Holiday Greetings, Tuma salaam

Holiday Greetings, Tuma salaam

salamu spesheli ziende kwa mke wangu wa kwanza Madame B
na michepuko yangu yote miss chagga japo anajifanya hanioni
AmKATRINA huyu ndio hadi nakaribia kumsahau sura yake
Na wengine ambao wapo njiani
miss neddy japo utafiti anabana ila ataachia tu
tinna cute huyu nitamuelezea kwa urefu
masai dada ile zawadi yako nakuwekea kwenye freezer kama ulivyoniambia

sister Khantwe wewe utachagua yupi uanze kumuita wifi ila usijali ni maendeleo madogo tu
Mafikizolo kiukweli mpaka leo napata tabu kugundua jinsia yako ukipenda niambie
mamaafacebook toto la kidigo hili aliyenichinjia baharini
shemejiiii zima taa Evelyn Salt
Tumboo popote ulipo.

#team pichazzz
mshana jr
Mr Rocky
utafiti
HARUFU
Tyta
muhuni tee_bag
watu8

bila kuwasahau #team _Aibu_Naona_Mimi

list itaongezeka hii

Asante braza MO11 sikukuu iwe njema na kwako pia ila hiyo list ya vimwana aibu naona mimi
 
Last edited by a moderator:
Seasons%20greetings%20and%20best%20wishes%20for%202011.jpg

Thank you Tyta
 
Last edited by a moderator:
asante sana rafiki @MrRocky nakutakia kila la kheri pia wewe pamoja na familia yako yote!
Msimu wa salam
Naomba nisitaje wing wala nini ila mchanganyiko maalumu wa watu
Nikianza na mtuma salam mkuu Arushaone na wenzake akina Erickb52 (mwambie aliyekuficha akupe japo nafasi ya kusalimia), kiwatengu (pitia badi hata kijiweni upate banana baridi aise), PakaJimmy, Crashwise, Blaki Womani, Preta (safari hii dareda tunaenda wote aise ), amu, ladydoctor (umepotea sana siku hizi) sweetlady, mwalimu wangu gfsonwin, lilyflower, Kaunga, King'asti (umemficha sana Paw aise) Lizzy (umepotea sana)
Binamu zangu ladyfurahia, Madame B, Evelyn Salt, Heaven on Earth (mwambie grafani11 awe anatembelea na huku na salam awe anatoa) , miss chagga (aise we mchepuko wangu usimalize pesa zote sikukuu bado aise ) miss neddy (huvi kukuambia nakumiss ni kosa aise), Khantwe (@ntuzu mwambie namsalimia na kumtakia sikukuu njema)
Marafiki zangu wa ukweli BAK (mkuu heshima kwako na endelea na moyo huo huo) , Tized (dah kile kimbuzi kimekata kamba kikatoroka aise sasa sijui tunafanyaje), utafiti (nasubiri kadi aise ya ile mambo yetu), kabanga (we wala sihitaji kusema mengi unajua viwanja vyetu aise ila kuwa makini sana), Kibo10 (aise huonekani bana), Himidini (aise asante sana kunikumbusha na naisubiri sana ahadi yangu), mwekundu na Mentor (chezeni salama aise tukutane tena hapa January mwakani) MO11 na mshana jr (salam nyingi sana kwenu pamoja na Tyta muendeleze jukwaa la mavitu kule aise) The Finest na AshaDii mmekuwa bidhaa adimu sana sijui mmepotelea wapi aise, baba paroko Eiyer (sijui kama kundi liko salama) Mashaxizo na Excel salam nyingi sana kwenu. Mamndenyi sijakusahau mtalaka wangu. SnowBall na snowhite mmepotea sana sijui hizo snow mwanzo wa majina yenu zimeyeyuka. christine ibrahim salam zenu sana. Mkuu Asprin msalimie pia na babu yetu Dark City popote alipo na sijui Bishanga ndo kapotea kabisa jukwaani. Kaizer hivi bado uko mjini au Nicas Mtei kashakupeleka chaka aise. charminglady usisahaulike kwenye salam bana. OLESAIDIMU popote ulipo pokea salam mkuu. BATTO salama mkuu. Mafikizolo salam nyingi mkuu na mamafacebook usinisahau pia. watu8 nafikiri mwakani familia itakuwa watu9 na sio watu8 tena. Mtambuzi tumekosa sana story zako za uchambuz. Mndengereko usipotelee hivyo kijijini njoo na mjini bana. Viol na wewe usipotee hivyo bana. Honey Faith upo dear pamoja sana na KikulachoChako. afrodenz na FirstLady1 sherehekeeni salama pia. Chocs umemficha sana Erickb52 na Blue G upo salama aise msalimie na mwallu na asakuta same na everlenk

