiyo siyo dhihaka.
Huo ni mtizamo (perspectives) na of cause wao ndio wame trigger brain business ya society.

Kama hujui kuifikirisha akili basi anzia kwenye mashindano ya urembo! One beautiful against the rest ugly.
Sasa huyu wa Ben ameingia kwenye beauty contest, majaji ndio hao wewe unawashutumu kuwa waadhihaki.
Nilidhani najadili na mtu anayejielewa kumbe napoteza muda na mtu ambaye anakomaza ubongo kwa kuleta vikejeli vya kitoto!
 
Nilidhani najadili na mtu anayejielewa kumbe napoteza muda na mtu ambaye anakomaza ubongo kwa kuleta vikejeli vya kitoto!
Ni heri umegundua kuwa bila kujibaraguza huna pa kutokea.

Ben ameoa tunampongeza!
Mkewe Ben tunamuheshimu kwa umri wake, mwonekano wake na ulimbwende wake kwa kipambanuzi cha wanawake wenzake!
 
Back
Top Bottom