#COVID19 Hoja za baadhi ya Watanzania kuhusu kukataa chanjo bado ni dhaifu sana

Watanzania hawaishiwi hoja kwa kweli.

ETI Katika hoja wanazotumia wanasema eti chanjo gani ambayo serikali imejitoa kabisa kwamba litakalokupata wao hawawajibiki kwa lolote ?

Watanzania wamesahau kwamba hata ukienda hospitali una haki ya kukataa kutibiwa,una haki ya kukataa sawa,una haki ya kumkataa daktari usiyemtaka asikutibu.

Endapo ukikubali kutibiwa kwa ridhaa yako na katika tiba hiyo ukapata madhara basi hakuna daktari atakayewajibika eti ahukumiwe kwa jambo hilo.

Hata ukienda kufanya upasuaji lazima ukubali kusaini,usaini ukaenda ukafa kwenye upasuaji ujue hakuna utakayemlaumu kwa sababu ulikubali mwemyewe.

Hivyo sio kwenye korona tu hata kwenye tiba zingine wanaohusika na jambo hilo wanajivua endapo ukikubali kufanyiwa jambo hilo litakalo kupata lakwako wewe.

Hivyo serikali ipo sahihi kujitoa lwenye lawama kwa sababu mtu atachoma chanjo akiumwa kichwa tu atataka aiwajibishe serikali kwamba chanjo inamdhuru,katika hili serikali imefanya vyema.

ETI Katika hoja wanazotumia wanasema eti chanjo gani ukishachanja unaambiwa uendelee kuchukua tahadhari ?

Watanzania hakuna chanjo utakayochukua alafu ukaambiwa ukae katika mazingira hatarishi ati kwa kuwa umepata chanjo,hakuna chanjo hiyo.

Angalia tu ukidungwa sindano ya kujikinga na tetenasi haina maana kwamba ujiachie tu wewe ujikate ovyo na kujiachia kwenye mazingira hatarishi.

Ukidungwa chanjo ya yellow fever haina maana eti ndio utaambiwa ukae tu kwenye mbu na mazingira hatarishi,lazima iwe ni muhimu kujiepusha na mazingira hayo hatarishi.

Hivyo hata chanjo ya korona ukidungwa haina maana ujiachie tu,lazima uendelee kujikinga.

Maana ya chanjo sio kutafuta matatizo yalipo,maana ya chanjo ni kukukinga endapo kwa bahati mbaya umepata ugonjwa,sasa wewe utafute kwa makusudi.

Ukicheza karate unatakiwa uepuke ugomvi,haina maana kwamba unajua kupigana ndo uchokoze watu.


ETI Baadhi husema sijui ukichanjwa utapata madhara kadha wa kadhaa,ni kweli unaweza kupata madhara kdha wa kadha lakini swali la msingi ni je chanjo hiii pekee tu ya corona ?

Jawabu ni kuwa chanjo zote zina madhara fulani yanaweza kutokea kwa mtu.

Mfano.
Kuna chanjo watoto wachanga wakichomwa wanapata homa sana lakini baadae wanatulia maisha yanaendelea chanjo hizi hazipigiwi kelele.

Unaweza kuchoma chanjo ukapata aleji kinga za mwili zikaanza kushambulia seli mwenzake za mwili ukaanza kupata machovu na matatizo mengine ambayo yanaweza kupotea baada ya muda fulani.

Zipo kinga au chanjo mfano kinga ya homa ya manjano tafuta side effects zake utaona miongoni mwa matatizo ambayo unaweza kupitia ni kama vilee.

Maumivu ya joints,maumivu ya misuli,kupata homa,mapele,kichwa kuuma n.k

Kwa hiyo kama chanjo ya corona itakuwa inaambatana na matatizo basi tukubaliane hakuna chanjo iliyosalimika.


Lakini pia naomba kuwauliza wanaosema hii chanjo baada ya muda ina madhara.

Je wamejuaje kama ina madhara wakati hapo hapo wanasema haijafanyiwa utafiti wa kutosha kuhusu usalama na madhara yake ?

Na je hayo madhara yataonekana baada ya muda gani ukishachoma chanjo ?


Swali la mwisho ambalo naomba niliulize ni kwamba tokea tuanze kudungwa hizi chanjo utoto wetu ambazo tisema tunajaribiwa mpaka hivi leo hii tumepata madhara gani kwa watu wote ambayo tutasema kisayansi yametokana na chanjo hizo za utotoni ?

NB : siko hapa kutetea chanjo,bali niko hapa kuvunja hoja dhaifu zinazotumika na baadhi ya watu kuwatisha wengine.

Nakubaliana na mambo ambayo kisayansi yana hoja zenye nguvu zinazoingia akilini na sio kuokota kila hoja tu na kuisema ili tuendee kulaumu.
oja za wezio unaita dhaifu ila atuchanji
 
Watanzania hawaishiwi hoja kwa kweli.

ETI Katika hoja wanazotumia wanasema eti chanjo gani ambayo serikali imejitoa kabisa kwamba litakalokupata wao hawawajibiki kwa lolote ?

Watanzania wamesahau kwamba hata ukienda hospitali una haki ya kukataa kutibiwa,una haki ya kukataa sawa,una haki ya kumkataa daktari usiyemtaka asikutibu.

Endapo ukikubali kutibiwa kwa ridhaa yako na katika tiba hiyo ukapata madhara basi hakuna daktari atakayewajibika eti ahukumiwe kwa jambo hilo.

Hata ukienda kufanya upasuaji lazima ukubali kusaini,usaini ukaenda ukafa kwenye upasuaji ujue hakuna utakayemlaumu kwa sababu ulikubali mwemyewe.

Hivyo sio kwenye korona tu hata kwenye tiba zingine wanaohusika na jambo hilo wanajivua endapo ukikubali kufanyiwa jambo hilo litakalo kupata lakwako wewe.

Hivyo serikali ipo sahihi kujitoa lwenye lawama kwa sababu mtu atachoma chanjo akiumwa kichwa tu atataka aiwajibishe serikali kwamba chanjo inamdhuru,katika hili serikali imefanya vyema.

ETI Katika hoja wanazotumia wanasema eti chanjo gani ukishachanja unaambiwa uendelee kuchukua tahadhari ?

Watanzania hakuna chanjo utakayochukua alafu ukaambiwa ukae katika mazingira hatarishi ati kwa kuwa umepata chanjo,hakuna chanjo hiyo.

Angalia tu ukidungwa sindano ya kujikinga na tetenasi haina maana kwamba ujiachie tu wewe ujikate ovyo na kujiachia kwenye mazingira hatarishi.

Ukidungwa chanjo ya yellow fever haina maana eti ndio utaambiwa ukae tu kwenye mbu na mazingira hatarishi,lazima iwe ni muhimu kujiepusha na mazingira hayo hatarishi.

Hivyo hata chanjo ya korona ukidungwa haina maana ujiachie tu,lazima uendelee kujikinga.

Maana ya chanjo sio kutafuta matatizo yalipo,maana ya chanjo ni kukukinga endapo kwa bahati mbaya umepata ugonjwa,sasa wewe utafute kwa makusudi.

Ukicheza karate unatakiwa uepuke ugomvi,haina maana kwamba unajua kupigana ndo uchokoze watu.


ETI Baadhi husema sijui ukichanjwa utapata madhara kadha wa kadhaa,ni kweli unaweza kupata madhara kdha wa kadha lakini swali la msingi ni je chanjo hiii pekee tu ya corona ?

Jawabu ni kuwa chanjo zote zina madhara fulani yanaweza kutokea kwa mtu.

Mfano.
Kuna chanjo watoto wachanga wakichomwa wanapata homa sana lakini baadae wanatulia maisha yanaendelea chanjo hizi hazipigiwi kelele.

Unaweza kuchoma chanjo ukapata aleji kinga za mwili zikaanza kushambulia seli mwenzake za mwili ukaanza kupata machovu na matatizo mengine ambayo yanaweza kupotea baada ya muda fulani.

Zipo kinga au chanjo mfano kinga ya homa ya manjano tafuta side effects zake utaona miongoni mwa matatizo ambayo unaweza kupitia ni kama vilee.

Maumivu ya joints,maumivu ya misuli,kupata homa,mapele,kichwa kuuma n.k

Kwa hiyo kama chanjo ya corona itakuwa inaambatana na matatizo basi tukubaliane hakuna chanjo iliyosalimika.


Lakini pia naomba kuwauliza wanaosema hii chanjo baada ya muda ina madhara.

Je wamejuaje kama ina madhara wakati hapo hapo wanasema haijafanyiwa utafiti wa kutosha kuhusu usalama na madhara yake ?

Na je hayo madhara yataonekana baada ya muda gani ukishachoma chanjo ?


Swali la mwisho ambalo naomba niliulize ni kwamba tokea tuanze kudungwa hizi chanjo utoto wetu ambazo tisema tunajaribiwa mpaka hivi leo hii tumepata madhara gani kwa watu wote ambayo tutasema kisayansi yametokana na chanjo hizo za utotoni ?

NB : siko hapa kutetea chanjo,bali niko hapa kuvunja hoja dhaifu zinazotumika na baadhi ya watu kuwatisha wengine.

Nakubaliana na mambo ambayo kisayansi yana hoja zenye nguvu zinazoingia akilini na sio kuokota kila hoja tu na kuisema ili tuendee kulaumu.
Mwaka 1987 nilichanjwa chanjo ya typhoid nilipata homa kali mno.Bro umeongea point ahsante
 
Umekuja hapa kwa sababu ni mfano halisi.

Hiyo ni mifano hai kwa sababu

Kwanza barabara zipo halisi na ajali zipo halisi zinatokea,fuatilia takwimu za ajali za barabarani utaona kwamba hizo ajali zinahusisha watu ambao wapo na zinahusisha barabara ambazo zipo na zinajengwa na serikali.

Hivyo mifano yangu ni halisi kwa sababu vitu vyote vipo vinatokea.

Wewe mifano uliyotoaa sio halisi kwa sababu hakuna chanjo mabayo ilokuja watu wakachomwa wakafa kama unavyodai.

Na huko ndio kutoa mifano ambayo haijawahi kutokea(mifano feki a.k.a mifano ambayo sio halisi)

Kwa hiyo maana ya uhalisia hapa ni kwamba iww kweli kitu kipo na kimewahi kutokea.



Kila anayepata ajali barabarani lazima awe anatumia barabara kwa lengo moja tu la kutoka sehemu moja kwenda nyingine ama kwa lugha nyepesi kusafiri.

Sio rahisi wewe kutuambia kwamba wanaopata ajali wanatumia barabara kwa matumizi tofauti,sio kweli.

Wanaopata ajali wote wanatumia barabara kwa lengo moja tu la kutoka sehemu moja kwenda nyingine,labda utuambie kila mtu analifikia lengo hilo kwa njia tofauti.

Na kitu kuwa na njia tofauti haina maana na lengo tofauti,unaweza kuwa na njia ishirini lakini lengo ni moja tu.

Hivyo point hii pia naomba kuiwakilisha kwako kwamba watumiaji wa barabara wanaopata ajali wote hutumia kwa lengo moja tu la kutoka sehemu moja kwenda ingine(au kusafiri)

Sio kweli.

Kuna watu miili yao wana allergic reaction(aleji) wakiitumia baadhi ya dawa,na wengine hawana.
Kwa mfano huo tu watumiaji wa chanjo hawako sawa kwa kila kitu.

Tatizo sio serikali bali tatizo ni nyie wananchi mumetiwa mashaka.

Hii sio hoja ya kukataa chanjo kwa sababu mfano tu wakati wa magufuli watu walikuwa wanasifia sana serikali bila kukosoa.

Lakini watu wale wale baadhi yao sasa hivi wanakosoa serikali.

Kama kweli wanayokosoa ni ya kweli tunayachukua,hatuwezi kukataa wanayoyakosoa kwa kigezo cha kuwa eti mwanzo walisema tofauti.

Hivyo kipimo sio kigeugeu bali kipimo ni nini anasema huyo mtu.wewe mwache ageuke geuke awe na ndimi mbili lakini hoja ya msingi tuangalie anasema nini.

Nakuuliza tena ni matibabu gani katika afya ambayo serikali ilisema kwamba itahusika na side effects ambazo mgonjwa atazipata baada ya kutibiwa ?

Lete ushahidi wa hayo matibabu,pengine ukawa unakataa jina tu lakini maana ni ile ile.

Yote ni taratibu za kimatibabu.

Wanaoenda kufanyiwa upasuaji lazima wajaze fomu ya kuhifadhi kumbukumbu ya ridhaa zao kwamba wamekubali wenyewe.

Jambo hili ni maarufu sana hata kama sijawahi kufanya upasuaji lakini lipo wazi.

Au wale wanaofanyiwa amputation(kukatwa viungo) lazima watoe ridhaa wenyewe kwanza then ndo wafanyiwe.
Mkuu umeeleza mengi sana lakini 90% umetoa majibu tofauti kabisaa.

Umesema mfano wako wa barabara ni halisi, kuna mahali ulishaona watu wanaikataa barabara kwa namna yoyote ile?? Maana ya yangu ya mfano halisi imejikita hapo.
Na kusema hujawahi kusikia watu wamechoma chanjo wakapata madhara ilhali kuna baadhi ya chanjo zimetumika huko nchi za ulimwengu wa kwanza na zimeleta madhara, hapo inaonekana si mfuatiliaji wa habari tena ni hii hii johnson & johnson inayotuhumiwa.
(Sina uhakika juu ya madhara yake ila imetuhumiwa sana).

Kitu kingine hapo labda hukuelewa ila tu umetoa majibu ni kuhusu mtu kwenda hospitali na kupewa tahadhari juu ya dawa anazo/atakazotumia mgonjwa. Kama hukuelewa vizuri ni kua, ukienda hospitali sio serikali inayokutibu pale, sio inayokulipia gharama, sio iliyokuhamasisha ukatibiwe ni wewe na magonjwa yako wala sio serikali inayoidhinisha upewe dawa gani bali ni daktari uliyemkuta hapo.
Maana yangu ni kwamba serikali ndio inaleta hiyo chanjo, hatulipii chochote, na tunahamasishwa tuchanje huoni hapo kua ili sisi kua na imani na hiyo chanjo ni vizuri kuhakikishiwa usalama wetu. Teknolojia imekua mkuu kureason ni muhimu saivi sio kama zamani kwamba kila kitu unaamini chap tu, wacha wenye wasiwasi tuendelee kusubiri.

