Hofu ya maambukizi ya VVU inanimaliza kiafya, nilishiriki ngono na muathirika wa UKIMWI

Mkiishiwa pointi huwa mnakilimbila kusema hio kauli, "jidunge sindano yenye damu ya mwenye ukimwi kama huamini". Na si ww tu bali wote mnaoabudu ibada ya ukimwi. Na mkiona mtu hana na mwenza ni +ve utasikia hua anamwandaa vizuri. Yani kama wapiga ramli vile. Sasa mm hua najiuliza kwa hiyo wote wanaoambukizwa wanapewa damu mbovu au +ve wote wanafanya mapenzi bila kuandaana

Mdau hapo juu amekupa mfano mdogo tu, jaribu kumlowanisha mpenzi wako mwenye gono alaf chovya dudu lako tu uondoke. Baada ya siku mbili lete majibu. Sasa kwa nini ukimwi iwe tofauti wakati yote ni STDs.

Wake up you black person
Hivi unafikiri hili la kujidunga damu halijafanywa. Au unafikiri watu wanapinga kindezi tu. Ni utafiti umefanywa broo.

Nikupe assignment, tafuta habari za jamaa anaitwa Robert Wilner. Aliifanya hili hazarani kwa kujidunga damu ya mwathirika. Unajua nn kimpata kutoka kwa wamiliki ww mradi wao.

Kwa taarifa yako hii ni biashara tena inayolipa sana kwa wanaoimiliki. Hivyo hawako tayari kwa mamna yoyoye ile kuona kinyangaragata from no where kikijaribu kuiharibu.
Kwaini tuna zunguka kote huko, wewe jitolee tufanye research, sisi wenywe ,kama unajiamini na hakuna Ukimwi basi ninaye rafiki yangu ana HIV , tukutane nimelete halafu tunyonye damu yake na tukudunge wewe halafu uishi bila kufanya lolote na hata kunywa dawa tuone kwa uhakika uta kuwa salama au la si Ukimwi hakuna .
Kuhusu kwanini mtu anapatwa na Gono haraka, Gono ni backteria unapo kutana na mtu mwenye bacteria hao , huingia kwnye uume kupitia mirija ya uume, na pale inapo ingia tuu, immunity huanza fanya kazi na kupambana nayo na ndi poa hapo kiashic ha hizo white blood cells huwawa na kutolewa ndio husababisha mtu kutoka usaaa . hivyo gonorea ni rahisi kuambukizwa kuliko HIV ambapo HIV mpaka damu zigusane, yani kuwepo na mchubuko na pia , inategemea na idadi ya virusi alivyo navyo muathirika yani Viral loads .
Haya lini nikutafute uje tukudunge sindano tufanye research yetu wenyewe?
 
Pole mkuu
Ila hupaswi kuwa na mawazo sana kama uliwahi hizo dawa.
Mimi binafsi mpaka sasa sielewi huu ugonjwa ukoje au tulipigwa kama Corona maana mpaka hapa nimeshapitia wanawake wagonjwa kama 7 hivi tena watatu kati yao ni wale ambao unaingia mahusiano bila kujua afya yake unaanza kutumia kinga badae unajikuta unaanza kumuamini mnatupa kondom na kuanza peku tena na vurugu zote then after six months mawazo ya kupima ndo yanakuja tunapima nakuta demu amewaka!
Hii imenitokea mara kadhaa mpaka nikasema sasa nishaumia maana kuna mmoja nimemgundua mwaka jana mwezi wa saba kwamba amewaka wakati huo namtafuna karibia mwaka ila baada ya vipimo alikiri kwamba aliwahi kuwa na uhusiano na kigogo flani miaka miwili iliyopita ambaye inasemekana ni mgonjwa na anahisi ndo alimuambukiza japo alikuwaga hajapima!
Sasa cha ajabu mpaka mwezi huu nimekuwa kila nikipima nakuta bado mzima na kama nilivyoeleza hapo juu nilishakutana na wanawake wa hivi kama 7 na sikutumiaga kondom.
Sina maana kwamba hakuna wagonjwa wa Ukimwi no najua wapo wengine nawajua wanatumia dawa ila tatizo nashindwa kuelewa inakuwaje isije ikawa tulipigwa kama ile Corona yetu ambayo sa hivi inasubiri vita ya Urusi na Ukraine iishe ndo irudi
Ina wezekana wewe ni malaya na malaya yoyote ni mjuzi kwenye sex, inawezekana unajua vizuri kumfanya mwanamke au labda wanawake wanakupenda kiasi unapo kuwa nao wana kuwa teari wanakua wamesha loa kwenye uke au unajua namna ya kuwachezea waka loa vizuri na uka wafanya .
Labda utusaidia katika ruka ruka zako je, ulisha wahi fanya na wmanamke kiasi ukajisi ni mkavu na akakuchubua au tuu akawa mkavu uke ukakauka kati ya hao wanawake wako walio semekana wame athirika? .
Pia labda walikua wan ajijua na wana kunywa dawa, unapo kunywa dawa pia chances za kuambukiza wengine hupungua mara nyingi zaidi na kumbuka pia mwanaume kumuambukiza mwanamke ni rahisi zaidi kuliko mwanamke kumwambukiza mwanaume .
 
