Holiday Greetings, Tuma salaam

Holiday Greetings, Tuma salaam

Hizi salamu zangu kwanza kwa wake zangu AshaDii gfsonwin na DEMBA. Kisha nawatakia unywaji wa afya sikukuu hii Fidel80 Teamo Bigirita RR MwanajamiiOne Asprin KakaKiiza amu Khantwe ladyfurahia

Nawatakia sikukuu njema le mabebz wote wa hapa MMU wakiongozwa na super le mbebz masai dada, miss neddy kichunafk sister ICHANA mamaafacebook Ennie Eshy m.s Kim nana Honey Faith Evelyn Salt Husninyo Preta farkhina na super le mutindiz wote.

Bila kuwasahau ma super men wa hapa kina utafiti Tyta mnengereko Dark City mzee mwenzangu wa mwaka 47 moto ni ule ule, Arushaone Mzee wa Rula PakaJimmy Filipo asakuta same na wengineo.

Walimu wangu snowhite na Madame B nawakumbuka sana mwaka.kesho ntaanza form one.

asante kwa salam.....nami nakutakia kila la kheri katika sikukuu ya xmass na mwaka mpya....
 
Last edited by a moderator:
Wakuu wote mlionisalimia nawashukuru sn! Nami nawatakieni kheri na fanaka ktk kipindi hiki cha mwisho Wa mwaka na mwaka mpya!
 
Salamu zangu ziwaendee mumy & daddy measkron , watu8 nashukuru kwa hekima zao kwa busara za kwa onyo zao hasa daddy kuna wakati alinikana lakini baadaye akanirudia mwanawe na kunisamehe kwa vituko nilivyomfanyia si unajua atena tunaoishi na madaddy karibu full kudeka,



Sitawasahau ndugu zangu wa ukweli waliofanya baraka na furaha kwangu kuwapa salamu za sikukuu njema na mwaka mpya mwema nao ni Passion Lady, charminglady na mumewe C6 , Lady doctor na mumewe Arushaone, sweetlady WiseLady, FirstLady1 na Focuslady Mungu awe nanyi awape baraka tele



Siwezi kuwa mwingi wa fadhila kuwakumbuka hawa wafuatao hasa mume wangu muuza ubuyu, mke mwenza Khantwe,




Marafiki wa karibu sana nami Ntuzu, kabanga, Mamndenyi, Mtambuzi, Paloma, Heaven on Earth, sister, mwallu, mshanajr, stevoh, KakaKiiza, MANI, Madame B, AshaDii, Mphamvu, Chabruma, Kaizer, miss neddy, Munkari, (ILA HUYU BABU MMMHM Asprin ODM,) madame X, Excel, miss chagga na wale w0te wanaofuatilia thread zangu humu mjengoni na kukoment kwa ujumla nawatakia siku kuu njema na mwaka mpya mwema Mungu awalinde na kuwabarikia na kuwaongezea mkose nafasi ya kuiviweka vingine.
Asante bebiiii ladyfurahia! Kwa upendo huu jamani ntazidisha mapenzi yangu ya kisukuma kwako!
 
Last edited by a moderator:
Don't cry my babe! She won't take me!


Una uhakika na wewe maana usinifanye niingie kazin na ninauhakika ukingia hapa kwa huyo kichuna wako hutakaa ukapakumbuka mie ndo mamaafb toto la kitang ntacheza na kila mizungu ntakupata tu labda nisiamue

Mmmmhhh swty... mamaafacebook mbona kasema anakuchukua...nalia mimi
Nyooo muangalie lia tu kwan machozi n kisima kua ukilia sana kitakauka
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom