Ili Kujustify Ngono Zembe, Jamii imejitengezea Myth Mpya, Njia Nyepesi ili Kujikinga na Maambukizi dhidi ya Ukimwi

the power

Member
Oct 18, 2012
85
105
Tabia za kijamii (community norms) ni very dynamic, hakika kweli hazitabiriki. Mwanzoni tuliambiwa ili kujikinga na ukimwi tuepuke ngono zembe, tutumie kinga (condom), lakini uhakika wakasema tuwe na mwenza mmoja mwaminifu mmoja aliyepima.

Kwa sababu hayo masharti yalikuwa magumu, kwa sasa jamii imejitengenezea masharti marahisi au tafsiri mpya ili kujustify ngono zembe nikimaanisha kujamiiana kavukavu na bila kupima, kujamiiana na wapenzi wengi tena bila kinga etc, kibaya zaidi hizi myth zimezoeleka na kuwa ndiyo njia mbadala utafikiri zimethibitishwa kisayansi wakati ni believe potovu zisizo na uthibitisho wowote wa kisayansi (wrong myth).

Sasa hivi kuna wimbi kubwa la wanawake wengi hawataki matumizi ya condom na wanaume pia. Wanawake wanajustify kwa kusema, eti zinawawasha, zinawachubua, zina-allergy, wanaume wanasema hawasikii stimu yeyote kabisa.

Sasa wamejitengenezea myth ya kupaka mafuta kama mbadala, na nakuambia binti anajihamini kabisa, "eti mimi sitaki condom tupake mafuta mengi" na wanajihamini 99% mafuta ni kinga, eti hatari ni michumbuko, mafuta ni kinga tosha kwani yanazuia michumbuko. (Kumbuka sayansi ilisema mafuta ya kawaida yanaongeza jotoridi wakati wa kujamiiana kwa hiyo kuongeza uwezekano wa michumbuko na kupata maambukizi.

Wengine wamejikita kwenye kupaka mate, eti kwa sababu mate ni kimiminika cha mwili basi kinatoa natural lubricant ya kutosha kabisa na ni kinga madhubuti tosha.

Matumizi ya K-Y jelly ndo husiseme, yaani ni kama vile yamekuwa Kinga mbadala, mtu akitumia KY-Jelly anajefeel well protected 100%.

Kuna wanawake wengine wanasisitiza na kutoa masharti ya kumwaga nje eti hiyo ni kinga dhidi ya maabukizi ya ukimwi ukiondoa njia ya uzazi, wanasema eti zile mbegu na uteute ndio umebeba wadudu (HIV virus), hawajui hata mnapoanza tu romance mwili wa mwanaume hasa mwanamke unakuwa umeshatoa uteute wa kutosha kabisa.

Nafikiri vitengo husika vya kuthibitisha ukimwi (TACAIDS, MOH, HIV control programs) kwa sasa vimekosa ubunifu, vimeacha health education na health promotion zile za zamani kwani zilikuwa ni relevant, consistent na coverage yake ilikuwa kubwa. Nilitegemea sasa wawe proactive-wajikite kupinga na kuzuia hizi myth za ajabu kwani wengi wanaopata maambukizi mapya ni kwa sababu ya kuamini kwenye hizi wrong myth ambazo jamii imeanza kuziikubali kinoma na zimekuwa ni sehemu ya our community norms.

Je wewe una mawazo gani kuhusu hizi myth za kujikinga na maambukizi ya HIV/AIDS na ulishakumbana na moja kati ya hizi? Je ulikubali au ulikataa?
 
Tabia za kijamii (community norms) ni very dynamic, hakika kweli hazitabiriki. Mwanzoni tuliambiwa ili kujikinga na ukimwi tuepuke ngono zembe, tutumie kinga (condom) , lakini uhakika wakasema tuwe na mwenza mmoja mwaminifu mmoja aliyepima.