Broh huu ugonjwa ni nadharia Sana kuliko uhalisia. Uwezi sex na dem mwenye gono alaf ww usipate hata umuandae mwaka mzima na kutumia vilainishi. Why ukimwi iwe tofauti?
Ugonjwa ni serious mkuu, usijipe moyo
 
Una uhakika wewe ni binadamu?
Sishangai kwa hilo swali kwani ww ni wale mlioamua kwa hiari yenu kushikiwa akili na watu wengine. Kuna watu wanafikri kwa niaba yenu.

Sasa unashangaa mimi kuwa nao wawili na hao ni wale niliowapima mwenyewe kwa kuwa walikuwa wanataka waniaminishe kuwa wamewaka kweli bado wale nakung'uta bila kuwapima na kondom siijui labda kwa kesi ya kukwepa mimba.

Kuna mdau hapo kasema saba mbona humshangai. Fungua akili yako mkuu
 
Kwaini tuna zunguka kote huko, wewe jitolee tufanye research, sisi wenywe ,kama unajiamini na hakuna Ukimwi basi ninaye rafiki yangu ana HIV , tukutane nimelete halafu tunyonye damu yake na tukudunge wewe halafu uishi bila kufanya lolote na hata kunywa dawa tuone kwa uhakika uta kuwa salama au la si Ukimwi hakuna .
Kuhusu kwanini mtu anapatwa na Gono haraka, Gono ni backteria unapo kutana na mtu mwenye bacteria hao , huingia kwnye uume kupitia mirija ya uume, na pale inapo ingia tuu, immunity huanza fanya kazi na kupambana nayo na ndi poa hapo kiashic ha hizo white blood cells huwawa na kutolewa ndio husababisha mtu kutoka usaaa . hivyo gonorea ni rahisi kuambukizwa kuliko HIV ambapo HIV mpaka damu zigusane, yani kuwepo na mchubuko na pia , inategemea na idadi ya virusi alivyo navyo muathirika yani Viral loads .
Haya lini nikutafute uje tukudunge sindano tufanye research yetu wenyewe?
Na huo ukimwi ambao siku hizi wanapima mate upoje kwa kuwa umesema virusi vinakaa kwenye damu na kwenye mate vinatafuta nini. Nijibu kwanza hilo swali ndio tuendelee
 
Ina wezekana wewe ni malaya na malaya yoyote ni mjuzi kwenye sex, inawezekana unajua vizuri kumfanya mwanamke au labda wanawake wanakupenda kiasi unapo kuwa nao wana kuwa teari wanakua wamesha loa kwenye uke au unajua namna ya kuwachezea waka loa vizuri na uka wafanya .
Labda utusaidia katika ruka ruka zako je, ulisha wahi fanya na wmanamke kiasi ukajisi ni mkavu na akakuchubua au tuu akawa mkavu uke ukakauka kati ya hao wanawake wako walio semekana wame athirika? .
Pia labda walikua wan ajijua na wana kunywa dawa, unapo kunywa dawa pia chances za kuambukiza wengine hupungua mara nyingi zaidi na kumbuka pia mwanaume kumuambukiza mwanamke ni rahisi zaidi kuliko mwanamke kumwambukiza mwanaume .
Wewe utakuwa mpiga ramli
 
S n ukapime mzee, kapime tu la svyo utajikuta unakufa kwa mawazo.....hofu n mbaya mnooo
 
Sishangai kwa hilo swali kwani ww ni wale mlioamua kwa hiari yenu kushikiwa akili na watu wengine. Kuna watu wanafikri kwa niaba yenu.

Sasa unashangaa mimi kuwa nao wawili na hao ni wale niliowapima mwenyewe kwa kuwa walikuwa wanataka waniaminishe kuwa wamewaka kweli bado wale nakung'uta bila kuwapima na kondom siijui labda kwa kesi ya kukwepa mimba.

Kuna mdau hapo kasema saba mbona humshangai. Fungua akili yako mkuu
Kuna mawili

Hamjachubuana

Au ni miongoni mwa wale watu wachache ambao antigens zao sijui antibody zao jinsi walivyo hawawezi pata ukimwi


Mfano kama vile wagonjwa wa sickle cell hawapatagi malaria
 
Huyu binti inaonekana alikuwa anajua hali yake. Hakuwa na wasiwasi kabisa
We ndo mjinga ukiamua kuishi maisha ya kihuni we tumia condomu mwanzo mwisho kiusahii achana na mambo ya kumpima kila mwanamke unayekutana kama unamalengo nae pima Ila kama Hauna malengo nae tumia condomu
 
Mbona mnaogopa kujidunga sindano yenye HIV kama ugonjwa huo haupo ?
Ungekua ni mfatiliaji makini usingetoa request hiyo, maana sio wa kwanza kusema hivyo.

