Holiday Greetings, Tuma salaam

Holiday Greetings, Tuma salaam

Kwa umoja wetu tumeweza kufika hapa tulipo kwa kutakiana HERI HII to me you are all beautiful creatures to whom I idore with so much appreciations

1419270166310.jpg
Niwaombe radhi kuu kwa wale ambao kwa njia moja tulikwazana au walikwazika na post zangu hakuna mkamilifu nami sipungui katka hilo hivyo napenda kusema tena 1419270273787.jpg
 
nashangaa mwaka umeisha eti, nahisi kama mwaka ungekuwa mrefu sana kama kusingekuwa na watu walionizunguka na kuwa nami pamoja katika furaha na huzuni, wapo waliokuja na tukaachana katikati ya safari wote nasema thank you, naomba nichukue fursa hii kuwatakia heri wafuatao,

kwanza kabisa mke wangu kipenzi charminglady huyu ndie memba wa Mwanza wing nnaeonana nae sana kuliko wote, pia salamu ziende kwa dada angu Elizabeth Dominic daaah sina hata cha kusema wewe ni ndo mchizi waaangu, bila kumsahau baba mkwe watu8 na mkewe, dada mkubwa Fixed Point nikupe nini dadangu nakutakia wewe na familia yako holiday njema pia hongera kwa achievement uliyofikia, pia siwezi msahau dadangu KOKUTONA japo uko busy huko uliko but i hope utazipata salamu,

kheeeee nilitaka kumsahau mwallu aka muke ya Mentor asee nawatakia holiday njema asee..pia nisiwasahau wageni waliotutembelea Mwanza wing, Maxence Melo na mkeo, Mtambuzi, marejesho na wengine ambao sikuwataja jamani karibuni sana, marejesho ukija tena usimsahau Preta na Mr.rocky

kuna watu kama kina masai dada nna bifu na wewe ila nakutakia sikukuu njema, tall gal upoooo? sikukuu njema popote ulipo, ladyfurahia pia salamu zikufikie..

marafiki zangu kina Chimbuvu Nyasiro, Chief-Mkwawa @given edward na wengine wooote wa jukwaa la tech happy holidays guys.Mwisho kabisa salamu ziwaendee wana jf wooote mnaosoma bandiko hili. Nawashukuru wote kwa kugusa maisha yangu kwa njia moja au nyingine kwa huu mwaka 2014, natumaini mwaka ujao utakuwa wa mafanikio na furaha tele


Ho..ho..ho meeeery christmas and happy new year
 
salamu spesheli ziende kwa mke wangu wa kwanza Madame B
na michepuko yangu yote miss chagga japo anajifanya hanioni
AmKATRINA huyu ndio hadi nakaribia kumsahau sura yake
Na wengine ambao wapo njiani
miss neddy japo utafiti anabana ila ataachia tu
tinna cute huyu nitamuelezea kwa urefu
masai dada ile zawadi yako nakuwekea kwenye freezer kama ulivyoniambia

sister Khantwe wewe utachagua yupi uanze kumuita wifi ila usijali ni maendeleo madogo tu
Mafikizolo kiukweli mpaka leo napata tabu kugundua jinsia yako ukipenda niambie
mamaafacebook toto la kidigo hili aliyenichinjia baharini
shemejiiii zima taa Evelyn Salt
Tumboo popote ulipo.
Mke mwema Matege popote ulipo hata kama hunipendi mimi nakupenda

#team pichazzz
mshana jr
Mr Rocky
utafiti
HARUFU
Tyta
muhuni tee_bag
watu8

bila kuwasahau #team _Aibu_Naona_Mimi

list itaongezeka hii

nikirudi nikute zawadi yangu
 
Last edited by a moderator:
nashangaa mwaka umeisha eti, nahisi kama mwaka ungekuwa mrefu sana kama kusingekuwa na watu walionizunguka na kuwa nami pamoja katika furaha na huzuni, wapo waliokuja na tukaachana katikati ya safari wote nasema thank you, naomba nichukue fursa hii kuwatakia heri wafuatao,

kwanza kabisa mke wangu kipenzi charminglady huyu ndie memba wa Mwanza wing nnaeonana nae sana kuliko wote, pia salamu ziende kwa dada angu Elizabeth Dominic daaah sina hata cha kusema wewe ni ndo mchizi waaangu, bila kumsahau baba mkwe watu8 na mkewe, dada mkubwa Fixed Point nikupe nini dadangu nakutakia wewe na familia yako holiday njema pia hongera kwa achievement uliyofikia, pia siwezi msahau dadangu KOKUTONA japo uko busy huko uliko but i hope utazipata salamu,

kheeeee nilitaka kumsahau mwallu aka muke ya Mentor asee nawatakia holiday njema asee..pia nisiwasahau wageni waliotutembelea Mwanza wing, Maxence Melo na mkeo, Mtambuzi, marejesho na wengine ambao sikuwataja jamani karibuni sana, marejesho ukija tena usimsahau Preta na Mr.rocky

kuna watu kama kina masai dada nna bifu na wewe ila nakutakia sikukuu njema, tall gal upoooo? sikukuu njema popote ulipo, ladyfurahia pia salamu zikufikie..

