Hongera Ben...

Hongera Ben...

Ni heri umegundua kuwa bila kujibaraguza huna pa kutokea.

Ben ameoa tunampongeza!
Mkewe Ben tunamuheshimu kwa umri wake, mwonekano wake na ulimbwende wake kwa kipambanuzi cha wanawake wenzake!


Jr
 
Use..nge mulitaka nimuoe Hamissa Mobeto au Wema Sepetu?wacheni mambo yenu bana.Napenda maisha ya amani na furaha,sasa kama hayo nayapata kwa huyu munaemuona bibi kwanini nisitulie kwake?Nimewaachia nyinyi na akina Diamond hao munaowaona warembo na vijana,narudia tena niacheni na bibi yangu.Shwaiiinii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni heri umegundua kuwa bila kujibaraguza huna pa kutokea.

Ben ameoa tunampongeza!
Mkewe Ben tunamuheshimu kwa umri wake, mwonekano wake na ulimbwende wake kwa kipambanuzi cha wanawake wenzake!
Hujui hata unachokiongea,umebaki kuruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa,kaa chini chukua muda ujihurumie na siku nyingine usipende kukurupuka kuniquote kwa jambo ambalo hujalielewa.
 
Kaka pole sana!
Good%20morning%20fam%20_blush__blush__blush_.jpeg
 
Ungem text tu kwa hili. Kuanzisha topic mpya na kumwambia asiwasikilize hao ni sawa na kuwaita hao waje kuchangia yao.

Single motherz oyee, mwenzetu kaweza ana nini na sisi tushindwe tuna nini.
Nawatakia wanandoa hawa maisha ya furaha na upendo, ndoa yao idumu wazeeke pamoja kifo tu ndio kiwatenganishe. Amen.
Wanazeekaje pamoja huku mwingine tayari ashafanya booking

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom