safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,161
- 15,836
- Thread starter
- #81
Kqa nini unasema side effect ya chanjo ni kubwa kuliko kutichanja ?For me, side effect ya chanjo ni kubwa kuliko kuishi bila chanjo.
Tunahitaji kujikinga na kuchukua tahadhari dhidi ya corona lkn sio lazima tuwe universal, tuwe unique coz hata hivyo ukichanja bado unauwezekano wa kupata tena usipojikinga.
Mkataa kwao ni mtumwa, lazima tukubali kuheshimu vyakwetu ili tusitumikishwe na vyawenzetu. Kwani tukijifukiza na hali ikawa shwari kuna mtu atakupiga risas kisa umejifukiza?
Ikiwa ni kitaalam bas wataslam wa masuala ya chanjo wakwetu wakae chini sio kutathimini uhali wa hio chanjo ya johnson bali wachukue ujuz hapo watengeneze yakwetu then waitathmini uhalali na usahihi wake kwa watumiaji.