marafiki zangu kina Chimbuvu Nyasiro, Chief-Mkwawa @given edward na wengine wooote wa jukwaa la tech happy holidays guys.Mwisho kabisa salamu ziwaendee wana jf wooote mnaosoma bandiko hili. Nawashukuru wote kwa kugusa maisha yangu kwa njia moja au nyingine kwa huu mwaka 2014, natumaini mwaka ujao utakuwa wa mafanikio na furaha tele


Ho..ho..ho meeeery christmas and happy new year

najua hilo nitakutafuta tumalize hilo kabla mwaaka haujaisha
 
Msimu wa salam
Naomba nisitaje wing wala nini ila mchanganyiko maalumu wa watu
Nikianza na mtuma salam mkuu Arushaone na wenzake akina Erickb52 (mwambie aliyekuficha akupe japo nafasi ya kusalimia), kiwatengu (pitia badi hata kijiweni upate banana baridi aise), PakaJimmy, Crashwise, Blaki Womani, Preta (safari hii dareda tunaenda wote aise ), amu, ladydoctor (umepotea sana siku hizi) sweetlady, mwalimu wangu gfsonwin, lilyflower, Kaunga, King'asti (umemficha sana Paw aise) Lizzy (umepotea sana)
Binamu zangu ladyfurahia, Madame B, Evelyn Salt, Heaven on Earth (mwambie grafani11 awe anatembelea na huku na salam awe anatoa) , miss chagga (aise we mchepuko wangu usimalize pesa zote sikukuu bado aise ) miss neddy (huvi kukuambia nakumiss ni kosa aise), Khantwe (Ntuzu mwambie namsalimia na kumtakia sikukuu njema)
Marafiki zangu wa ukweli BAK (mkuu heshima kwako na endelea na moyo huo huo) , Tized (dah kile kimbuzi kimekata kamba kikatoroka aise sasa sijui tunafanyaje), utafiti (nasubiri kadi aise ya ile mambo yetu), kabanga (we wala sihitaji kusema mengi unajua viwanja vyetu aise ila kuwa makini sana), Kibo10 (aise huonekani bana), Himidini (aise asante sana kunikumbusha na naisubiri sana ahadi yangu), mwekundu na Mentor (chezeni salama aise tukutane tena hapa January mwakani) MO11 na mshana jr (salam nyingi sana kwenu pamoja na Tyta muendeleze jukwaa la mavitu kule aise) The Finest na AshaDii mmekuwa bidhaa adimu sana sijui mmepotelea wapi aise, baba paroko Eiyer (sijui kama kundi liko salama) Mashaxizo na Excel salam nyingi sana kwenu. Mamndenyi sijakusahau mtalaka wangu. SnowBall na snowhite mmepotea sana sijui hizo snow mwanzo wa majina yenu zimeyeyuka. christine ibrahim salam zenu sana. Mkuu Asprin msalimie pia na babu yetu Dark City popote alipo na sijui Bishanga ndo kapotea kabisa jukwaani. Kaizer hivi bado uko mjini au Nicas Mtei kashakupeleka chaka aise. charminglady usisahaulike kwenye salam bana. OLESAIDIMU popote ulipo pokea salam mkuu. BATTO salama mkuu. Mafikizolo salam nyingi mkuu na mamafacebook usinisahau pia. watu8 nafikiri mwakani familia itakuwa watu9 na sio watu8 tena. Mtambuzi tumekosa sana story zako za uchambuz. Mndengereko usipotelee hivyo kijijini njoo na mjini bana. Viol na wewe usipotee hivyo bana. Honey Faith upo dear pamoja sana na KikulachoChako. afrodenz na FirstLady1 sherehekeeni salama pia. Chocs umemficha sana Erickb52 na Blue G upo salama aise msalimie na mwallu na asakuta same na everlenk

Nisimsahau mke wangu pekee humu ndani Dena Amsi ajue nampenda sana licha ya kuwa na mchepuko miss chagga niko nae daima kama mke halali
Na wengine wote ambao sitaweza kuwataja nawatakia kila jema katika msimu huu wa sikukuu na tusherehekee kwa amani na kwa umakini wa hali ya juu.

Kaka!! asante sana i will passby ila itabidi nibadillishe kinywaji..
Huu msimu ni wa mbege baridi..

Heri ya Christmas na mwaka mpya!!
 
Last edited by a moderator:
salam zimfikie kiwatengu sambamba na mkewe shansarie, MziziMkavu 1st AID I miss u so much.............!! Asprin tuanze ukurasa upya....aahhha lol..... mjukuu wangu Honey Faith nakupenda sana Khantwe popote ulipo zikufikie Mentor hope huko uliko salam umezipata Mafikizolo mumie salam hizoooooooooooooo leo tunajiexpress na salam tu HARUFU Ntuzu nimekumiss warumi binamuuuuuu kabanga pokea salam zangu



na wewe mtoa uzi pia salam za kukutakia mwaka mpya na heri ya krismas zikfikie

wenu
mamaafacebook

Waoh..thank you much my best friend..
Kisses kisses to u..
Merry Christmas
 
Last edited by a moderator:
Maneno mazuri haya mamaafacebook

Kweli wewe mtoto Wa kitanga! Naanza kuhisi kukudondokea!

Una uhakika na wewe maana usinifanye niingie kazin na ninauhakika ukingia hapa kwa huyo kichuna wako hutakaa ukapakumbuka mie ndo mamaafb toto la kitang ntacheza na kila mizungu ntakupata tu labda nisiamue


Nyooo muangalie lia tu kwan machozi n kisima kua ukilia sana kitakauka
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom