nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,798
- 4,752
hii ngoma kila mtu acheze kwa style yake.......watanzania ni wajuaji sana.........wangeambiwa hii chanjo inamaliza UKIMWI...... hakika ungekuta vituo vimefurika.......kama unajielewa tafakari kwa makini...........na uelewe.....DUNIA INAENDESHWA "wandu wasungu bana" wangeamua kutuua wangeshatumaliza tokea enzi........mdoa mada hawatakuelewa..........ila usichoke......asante.