NB: Sijakujibu mengine kama hilo la operation kwasababu liko wazi operation na chanjo havifanani ila ni vile tu mnakaza ubongo.
 
Umekuja hapa kwa sababu ni mfano halisi.

Hiyo ni mifano hai kwa sababu

Kwanza barabara zipo halisi na ajali zipo halisi zinatokea,fuatilia takwimu za ajali za barabarani utaona kwamba hizo ajali zinahusisha watu ambao wapo na zinahusisha barabara ambazo zipo na zinajengwa na serikali.

Hivyo mifano yangu ni halisi kwa sababu vitu vyote vipo vinatokea.

Wewe mifano uliyotoaa sio halisi kwa sababu hakuna chanjo mabayo ilokuja watu wakachomwa wakafa kama unavyodai.

Na huko ndio kutoa mifano ambayo haijawahi kutokea(mifano feki a.k.a mifano ambayo sio halisi)

Kwa hiyo maana ya uhalisia hapa ni kwamba iww kweli kitu kipo na kimewahi kutokea.



Kila anayepata ajali barabarani lazima awe anatumia barabara kwa lengo moja tu la kutoka sehemu moja kwenda nyingine ama kwa lugha nyepesi kusafiri.

Sio rahisi wewe kutuambia kwamba wanaopata ajali wanatumia barabara kwa matumizi tofauti,sio kweli.

Wanaopata ajali wote wanatumia barabara kwa lengo moja tu la kutoka sehemu moja kwenda nyingine,labda utuambie kila mtu analifikia lengo hilo kwa njia tofauti.

Na kitu kuwa na njia tofauti haina maana na lengo tofauti,unaweza kuwa na njia ishirini lakini lengo ni moja tu.

Hivyo point hii pia naomba kuiwakilisha kwako kwamba watumiaji wa barabara wanaopata ajali wote hutumia kwa lengo moja tu la kutoka sehemu moja kwenda ingine(au kusafiri)

Sio kweli.

Kuna watu miili yao wana allergic reaction(aleji) wakiitumia baadhi ya dawa,na wengine hawana.
Kwa mfano huo tu watumiaji wa chanjo hawako sawa kwa kila kitu.

Tatizo sio serikali bali tatizo ni nyie wananchi mumetiwa mashaka.

Hii sio hoja ya kukataa chanjo kwa sababu mfano tu wakati wa magufuli watu walikuwa wanasifia sana serikali bila kukosoa.

Lakini watu wale wale baadhi yao sasa hivi wanakosoa serikali.

Kama kweli wanayokosoa ni ya kweli tunayachukua,hatuwezi kukataa wanayoyakosoa kwa kigezo cha kuwa eti mwanzo walisema tofauti.

Hivyo kipimo sio kigeugeu bali kipimo ni nini anasema huyo mtu.wewe mwache ageuke geuke awe na ndimi mbili lakini hoja ya msingi tuangalie anasema nini.

Nakuuliza tena ni matibabu gani katika afya ambayo serikali ilisema kwamba itahusika na side effects ambazo mgonjwa atazipata baada ya kutibiwa ?

Lete ushahidi wa hayo matibabu,pengine ukawa unakataa jina tu lakini maana ni ile ile.

Yote ni taratibu za kimatibabu.

Wanaoenda kufanyiwa upasuaji lazima wajaze fomu ya kuhifadhi kumbukumbu ya ridhaa zao kwamba wamekubali wenyewe.

Jambo hili ni maarufu sana hata kama sijawahi kufanya upasuaji lakini lipo wazi.

Au wale wanaofanyiwa amputation(kukatwa viungo) lazima watoe ridhaa wenyewe kwanza then ndo wafanyiwe.
umetema nondo I salute you
 
Mkuu umeeleza mengi sana lakini 90% umetoa majibu tofauti kabisaa.

Umesema mfano wako wa barabara ni halisi, kuna mahali ulishaona watu wanaikataa barabara kwa namna yoyote ile?? Maana ya yangu ya mfano halisi imejikita hapo.
Na kusema hujawahi kusikia watu wamechoma chanjo wakapata madhara ilhali kuna baadhi ya chanjo zimetumika huko nchi za ulimwengu wa kwanza na zimeleta madhara, hapo inaonekana si mfuatiliaji wa habari tena ni hii hii johnson & johnson inayotuhumiwa.
(Sina uhakika juu ya madhara yake ila imetuhumiwa sana).