Nisimsahau mke wangu pekee humu ndani Dena Amsi ajue nampenda sana licha ya kuwa na mchepuko miss chagga niko nae daima kama mke halali
Na wengine wote ambao sitaweza kuwataja nawatakia kila jema katika msimu huu wa sikukuu na tusherehekee kwa amani na kwa umakini wa hali ya juu.
 
Jamani nawashukuru wote mnaonisalimia nami pia nawatakia kila lakheri ktk msimu huu Wa Siku kuu!
 
Binamu Mr Rocky nashukuru sana kwa salam, kumbe na wewe umeanzisha SACCOS?!

Kwenye besidei ya mkeo mbona sikukuona, au ulikua umekamatwa na mchepuko wako?

Msimu huu inabidi nimfungie Erickb52 kwenye kichupa, si unajua tena!!!


Karibu huku kwetu kuna ndafu ila kunywa ni kwa kistaarabu
 
Last edited by a moderator:
salamu spesheli ziende kwa mke wangu wa kwanza Madame B
na michepuko yangu yote miss chagga japo anajifanya hanioni
AmKATRINA huyu ndio hadi nakaribia kumsahau sura yake
Na wengine ambao wapo njiani
miss neddy japo utafiti anabana ila ataachia tu
tinna cute huyu nitamuelezea kwa urefu
masai dada ile zawadi yako nakuwekea kwenye freezer kama ulivyoniambia

sister Khantwe wewe utachagua yupi uanze kumuita wifi ila usijali ni maendeleo madogo tu
Mafikizolo kiukweli mpaka leo napata tabu kugundua jinsia yako ukipenda niambie
mamaafacebook toto la kidigo hili aliyenichinjia baharini
shemejiiii zima taa Evelyn Salt
Tumboo popote ulipo.

#team pichazzz
mshana jr
Mr Rocky
utafiti
HARUFU
Tyta
muhuni tee_bag
watu8

bila kuwasahau #team _Aibu_Naona_Mimi

list itaongezeka hii
MO11 asante sana mkuu
Msimu huu usherehekee kwa amani na utulivu na uzingatie kanuni za usalama barabarani ukikuta tuta upunguze mwendo na ukiona barabara safi speed ipungue pia utafiti asante sana mkuu
 
Last edited by a moderator:
Binamu Mr Rocky nashukuru sana kwa salam, kumbe na wewe umeanzisha SACCOS?!

Kwenye besidei ya mkeo mbona sikukuona, au ulikua umekamatwa na mchepuko wako?

Msimu huu inabidi nimfungie Erickb52 kwenye kichupa, si unajua tena!!!


Karibu huku kwetu kuna ndafu ila kunywa ni kwa kistaarabu

Chocs asante sana aise nitakaribia bana mimi nakunywa kistaarabu chupa tano kwa dakika moja hapo si kistaarabu kabisa erick b52 mpe muda kidogo aise aje aione dunia maana amefichwa mno
Saccos yangu ipo aise ila inakopesha wadada tuu

asante sana rafiki @MrRocky nakutakia kila la kheri pia wewe pamoja na familia yako yote!

Blue G asante sana na wewe pia iwe kwako kama ulivyoomba na kutegemea
 
Last edited by a moderator:
Hizi salamu zangu kwanza kwa wake zangu AshaDii gfsonwin na DEMBA. Kisha nawatakia unywaji wa afya sikukuu hii Fidel80 Teamo Bigirita RR MwanajamiiOne Asprin KakaKiiza amu Khantwe ladyfurahia

Nawatakia sikukuu njema le mabebz wote wa hapa MMU wakiongozwa na super le mbebz masai dada, miss neddy kichunafk sister ICHANA mamaafacebook Ennie Eshy m.s Kim nana Honey Faith Evelyn Salt Husninyo Preta farkhina na super le mutindiz wote.

