Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,247
Joseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba ya Bunge, akiongoza vikao vya kupokea maoni juu ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi , amewazuia wadau kumpigia makofi , Katibu Mkuu wa Chadema alipokuwa anawasiliaha Nondo kabambe mbele ya Kamati hiyo .
Yaani Mhagama roho nusura imtoke baada ya Mnyika Kupongezwa kutokana na hoja zilizoshiba !
Hii ni aibu sana !
Yaani Mhagama roho nusura imtoke baada ya Mnyika Kupongezwa kutokana na hoja zilizoshiba !
Hii ni aibu sana !