Kitu kingine hapo labda hukuelewa ila tu umetoa majibu ni kuhusu mtu kwenda hospitali na kupewa tahadhari juu ya dawa anazo/atakazotumia mgonjwa. Kama hukuelewa vizuri ni kua, ukienda hospitali sio serikali inayokutibu pale, sio inayokulipia gharama, sio iliyokuhamasisha ukatibiwe ni wewe na magonjwa yako wala sio serikali inayoidhinisha upewe dawa gani bali ni daktari uliyemkuta hapo.
Maana yangu ni kwamba serikali ndio inaleta hiyo chanjo, hatulipii chochote, na tunahamasishwa tuchanje huoni hapo kua ili sisi kua na imani na hiyo chanjo ni vizuri kuhakikishiwa usalama wetu. Teknolojia imekua mkuu kureason ni muhimu saivi sio kama zamani kwamba kila kitu unaamini chap tu, wacha wenye wasiwasi tuendelee kusubiri.

NB: Sijakujibu mengine kama hilo la operation kwasababu liko wazi operation na chanjo havifanani ila ni vile tu mnakaza ubongo.
Dawa za ukimwi mnalipishwa shingapi?

Chanjo ya johnson and jonhson hadi CDC na FDA wametoa recommendation kua itumike rasmi marekani kuliko chanjo zingine.

Nini maoni yako?
 
Chanjo gani hiyo ukiweka Taa inawaka
Propaganda.

Hakuna ushahidi wowote unaoonesha kwamba ile video inahusiana na chanjo ya corona.


Watanzania tunapenda sana kuletewa picha alafu habari tukamalizia wenyewe kwa mujibu wa tunavyoona inafaa.
 
Dawa za ukimwi mnalipishwa shingapi?

Chanjo ya johnson and jonhson hadi CDC na FDA wametoa recommendation kua itumike rasmi marekani kuliko chanjo zingine.

Nini maoni yako?
Mkuu naomba unitag akikupa maoni yake.
 
We ushawahi kwenda hospitali ukatibiwa na kusain form kama ile??
Jambo hili ni maarufu sana hata kama sijawahi kufanya upasuaji lakini lipo wazi kwamba unapewa fomu kabla ya tiba


Au wale wanaofanyiwa amputation(kukatwa viungo) lazima watoe ridhaa wenyewe kwanza then ndo wafanyiwe
 
Dawa za ukimwi mnalipishwa shingapi?

Chanjo ya johnson and jonhson hadi CDC na FDA wametoa recommendation kua itumike rasmi marekani kuliko chanjo zingine.

Nini maoni yako?
Dawa ya za ukimwi-chanjo ya corona
Mkuu hivyo vitu waona vina ufanano??
Hiyo dawa ya ukimwi atapata mwenye ukimwi hii ya corona haijalishi unayo au huna inashauriwa uipate. Hivi ni kwanini mnafananisha dawa na chanjo, upasuaji na chanjo. Mnasema wanaopinga chanjo hawana hoja wakati nyie hoja yenu kuu ni hiyo ya ufananisho tu, sijui kwani hiki ni hiki, kile ni hiki aisee nyie watu .

Sijui kama mnaelewa ninachomaanisha. Ni hivi serikali imesema chanjo ni hiari kwasababu wanajua fika kuna watu wasioafiki, sio wajinga kuweka hivo. Kuna chanjo ambazo ni za lazima utake usitake utachanjwa tu. Swali ni jee kwanini hii, kwanini serikali haitaki ihusike na side effects na fomu unajaza kabisaa kuthibitisha hilo. ??

Je marekani huko unakosema imeidhinishwa nako kuna kusign na kujicommit kama huku??
Ni chanjo ipi iliyokuja kwa mfumo huu ilhali hili ni gonjwa zito.??

Toeni majibu ya kueleweka sio ufananisho. Tuelewesheni kama hujui sema sijui sio ajabu kutojua.
 
Jambo hili ni maarufu sana hata kama sijawahi kufanya upasuaji lakini lipo wazi kwamba unapewa fomu kabla ya tiba


Au wale wanaofanyiwa amputation(kukatwa viungo) lazima watoe ridhaa wenyewe kwanza then ndo wafanyiwe
Upasuaji upasuaji upasuaji
Mkuu kwani Samia ile tar 28/7/2021, uliona kuna upasuaji unafanyika pale??
Hivi kwanini mnafananisha chanjo na upasuaji?? Upasuaji mara nyingi unakua huna option ww kama mgonjwa, utaacha kufanya upasuaji ilhali unafia kitandani??

Em leteni hoja za maana basi, toa hoja sio ufananisho hiki ni kile, kile ni hiki.
Ukitoa ufafanuzi wa kidaktari itapendeza zaidi lakini bra bra sio hoja. Sio wewe tu wengi hapa wamekazana kutajataja upasuaji.
Jamani chanjo na upasuaji ni tofauti labda useme tulipopata chanjo flani flani tulisainishwa na serikali ikasema hivi na vile, tulipopata chanjo hii ikawa hivi na vile.
Sasa nyie mnafananisha upasuaji wa mgonjwa mmoja na chanjo ya nchi nzima namna gani nyie.
 