Bila kuwasahau ma super men wa hapa kina utafiti Tyta mnengereko Dark City mzee mwenzangu wa mwaka 47 moto ni ule ule, Arushaone Mzee wa Rula PakaJimmy Filipo asakuta same na wengineo.

Walimu wangu snowhite na Madame B nawakumbuka sana mwaka.kesho ntaanza form one.

Inamana mimi siyo mbebez

umemuona miss neddy
Tu!!!!
 
Last edited by a moderator:
Msimu wa salam
Naomba nisitaje wing wala nini ila mchanganyiko maalumu wa watu
Nikianza na mtuma salam mkuu Arushaone na wenzake akina Erickb52 (mwambie aliyekuficha akupe japo nafasi ya kusalimia), kiwatengu (pitia badi hata kijiweni upate banana baridi aise), PakaJimmy, Crashwise, Blaki Womani, Preta (safari hii dareda tunaenda wote aise ), amu, ladydoctor (umepotea sana siku hizi) sweetlady, mwalimu wangu gfsonwin, lilyflower, Kaunga, King'asti (umemficha sana Paw aise) Lizzy (umepotea sana)
Binamu zangu ladyfurahia, Madame B, Evelyn Salt, Heaven on Earth (mwambie grafani11 awe anatembelea na huku na salam awe anatoa) , miss chagga (aise we mchepuko wangu usimalize pesa zote sikukuu bado aise ) miss neddy (huvi kukuambia nakumiss ni kosa aise), Khantwe (@ntuzu mwambie namsalimia na kumtakia sikukuu njema)
Marafiki zangu wa ukweli BAK (mkuu heshima kwako na endelea na moyo huo huo) , Tized (dah kile kimbuzi kimekata kamba kikatoroka aise sasa sijui tunafanyaje), utafiti (nasubiri kadi aise ya ile mambo yetu), kabanga (we wala sihitaji kusema mengi unajua viwanja vyetu aise ila kuwa makini sana), Kibo10 (aise huonekani bana), Himidini (aise asante sana kunikumbusha na naisubiri sana ahadi yangu), mwekundu na Mentor (chezeni salama aise tukutane tena hapa January mwakani) MO11 na mshana jr (salam nyingi sana kwenu pamoja na Tyta muendeleze jukwaa la mavitu kule aise) The Finest na AshaDii mmekuwa bidhaa adimu sana sijui mmepotelea wapi aise, baba paroko Eiyer (sijui kama kundi liko salama) Mashaxizo na Excel salam nyingi sana kwenu. Mamndenyi sijakusahau mtalaka wangu. SnowBall na snowhite mmepotea sana sijui hizo snow mwanzo wa majina yenu zimeyeyuka. christine ibrahim salam zenu sana. Mkuu Asprin msalimie pia na babu yetu Dark City popote alipo na sijui Bishanga ndo kapotea kabisa jukwaani. Kaizer hivi bado uko mjini au Nicas Mtei kashakupeleka chaka aise. charminglady usisahaulike kwenye salam bana. OLESAIDIMU popote ulipo pokea salam mkuu. BATTO salama mkuu. Mafikizolo salam nyingi mkuu na mamafacebook usinisahau pia. watu8 nafikiri mwakani familia itakuwa watu9 na sio watu8 tena. Mtambuzi tumekosa sana story zako za uchambuz. Mndengereko usipotelee hivyo kijijini njoo na mjini bana. Viol na wewe usipotee hivyo bana. Honey Faith upo dear pamoja sana na KikulachoChako. afrodenz na FirstLady1 sherehekeeni salama pia. Chocs umemficha sana Erickb52 na Blue G upo salama aise msalimie na mwallu na asakuta same na everlenk

Nisimsahau mke wangu pekee humu ndani Dena Amsi ajue nampenda sana licha ya kuwa na mchepuko miss chagga niko nae daima kama mke halali
Na wengine wote ambao sitaweza kuwataja nawatakia kila jema katika msimu huu wa sikukuu na tusherehekee kwa amani na kwa umakini wa hali ya juu.
condom zinasaidia hadi wale...wameuona mwaka?
 
Back
Top Bottom