Kwa sababu hayo masharti yalikuwa magumu, kwa sasa jamii imejitengenezea masharti marahisi au tafsiri mpya ili kujustify ngono zembe nikimaanisha kujamiiana kavukavu na bila kupima, kujamiiana na wapenzi wengi tena bila kinga etc, kibaya zaidi hizi myth zimezoeleka na kuwa ndiyo njia mbadala utafikiri zimethibitishwa kisayansi wakati ni believe potovu zisizo na uthibitisho wowote wa kisayansi (wrong myth)

Sasa hivi kuna wimbi kubwa la wanawake wengi hawataki matumizi ya condom na wanaume pia. Wanawake wanajustify kwa kusema, eti zinawawasha, zinawachubua, zina-allergy,wanaume wanasema hawasikii stimu yeyote kabisa.

Sasa wamejitengenezea myth ya kupaka mafuta kama mbadala, na nakuambia binti anajihamini kabisa , "eti mimi sitaki condom tupake mafuta mengi" na wanajihamini 99% mafuta ni kInga , eti hatari ni michumbuko, mafuta ni kinga tosha kwani yanazuia michumbuko. (Kumbuka sayansi ilisema mafuta ya kawaida yanaongeza jotoridi wakati wa kujamihiana kwa hiyo kuongeza uwezekano wa michumbukoa na kupata maambukizi.

Wengine wamejikita kwenye kupaka mate, eti kwa sababu mate ni kimiminika cha mwili basi kinatoa natural lubricant ya kutosha kabisa na ni kinga madhubuti tosha

Matumizi ya K-Y jelly ndo husiseme, yaani ni kama vile yamekuwa Kinga mbadala, mtu akitumia KY-Jelly anajefeel well protected 100% .

Kuna wanawake wengine wanasisitiza na kutoa masharti ya kumwaga nje eti hiyo ni kinga dhidi ya maabukizi ya ukimwi ukiondoa njia ya uzazi, wanasema eti zile mbegu na uteute ndio umebeba wadudu (HIV virus), hawajui hata mnapoanza tu romamnce mwili wa mwanaume hasa mwanamke unakuwa umeshatoa uteute wa kutosha kabisa.

Nafikiri vitengo husika vya kuthibit ukimwi (TACAIDS, MOH, HIV control programs) kwa sasa vimekosa ubunifu, vimeacha health education na health promotion zile za zamani kwani zilikuwa ni relevant, consistent na coverage yake ilikuwa kubwa. Nilitegemea sasa wawe proactive-wajikite kupinga na kuzuia hizi myth za ajabu kwani wengi wanaopata maambukizi mapya ni kwa sababu ya kuamini kwenye hizi wrong myth ambazo jamii imeanza kuziikubali kinoma na zimekuwa ni sehemu ya our community norms.

Je wewe una mawazo gani kuhusu hizi myth za kujikinga na maambukizi ya HIV/AIDS na ulishakumbana na moja kati ya hizi? je ulikubali au ulikataa?
Elimu kuhusiana na jambo hili sioni ikitolewa kwa nguvu kama enzi zetu tukikua. Nakubaliana na ukweli kwamba matumizi ya ARV yamesababisha kupungua kwa janga hili, lakini vijana wanaokua hawana elimu ya kutosha.

Matumizi ya vilainishi kureplace matumizi ya kondomu ni jambo la kuangaliwa kama ulivoshauri.
 
Ukiambiwa utoe uthibitisho wa uwepo wa kirusi cha HIV utaweza? Hakijawahi kuonekana popote, hakiexist.
A Rose by any other name..., Smells as Sweet..., Chochote kile kwa jina lolote lile kinachopatikana kwa mazingira haya tunayojua na madhara yake tunayajuana symptoms tunazozijua ni vema kujikinga na hicho kitu (au hata hizo symptoms hazipo) tunaziwaza tu... (matrix) ?!!
 
Ukiambiwa utoe uthibitisho wa uwepo wa kirusi cha HIV utaweza? Hakijawahi kuonekana popote, hakiexist.
Sawa mwanasayansi. Ila kwa taarifa tu, kwenye kupima maambukizi kumbuka kuna njia mbili , ya kwanza ni kwa kutumia antibodies na ya pili ni kwa kupima uwepo wa virusi. Na pia kwenye kupima progress ya mgonjwa wataalamu wanatumia viral load, yaani kiasi cha kupungua kwa virusi vyenyewe. Sasa kama huna utaalamu huo ni bora kukaa kimya kuliko kuonyesha mapungufu ya elimu na ufahamu. Sikutegemea swali kama hilo kwenye forum ya watu makini .Hii ni basic knowledge tulitegema mtanzania aliyesoma, tena siku hizi hata darasa la nne wanaanza kujifunza, ungekuwa na ufahamu kidogo
 