Watanzania hawaishiwi hoja kwa kweli.

ETI Katika hoja wanazotumia wanasema eti chanjo gani ambayo serikali imejitoa kabisa kwamba litakalokupata wao hawawajibiki kwa lolote ?

Watanzania wamesahau kwamba hata ukienda hospitali una haki ya kukataa kutibiwa,una haki ya kukataa sawa,una haki ya kumkataa daktari usiyemtaka asikutibu.

Endapo ukikubali kutibiwa kwa ridhaa yako na katika tiba hiyo ukapata madhara basi hakuna daktari atakayewajibika eti ahukumiwe kwa jambo hilo.

Hata ukienda kufanya upasuaji lazima ukubali kusaini,usaini ukaenda ukafa kwenye upasuaji ujue hakuna utakayemlaumu kwa sababu ulikubali mwemyewe.

Hivyo sio kwenye korona tu hata kwenye tiba zingine wanaohusika na jambo hilo wanajivua endapo ukikubali kufanyiwa jambo hilo litakalo kupata lakwako wewe.

Hivyo serikali ipo sahihi kujitoa lwenye lawama kwa sababu mtu atachoma chanjo akiumwa kichwa tu atataka aiwajibishe serikali kwamba chanjo inamdhuru,katika hili serikali imefanya vyema.

ETI Katika hoja wanazotumia wanasema eti chanjo gani ukishachanja unaambiwa uendelee kuchukua tahadhari ?

Watanzania hakuna chanjo utakayochukua alafu ukaambiwa ukae katika mazingira hatarishi ati kwa kuwa umepata chanjo,hakuna chanjo hiyo.

Angalia tu ukidungwa sindano ya kujikinga na tetenasi haina maana kwamba ujiachie tu wewe ujikate ovyo na kujiachia kwenye mazingira hatarishi.

Ukidungwa chanjo ya yellow fever haina maana eti ndio utaambiwa ukae tu kwenye mbu na mazingira hatarishi,lazima iwe ni muhimu kujiepusha na mazingira hayo hatarishi.

Hivyo hata chanjo ya korona ukidungwa haina maana ujiachie tu,lazima uendelee kujikinga.

Maana ya chanjo sio kutafuta matatizo yalipo,maana ya chanjo ni kukukinga endapo kwa bahati mbaya umepata ugonjwa,sasa wewe utafute kwa makusudi.

Ukicheza karate unatakiwa uepuke ugomvi,haina maana kwamba unajua kupigana ndo uchokoze watu.


ETI Baadhi husema sijui ukichanjwa utapata madhara kadha wa kadhaa,ni kweli unaweza kupata madhara kdha wa kadha lakini swali la msingi ni je chanjo hiii pekee tu ya corona ?

Jawabu ni kuwa chanjo zote zina madhara fulani yanaweza kutokea kwa mtu.

Mfano.
Kuna chanjo watoto wachanga wakichomwa wanapata homa sana lakini baadae wanatulia maisha yanaendelea chanjo hizi hazipigiwi kelele.

Unaweza kuchoma chanjo ukapata aleji kinga za mwili zikaanza kushambulia seli mwenzake za mwili ukaanza kupata machovu na matatizo mengine ambayo yanaweza kupotea baada ya muda fulani.

Zipo kinga au chanjo mfano kinga ya homa ya manjano tafuta side effects zake utaona miongoni mwa matatizo ambayo unaweza kupitia ni kama vilee.

Maumivu ya joints,maumivu ya misuli,kupata homa,mapele,kichwa kuuma n.k

Kwa hiyo kama chanjo ya corona itakuwa inaambatana na matatizo basi tukubaliane hakuna chanjo iliyosalimika.


Lakini pia naomba kuwauliza wanaosema hii chanjo baada ya muda ina madhara.

Je wamejuaje kama ina madhara wakati hapo hapo wanasema haijafanyiwa utafiti wa kutosha kuhusu usalama na madhara yake ?

Na je hayo madhara yataonekana baada ya muda gani ukishachoma chanjo ?


Swali la mwisho ambalo naomba niliulize ni kwamba tokea tuanze kudungwa hizi chanjo utoto wetu ambazo tisema tunajaribiwa mpaka hivi leo hii tumepata madhara gani kwa watu wote ambayo tutasema kisayansi yametokana na chanjo hizo za utotoni ?

NB : siko hapa kutetea chanjo,bali niko hapa kuvunja hoja dhaifu zinazotumika na baadhi ya watu kuwatisha wengine.

