UPOPO
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,696
- 6,045
Mchagga huyo dada/mama na anaishi au Ana uraia wa UK ni mama wa watoto 2Figure za mbeya hizi!
Beautiful.
Mchagga huyo dada/mama na anaishi au Ana uraia wa UK ni mama wa watoto 2Figure za mbeya hizi!
Beautiful.
Wadada ambao hamjaolewa msikate tamaa ipo siku na naww utakutana na Kinyaiya wako sehemu



Ukizipata hizo pesa naomba unpmNaanza kuzisaka. Huyu wifi age mate wangu au labda namzidi kidogo. Ameni inspire.
Si ndio hapo sasa! Uzi ameuweka kikejeli na viemoj vya kujichekesha alafu eti anajifanya kutoa ushauriUngem text tu kwa hili. Kuanzisha topic mpya na kumwambia asiwasikilize hao ni sawa na kuwaita hao waje kuchangia yao.
Single motherz oyee, mwenzetu kaweza ana nini na sisi tushindwe tuna nini.
Nawatakia wanandoa hawa maisha ya furaha na upendo, ndoa yao idumu wazeeke pamoja kifo tu ndio kiwatenganishe. Amen.

Braza nawewe unauma nakupuliza kweli wewe noma wakati ukijua unafanya unafikiKila mtu atasema lake.. Wengine watasema umeoa kikongwe... Wengine watasema umeoa mwanamke wa kiume.. Lakini mapenzi ni ya wawili tuuu... Usiwasikize haoView attachment 1026072
Jr![]()



Acha unafiki uende mbinguni.hizi zinaitwa ramli chonganishi
Jr![]()



..
Kumbe wewe unakujua kulivyo! Kwamba sio kama kwenda gesti?Hivi unakufahamu huko mbinguni kulivyo? Au unadhani ni kama kwenda gesti?
Mkuu muogope munguWengine watasema umeoa mwanamke wa kiume