Hii j
Ukiambiwa utoe uthibitisho wa uwepo wa kirusi cha HIV utaweza? Hakijawahi kuonekana popote, hakie

Ukiambiwa utoe uthibitisho wa uwepo wa kirusi cha HIV utaweza? Hakijawahi kuonekana popote, hakiexist.
Hivi majitu majinga kama hili jamiii forum huwa yanafikaje......najuaga humu kwa wasomi....majitu ya facebook yanafikaje humu
 
Sawa mwanasayansi. Ila kwa taarifa tu, kwenye kupima maambukizi kumbuka kuna njia mbili , ya kwanza ni kwa kutumia antibodies na ya pili ni kwa kupima uwepo wa virusi. Na pia kwenye kupima progress ya mgonjwa wataalamu wanatumia viral load, yaani kiasi cha kupungua kwa virusi vyenyewe. Sasa kama huna utaalamu huo ni bora kukaa kimya kuliko kuonyesha mapungufu ya elimu na ufahamu. Sikutegemea swali kama hilo kwenye forum ya watu makini .Hii ni basic knowledge tulitegema mtanzania aliyesoma, tena siku hizi hata darasa la nne wanaanza kujifunza, ungekuwa na ufahamu kidogo
Swali alilouliza ni kuwa kinaonekana hicho kirusi uwepo wake? Nimemwambia mtu aiulize AI.

  • You:Can you see HIV through microscope
  • Chat AI GPT:Yes, HIV (Human Immunodeficiency Virus) can be seen through a microscope. However, due to its small size, specialized laboratory techniques and equipment are typically required to visualize the virus effectively. HIV is a type of virus known as a retrovirus, and it can be identified and studied using techniques such as electron microscopy or immunohistochemistry. These methods allow scientists and healthcare professionals to observe and analyze the structure and behavior of the virus at a microscopic level. If you have any more questions or need further information, feel free to ask!
  • You:How do we know that it does really exist?
  • Chat AI GPT:We know that HIV (Human Immunodeficiency Virus) really exists through extensive scientific research and evidence. HIV was first identified in the early 1980s as the cause of Acquired Immunodeficiency Syndrome (AIDS), a condition that weakens the immune system and makes individuals more susceptible to infections and certain cancers. Since its discovery, researchers have conducted numerous studies to understand the virus, its transmission, and its impact on the human body.

    Scientists have isolated and studied the virus in laboratory settings, observed its effects on cells and tissues, and developed diagnostic tests to detect HIV in individuals. Additionally, the development of antiretroviral medications that specifically target HIV and improve the health outcomes of people living with the virus further confirms its existence.

    Overall, the collective body of scientific evidence, including research studies, clinical trials, and medical advancements, provides strong confirmation of the existence of HIV as a real virus that affects individuals worldwide. If you have any more questions or need further information, feel free to ask!
  • You:In Africa, corona virus erupt the same way as HIV but the problem just dissappear without serious measures, dont you think there might be fouls with these types of viral infection to generate income?
  • Chat AI GPT:While it is true that both HIV and the coronavirus (COVID-19) are viral infections that have impacted populations in Africa and globally, it is important to note that these two viruses are different in terms of their modes of transmission, impact on the immune system, and public health responses. HIV is primarily transmitted through sexual contact, blood transfusions, and sharing of needles, while COVID-19 is primarily spread through respiratory droplets when an infected person coughs, sneezes, or talks.

    The response to these viral infections may vary based on factors such as public health infrastructure, access to healthcare, and community engagement. It is crucial to implement appropriate measures to control the spread of infectious diseases, including testing, contact tracing, isolation, and vaccination when available.

    Regarding the suggestion of potential financial motives behind viral infections, it is important to rely on scientific evidence and public health guidelines to understand and address these health challenges. Global efforts are underway to combat infectious diseases and improve public health outcomes for all individuals, regardless of their geographic location or economic status.

    If you have any more questions or concerns, feel free to ask for further clarification.
 