Nakubaliana na mambo ambayo kisayansi yana hoja zenye nguvu zinazoingia akilini na sio kuokota kila hoja tu na kuisema ili tuendee kulaumu.
Wanaokataa chanjo hawana hoja ni mbummbu flani hivi, nnasikitika kusea kuwa kanda ya ziwa mitikio wa kuchoma chanjo nidogo sana
 
Jambo hili ni maarufu sana hata kama sijawahi kufanya upasuaji lakini lipo wazi kwamba unapewa fomu kabla ya tiba


Au wale wanaofanyiwa amputation(kukatwa viungo) lazima watoe ridhaa wenyewe kwanza then ndo wafanyiwe
Na kwenye hicho ulichokijibu sijaongelea kuhusu upasuaji ila umelazimisha kujibia kupitia upasuaji. Nimeuliza tiba nyingine na sio upasuaji mfano malaria, labda kupata zile neti za bure, ama typhoid nk nk, swali langu lilijikita huko.
 
Chanjo ya johnson and jonhson hadi CDC na FDA wametoa recommendation kua itumike rasmi marekani kuliko chanjo zingine.
Kuthibitishwa kwake hakufanyo watu wasiwe na mashaka mkuu.

Halafu unajua nyie watu wa chanjo mmekaa kukejeli na sio kutoa hizo hoja zenu.
Bado nafatilia kupitia vipindi mbali mbali wanaelekeza vizuri na kwa weledi ila humu naona wote sawa tu , hakuna hoja mnazodai mnazo zaidi ya mifananisho.
 
litakalokupata.

Nadhani uliisikia ile skendo ya mtu wa kichwa kutibiwa mguu na wa mguu kutibiwa kichwa, kwa hapo utasema eti sijui umesaini daktari hana kosa??

Vivyo hivyo kwa serikali vipi kama hiyo chanjo ina madhara na watu wakafa kama kuku, itaacha tu kisa wamejitoa?? Na wewe unaona ni sahihi kabisa serikali kujitoa kwenye kitu ilicholeta yenyewe, inakipigia debe, matangazo kibao afu wanajitoa kwenye hatia kwa chochote kitachotokea, yani ile kitu ya wao kujitoa ndio imetia mashaka wengi sana.
Ni sawa na mtu akupe kitu usichojua uhatari wake na ajitoe endapo litakupata baya lolote basi usimhusishe.
Kawaida hiyo jambo lolote linalofanywa kwa hiyari ya mtu mwenyewe lazima kuwepo na notes of responsibility mfano mara kibao tunakkutana na parking ipo mahali fulani lakini tunakutana na warning note ya parking fo
Daktari akiwa mzembe atahukumiwa tu, sio kwakua umesign basi daktari anakua hana hatia na baya litakalokupata.

Nadhani uliisikia ile skendo ya mtu wa kichwa kutibiwa mguu na wa mguu kutibiwa kichwa, kwa hapo utasema eti sijui umesaini daktari hana kosa??

Vivyo hivyo kwa serikali vipi kama hiyo chanjo ina madhara na watu wakafa kama kuku, itaacha tu kisa wamejitoa?? Na wewe unaona ni sahihi kabisa serikali kujitoa kwenye kitu ilicholeta yenyewe, inakipigia debe, matangazo
Ni sawa na mtu akupe kitu usichojua uhatari wake na ajitoe endapo litakupata baya lolote basi usimhusishe.
Ni sawa na mtu akupe kitu usichojua uhatari wake na ajitoe endapo litakupata baya lolote basi usimhusishe.

Ujinga wa watu upo hapo kutokujua kwakwe haimaaishi hiyo chanjo haifai, serekali wanajua kabisa hawa wasiojua ndiyo watakaoleta usumbufu kwasababu ya umbumbu wao wakipatwa na complication zozote hata ambazo hazihusiani na chanjo watataka kufidiwa.

Ndiyo maana kuna maeneo ya parking ya magari unakuta wameandika park on your own risk
 
Watanzania hawaishiwi hoja kwa kweli.

ETI Katika hoja wanazotumia wanasema eti chanjo gani ambayo serikali imejitoa kabisa kwamba litakalokupata wao hawawajibiki kwa lolote ?

Watanzania wamesahau kwamba hata ukienda hospitali una haki ya kukataa kutibiwa,una haki ya kukataa sawa,una haki ya kumkataa daktari usiyemtaka asikutibu.

Endapo ukikubali kutibiwa kwa ridhaa yako na katika tiba hiyo ukapata madhara basi hakuna daktari atakayewajibika eti ahukumiwe kwa jambo hilo.

Hata ukienda kufanya upasuaji lazima ukubali kusaini,usaini ukaenda ukafa kwenye upasuaji ujue hakuna utakayemlaumu kwa sababu ulikubali mwemyewe.

Hivyo sio kwenye korona tu hata kwenye tiba zingine wanaohusika na jambo hilo wanajivua endapo ukikubali kufanyiwa jambo hilo litakalo kupata lakwako wewe.