Nikijichoma ww utajuaje/utaonaje kama nimejichoma ili uamini? Maana post za juu umeambiwa ukasearch vipi YouTube ili uweze kuona aliyeshafanyaga hivyo, sidhan hata kama umeenda kuangalia. Ila unarudi humu na kuuliza kitu hicho hicho
 
We ndo mjinga ukiamua kuishi maisha ya kihuni we tumia condomu mwanzo mwisho kiusahii achana na mambo ya kumpima kila mwanamke unayekutana kama unamalengo nae pima Ila kama Hauna malengo nae tumia condomu
Mzee mbona kama unaingilia mipangilio yangu ya maisha, then unataka nifate vile unavoona wewe ni sahihi.
Mwamba kuna sehemu hauko sahihi
 
Ungekua ni mfatiliaji makini usingetoa request hiyo, maana sio wa kwanza kusema hivyo.

Nikijichoma ww utajuaje/utaonaje kama nimejichoma ili uamini? Maana post za juu umeambiwa ukasearch vipi YouTube ili uweze kuona aliyeshafanyaga hivyo, sidhan hata kama umeenda kuangalia. Ila unarudi humu na kuuliza kitu hicho hicho
Nimemtajia mpaka jina la yule aliyefanya hivyo tena hadharani mbele ya kamera za waandishi wa habari. Ila ameng'ang'ana tu na mahubili yake yasiyo na maana
 
Mdudu kakaa sehemu ya utelezi,watelezaji hasa tunaopiga mvinyo tupunguze alcohol concentration katika kufanya decision.

AIDS ni mateso from once you, get to entire your life.
 
Ungekua ni mfatiliaji makini usingetoa request hiyo, maana sio wa kwanza kusema hivyo.

Nikijichoma ww utajuaje/utaonaje kama nimejichoma ili uamini? Maana post za juu umeambiwa ukasearch vipi YouTube ili uweze kuona aliyeshafanyaga hivyo, sidhan hata kama umeenda kuangalia. Ila unarudi humu na kuuliza kitu hicho hicho
Sijui una tatizo la akili ama sijui ni nini, ninachosema unitafute mimi na wewe, nikiwa na rafiki yangu mwenye HIV, ujichome sindano hiyo live huku tuki kurecord kwenye Facebook, Instagram na Youtube live, tukiwa wote mashahidi ya hiyo research isiyo hitaji fundings za aina yoyote, mbona una kuwa unajibaraguza kama hauelewi ninachosema? Tuone sasa kama una weza thubutu, sisi hizo research za Youtube tusizo zihakiki hatuzihitaji tunataka the current one ambayo itakua ya kwako . halafu tuone utaongea ujinga gani .
 
Nimemtajia mpaka jina la yule aliyefanya hivyo tena hadharani mbele ya kamera za waandishi wa habari. Ila ameng'ang'ana tu na mahubili yake yasiyo na maana
Sijui na wewe una tatizo la akili ama sijui ni nini, hizo research tusizo jua chanzo chake na kama kuna aina yoyote ya edditing au wame fake kitu chohocte sisi tuta zitaka za nii, ninachosema unitafute mimi na wewe, nikiwa na rafiki yangu mwenye HIV, ujichome sindano hiyo live huku tuki kurecord kwenye Facebook, Instagram na Youtube live, tukiwa wote mashahidi ya hiyo research isiyo hitaji fundings za aina yoyote, mbona una kuwa unajibaraguza kama hauelewi ninachosema? Tuone sasa kama una weza thubutu, sisi hizo research za Youtube tusizo zihakiki hatuzihitaji tunataka the current one ambayo itakua ya kwako . halafu tuone utaongea ujinga gani .
 
Sijui na wewe una tatizo la akili ama sijui ni nini, hizo research tusizo jua chanzo chake na kama kuna aina yoyote ya edditing au wame fake kitu chohocte sisi tuta zitaka za nii, ninachosema unitafute mimi na wewe, nikiwa na rafiki yangu mwenye HIV, ujichome sindano hiyo live huku tuki kurecord kwenye Facebook, Instagram na Youtube live, tukiwa wote mashahidi ya hiyo research isiyo hitaji fundings za aina yoyote, mbona una kuwa unajibaraguza kama hauelewi ninachosema? Tuone sasa kama una weza thubutu, sisi hizo research za Youtube tusizo zihakiki hatuzihitaji tunataka the current one ambayo itakua ya kwako . halafu tuone utaongea ujinga gani .
Aisee
 
Back
Top Bottom