Ila jamani condom hadi kupiga bao ni shughuli, majuzi niko na goma natumia condom nimesugua weee wapi bao hqliji..nikaona isiwe tabu, nikatoa condom nikapaka mate ya kutosha kwenye rungu ile nimezamisha tu takoling mbili tatu wazungu haooo!.
Mungu atusaidie.
 
Tabia za kijamii (community norms) ni very dynamic, hakika kweli hazitabiriki. Mwanzoni tuliambiwa ili kujikinga na ukimwi tuepuke ngono zembe, tutumie kinga (condom) , lakini uhakika wakasema tuwe na mwenza mmoja mwaminifu mmoja aliyepima.

Kwa sababu hayo masharti yalikuwa magumu, kwa sasa jamii imejitengenezea masharti marahisi au tafsiri mpya ili kujustify ngono zembe nikimaanisha kujamiiana kavukavu na bila kupima, kujamiiana na wapenzi wengi tena bila kinga etc, kibaya zaidi hizi myth zimezoeleka na kuwa ndiyo njia mbadala utafikiri zimethibitishwa kisayansi wakati ni believe potovu zisizo na uthibitisho wowote wa kisayansi (wrong myth)

Sasa hivi kuna wimbi kubwa la wanawake wengi hawataki matumizi ya condom na wanaume pia. Wanawake wanajustify kwa kusema, eti zinawawasha, zinawachubua, zina-allergy,wanaume wanasema hawasikii stimu yeyote kabisa.

Sasa wamejitengenezea myth ya kupaka mafuta kama mbadala, na nakuambia binti anajihamini kabisa , "eti mimi sitaki condom tupake mafuta mengi" na wanajihamini 99% mafuta ni kInga , eti hatari ni michumbuko, mafuta ni kinga tosha kwani yanazuia michumbuko. (Kumbuka sayansi ilisema mafuta ya kawaida yanaongeza jotoridi wakati wa kujamihiana kwa hiyo kuongeza uwezekano wa michumbukoa na kupata maambukizi.

Wengine wamejikita kwenye kupaka mate, eti kwa sababu mate ni kimiminika cha mwili basi kinatoa natural lubricant ya kutosha kabisa na ni kinga madhubuti tosha

Matumizi ya K-Y jelly ndo husiseme, yaani ni kama vile yamekuwa Kinga mbadala, mtu akitumia KY-Jelly anajefeel well protected 100% .

Kuna wanawake wengine wanasisitiza na kutoa masharti ya kumwaga nje eti hiyo ni kinga dhidi ya maabukizi ya ukimwi ukiondoa njia ya uzazi, wanasema eti zile mbegu na uteute ndio umebeba wadudu (HIV virus), hawajui hata mnapoanza tu romamnce mwili wa mwanaume hasa mwanamke unakuwa umeshatoa uteute wa kutosha kabisa.

Nafikiri vitengo husika vya kuthibit ukimwi (TACAIDS, MOH, HIV control programs) kwa sasa vimekosa ubunifu, vimeacha health education na health promotion zile za zamani kwani zilikuwa ni relevant, consistent na coverage yake ilikuwa kubwa. Nilitegemea sasa wawe proactive-wajikite kupinga na kuzuia hizi myth za ajabu kwani wengi wanaopata maambukizi mapya ni kwa sababu ya kuamini kwenye hizi wrong myth ambazo jamii imeanza kuziikubali kinoma na zimekuwa ni sehemu ya our community norms.

Je wewe una mawazo gani kuhusu hizi myth za kujikinga na maambukizi ya HIV/AIDS na ulishakumbana na moja kati ya hizi? je ulikubali au ulikataa?
Kila mmoja ajilinde mwenyewe kwasababu ni jukumu lake kama mtu hasikii haelewi muache akipate anachokitafuta
 
Elimu kuhusiana na jambo hili sioni ikitolewa kwa nguvu kama enzi zetu tukikua. Nakubaliana na ukweli kwamba matumizi ya ARV yamesababisha kupungua kwa janga hili, lakini vijana wanaokua hawana elimu ya kutosha.

Matumizi ya vilainishi kureplace matumizi ya kondomu ni jambo la kuangaliwa kama ulivoshauri.
Sio hawana elimu
Hawajaona wale wagonjwa wa ukimwi kipindi hamna ARV walivyokua wanateseka
 
Back
Top Bottom