Hivyo serikali ipo sahihi kujitoa lwenye lawama kwa sababu mtu atachoma chanjo akiumwa kichwa tu atataka aiwajibishe serikali kwamba chanjo inamdhuru,katika hili serikali imefanya vyema.

ETI Katika hoja wanazotumia wanasema eti chanjo gani ukishachanja unaambiwa uendelee kuchukua tahadhari ?

Watanzania hakuna chanjo utakayochukua alafu ukaambiwa ukae katika mazingira hatarishi ati kwa kuwa umepata chanjo,hakuna chanjo hiyo.

Angalia tu ukidungwa sindano ya kujikinga na tetenasi haina maana kwamba ujiachie tu wewe ujikate ovyo na kujiachia kwenye mazingira hatarishi.

Ukidungwa chanjo ya yellow fever haina maana eti ndio utaambiwa ukae tu kwenye mbu na mazingira hatarishi,lazima iwe ni muhimu kujiepusha na mazingira hayo hatarishi.

Hivyo hata chanjo ya korona ukidungwa haina maana ujiachie tu,lazima uendelee kujikinga.

Maana ya chanjo sio kutafuta matatizo yalipo,maana ya chanjo ni kukukinga endapo kwa bahati mbaya umepata ugonjwa,sasa wewe utafute kwa makusudi.

Ukicheza karate unatakiwa uepuke ugomvi,haina maana kwamba unajua kupigana ndo uchokoze watu.


ETI Baadhi husema sijui ukichanjwa utapata madhara kadha wa kadhaa,ni kweli unaweza kupata madhara kdha wa kadha lakini swali la msingi ni je chanjo hiii pekee tu ya corona ?

Jawabu ni kuwa chanjo zote zina madhara fulani yanaweza kutokea kwa mtu.

Mfano.
Kuna chanjo watoto wachanga wakichomwa wanapata homa sana lakini baadae wanatulia maisha yanaendelea chanjo hizi hazipigiwi kelele.

Unaweza kuchoma chanjo ukapata aleji kinga za mwili zikaanza kushambulia seli mwenzake za mwili ukaanza kupata machovu na matatizo mengine ambayo yanaweza kupotea baada ya muda fulani.

Zipo kinga au chanjo mfano kinga ya homa ya manjano tafuta side effects zake utaona miongoni mwa matatizo ambayo unaweza kupitia ni kama vilee.

Maumivu ya joints,maumivu ya misuli,kupata homa,mapele,kichwa kuuma n.k

Kwa hiyo kama chanjo ya corona itakuwa inaambatana na matatizo basi tukubaliane hakuna chanjo iliyosalimika.


Lakini pia naomba kuwauliza wanaosema hii chanjo baada ya muda ina madhara.

Je wamejuaje kama ina madhara wakati hapo hapo wanasema haijafanyiwa utafiti wa kutosha kuhusu usalama na madhara yake ?

Na je hayo madhara yataonekana baada ya muda gani ukishachoma chanjo ?


Swali la mwisho ambalo naomba niliulize ni kwamba tokea tuanze kudungwa hizi chanjo utoto wetu ambazo tisema tunajaribiwa mpaka hivi leo hii tumepata madhara gani kwa watu wote ambayo tutasema kisayansi yametokana na chanjo hizo za utotoni ?

NB : siko hapa kutetea chanjo,bali niko hapa kuvunja hoja dhaifu zinazotumika na baadhi ya watu kuwatisha wengine.

Nakubaliana na mambo ambayo kisayansi yana hoja zenye nguvu zinazoingia akilini na sio kuokota kila hoja tu na kuisema ili tuendee kulaumu.
Bila shaka wewe ulikimbia shule darasa la nne.
 
Ujinga wa watu upo hapo kutokujua kwakwe haimaaishi hiyo chanjo haifai,
Una hoja nzuri ila huku mwisho naona umetindinganya mambo. Eti kutokujua kwangu hakumaanishi hiyo chanjo haifai namna gani wewe, sasa hizo ngonjera za kuhamasisha watu wakachanje kwa kuwaambia ni salama zinatoka wapi kama sio muhimu kujua uhatari wake.

Kitu kingine kinachoonesha baadhi yenu watu wa chanjo (ukiwemo wewe) ni weupe kichwani ni kuamini kua mtu asietaka chanjo ni mjinga😂😂.

Yani dunia hii unategemea watu wawe upande wa unachokiamini au upande wa wengi kwa 100%. Mkuu em acheni tabia za kuita wenzenu wenzenu wajinga ilhali hata nyie hamna hoja zaidi ya blah blah tena sio za kidaktari ni zile za wanasiasa wa tz kina ndugai 😂.
 
Imani ina nguvu kuliko science, na ndio inatangulia before science. Hakuna mwanasayans anayefanya kitu bila kukiamini kwanza. Sisemi msichanje au mkachanje hio ni hiari ya mtu kulingana na vile aonavyo moyoni mwake.
 
Back
Top Bottom