Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 365,947
- 845,968
- Thread starter
- #41
Bro mshana umwkuwa msengenyaji, maneno haya ni yako hao unaowasema unawasingizia
Sent using Jamii Forums mobile app





Jr

Bro mshana umwkuwa msengenyaji, maneno haya ni yako hao unaowasema unawasingizia
Sent using Jamii Forums mobile app






Beauty is in the eyes of the beholder
Hujui hata unachokiongea,umebaki kuruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa,kaa chini chukua muda ujihurumie na siku nyingine usipende kukurupuka kuniquote kwa jambo ambalo hujalielewa.Ni heri umegundua kuwa bila kujibaraguza huna pa kutokea.
Ben ameoa tunampongeza!
Mkewe Ben tunamuheshimu kwa umri wake, mwonekano wake na ulimbwende wake kwa kipambanuzi cha wanawake wenzake!
hilo nalo neno kama hapandi kafuata chaka la kujifichia naye alikuwa kwenye list ya mzee wa konki konki konki master.....!!!!!!!!!!!Kwan Ben jogoo anapanda mtungi kweli?
Nawashangaa sana wanaomponda huyu mama.mbona mzuri sana.halafu huyo Ben mbona huyo mama amemsaidia sana tu.
hapo sijaelewa unamaanisha nini miss
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanazeekaje pamoja huku mwingine tayari ashafanya bookingUngem text tu kwa hili. Kuanzisha topic mpya na kumwambia asiwasikilize hao ni sawa na kuwaita hao waje kuchangia yao.
Single motherz oyee, mwenzetu kaweza ana nini na sisi tushindwe tuna nini.
Nawatakia wanandoa hawa maisha ya furaha na upendo, ndoa yao idumu wazeeke pamoja kifo tu ndio kiwatenganishe. Amen.
Mshana Una utani mbaya na mtani wako Ben. Ngojea akukamate