Wanaweka bendera ya taifa kwenye harusi!!!Kila mtu atasema lake.. Wengine watasema umeoa kikongwe... Wengine watasema umeoa mwanamke wa kiume.. Lakini mapenzi ni ya wawili tuuu... Usiwasikize haoView attachment 1026072
Jr![]()
hii ina maana gani?Afu we shosti nakutafuta sana. Nina ujumbe wako...
Fanya kuutupia piemuni, no mtume mtu anileteeAfu we shosti nakutafuta sana. Nina ujumbe wako...
Huyo mleta mada ana akili za kitoto sana japo umri umeshamtupa mkono,mada zake za kishirikina watu walishamshtukia ndio maana sasa hivi hajui hata aanzishe mada gani,hizi mada anazo anzisha sasa ni sawa na the last kicks of a dying horse.Si ndio hapo sasa! Uzi ameuweka kikejeli na viemoj vya kujichekesha alafu eti anajifanya kutoa ushauri![]()
Tulia we jamaaBashashimzeee
Jr![]()
Fisi atumwe kumchukua swala ampelekee chui...
Subiri kwanza, hapa nani fisi nani swala na nani chui?Fisi atumwe kumchukua swala ampelekee chui...